Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

mumuonye na mmkanye aache kuuhusisha uislam wenu na ushirikina
Muambie mleta mada alete video kuhusu huu mjadala.
Dr.Sule simfagilii hata kidogo ila katika hili mmemuelewa vibaya.
Hajakusudia kufuga majini hapana.
Mleta mada alete video hapa tuione msikie alichoongea.

Pia na wewe unapomuona mtu kaongea au kafanya kitu usijaji uislam anza kumjaji yule mtu kwanza imekuaje kasema vile.
 
Nimekuelewa, ingawa sasa matendo ya viongozi na maneno yao ya kiimani wanayoyatenda huku mitaani, nadhani yamechagiza baadhi kuisema isivyofaa imani hiyo.

Utakuta mhusika ni Imam, Shekh au Usitadhat ila anahubiri habari za majini na ushirika wake na Waislam au anamiliki kiringe kihalali kwa ajili ya tiba zinazohusisha majini.

Nimeelewa wafanyayo hayo, wako kinyume na Uislam ingawa bado wanaitwa/wanajiita Waislam.
Uislam unakataza IT IS FORBIDDEN kushirikiana na majini.
Maana kushirikiana na majini ni ushirikina maana Mungu anajua katika viumbe wake wakorofi wakwanza ni majini.
Hawachelewi kukudhuru ama kukupeleka katika mambo yasiyotakiwa.
Ndio maana Uislam umekataza.
Ila kama kuna mahali unahitaji kitu na kuna utawala wa hao watu basi unaweza ukawaweka chini wasalimu amri kwa kumuomba Mungu.
Mathalan maeneo ya machimboni.
 
Na ni bora umeandika Allah anajua zaidi umetokea hapo. Vinginevyo unahitaji kujifunza dini zaidi na zaidi kuna vitu vingi hujui, japo alhamdulillah kwa iliyonayo ili kabla kupinga jifunze zaidi.

Huyo Sule huwezi kumpangua kwa hoja na kwambia wewe hapa umeonyesha kumdharau lakini kahifadhi Quran nzima moyoni na kichwani pia kahifadhi biblia nzima kichwani iweje umbeze jana kwamba hana kitu? Acha kabisa hilo

Kuhusu majini Dkt Sule yuko sahihi Kama muislam ana elimu kuhusu nayo pasi na kumshirikisha Allah basi anaweza kufanya nayo kazi kwani Nabii Suleiman majini na binadamu ndio waliojenga hekalu alikua akiwasimamia na alikua na akiwapangia kazi mbalimbali kwa jinsi anavyotaka na Allah ametwambia Nabii hakukufuru.

Aya nitakuwekea inshaallah
Hakuna sehemu nimemdharau kama ipo unaweza kuonesha kila neno langu nimeweka na dalili na ningependa uweke pia .

Kingine kuhifadhi quran anayepanga ni Allah (the almighty) kuna waarabu licha ya kuzaliwa wakiwa na uwepesi wa lugha ila hawajahifadhi quran lakini pia alhamdulillah kuna wasio waarabu lakini wameihifadhi quran aya kwa aya , herufi kwa herufi, qira'at kwa qira'at hivyo anayefanya wepesi wa mtu kuhifadhi ni Allah (the all knowing).

Kuhusu biblia ninaweza kukutajia waislamu waliohifadhi na wakahifadhi zaidi ya hayo na hakuna hata siku moja waliwahi kuongea kitu bila ya dalili maana wanajua bila ya dalili ni kupotea kama hadith ya sahih muslim 2673(niliyokuwekea comment uliyo quote) inavyotueleza .kwa kukutajia wachache.

1. Ahmed deedat ,da'ai (alihifadhi quran na biblia kwa version zote unazozijua wewe ) ni mwalimu wa zakir naik na mwaka 1984 aliwahi kumpa challenge pope john paul II waende mdahalo kuhusu dini ipi ni ya haki kupitia dalili za vitabu vya dini vyenywe pope alikataa challenge hiyo , huyu mtu Allah (the almighty) alimjalia kipaji kana kwamba aliwahi kwenda mdahalo na miamba wa dini ya kikristo enzi hizo watu wakubwa waliokuwa na mega churches na wana elimu ya ukristo pengine kuzidi hata viongozi wa miaka hii ya sasa mfano dr. Anis shorosh, josh mcdowell, eric bock na wengineo wengi tu na woote hao aliwashinda kwa hoja sahih (bi idhnillah).

2. Zakir naik ,da'ai (kwanza ni daktari wa magonjwa ya binadamu, amehifadhi quran, baghavad jita, bagavad purana, upanishad, biblia, na pia ana ufahamu kuhusiana na field kadhaa za kisayansi).

3. yusuf estes huyu kabla ya kuslimu alikuwa ni full fleged catholic student biblia haumwambii kitu na ni hafidh pia wa quran.

Sule unayemuongelea sidhani kama aliwahi hata kwenda mdahalo na Mwamposa , kakobe et al zaidi anao battle nao ni wakristo ambao hawana base kubwa ya wafuasi na hawatambuliki hoja zenyewe za biblia anazotoa ni very common hana uwezo wa kuichambua kwa level za hao wasomi hapo juu na ndiyo maana huwa midhalo mingi inaisha kwa sintofahamu and i doubt kama amehifadhi biblia yote anyway.

hoja yako ya nabii sulaiman (peace be upon him) unayoongelea haina mashiko laba uwe haujaelewa iyo aya uliyoiweka ya surat baqara aya ya 102 ukitaka kuielewa soma aya ya 101 sura hiyo hiyo al baqara .

Sulaiman alikuwa mtume na aliwahi kumuomba Allah (the almighty) ampe ufalme wa duniani ambao hatokuja kupewa yeyote baada yake na Allah( the almighty) akampa ufalme juu ya vilivyomo duniani watu, majini , wanyama , upepo n.k ushahidi ni sura ya 38 aya ya 35 hadi ya 37 (surat sad) nanukuu

Sad 38:35

قَالَ رَبِّ ٱغْفِرْ لِى وَهَبْ لِى مُلْكًا لَّا يَنۢبَغِى لِأَحَدٍ مِّنۢ بَعْدِىٓۖ إِنَّكَ أَنتَ ٱلْوَهَّابُ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Akasema: Mola wangu Mlezi! Nisamehe na unipe ufalme usio mwelekea yeyote baada yangu. Hakika Wewe ndiye Mpaji.

Sad 38:36

فَسَخَّرْنَا لَهُ ٱلرِّيحَ تَجْرِى بِأَمْرِهِۦ رُخَآءً حَيْثُ أَصَابَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Basi tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo taka kufika.

English - Tafsir Ibn Kathir (Abridged)



Sad 38:37

وَٱلشَّيَٰطِينَ كُلَّ بَنَّآءٍ وَغَوَّاصٍ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi.

English - Tafsir Ibn Kathir (Abridged)

sidhani kama kunahitaji maelezi zaidi hapo , na kuhusu kuwepo na elimu ya kuyaamrisha majini kwenye uislamu hili napingana nalo kama una dalili tafadhal weka na isiwe nje ya quran na suna maana sitohangaika nayo na kama una muda hebu muulize huyo dr sule kama ana dalili pia kuhusiana na hayo aliyoyasema .

NA ALLAH(THE ALL KNOWING) ANAJUA ZAIDI
 
Quran 27:17 Na alikusanyiwa Suleiman majeshi yake ya majini, na watu na ndege nayo yakapangwa kwa nidhamu.

Msingi wa wakuyatumia majini uko hapo binadamu mwenye elimu juu ya anachokifanya bila kumshirikisha Mwenyezi Mungu majini ni kama mbwa unatuma anakufanyia kazi zako sema wasio kuwa na elimu ni waoga kwakua hawana elimu na kuzusha vitu someni mjue
Msingi upi ? Umesoma surat sad aya ya 35 mpaka ya 37? Na je? Hiyo elimu unayoongelea wewe Mtume muhammad (peace be upon him) aliwahi kuielezea popote? Je alifundisha du'a ya kuyaita majini? Je umesoma surat jini aya ya 6?

Elimu yako unaitolea wapi mkuu ? Au unafuata tu mkumbo ? Allah( the almighty) akuongoze na atuongoze na sisi mkuu fuata msingi wa kweli msingi wa salafi swalehe msingi wa wema waliomfuata mtumw achana na mambo ya kuzusha.

Hebu soma hapa

Sad 38:35

قَالَ رَبِّ ٱغْفِرْ لِى وَهَبْ لِى مُلْكًا لَّا يَنۢبَغِى لِأَحَدٍ مِّنۢ بَعْدِىٓۖ إِنَّكَ أَنتَ ٱلْوَهَّابُ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Akasema: Mola wangu Mlezi! Nisamehe na unipe ufalme usio mwelekea yeyote baada yangu. Hakika Wewe ndiye Mpaji.

Sad 38:36

فَسَخَّرْنَا لَهُ ٱلرِّيحَ تَجْرِى بِأَمْرِهِۦ رُخَآءً حَيْثُ أَصَابَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Basi tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo taka kufika.

English - Tafsir Ibn Kathir (Abridged)



Sad 38:37

وَٱلشَّيَٰطِينَ كُلَّ بَنَّآءٍ وَغَوَّاصٍ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi.

Kupitia aya hizo hapo tunagundua kwamba nabii sulaiman (peace be upon him) aliomba dua na Allah (the almighty ) akamjibia kwa kumpa ufalne wa dunia hii .

Sasa wewe unayekuja na kauli kwamba inafaa kuyatumia utupe dalili maana kama mtume muhammad (peace be upon him) hakuyatumia popote pale zaidi ya kuyalingania kuja kwenye uislamu (maana alikuwa mtume hivyo sishangai yeye kuweza kuongea nao na kuwalingania ) ila hakuna aya, hadith wala riwaya inayofundisha namna ya kuyatumia .

MKUU TUSOME DINI KWA MSINGI WA SALAFI SWALEH.

NA ALLAH ANAJUA(THE ALMIGHTY) ZAIDI
 
Msingi upi ? Umesoma surat sad aya ya 35 mpaka ya 37? Na je? Hiyo elimu unayoongelea wewe Mtume muhammad (peace be upon him) aliwahi kuielezea popote? Je alifundisha du'a ya kuyaita majini? Je umesoma surat jini aya ya 6?

Elimu yako unaitolea wapi mkuu ? Au unafuata tu mkumbo ? Allah( the almighty) akuongoze na atuongoze na sisi mkuu fuata msingi wa kweli msingi wa salafi swalehe msingi wa wema waliomfuata mtumw achana na mambo ya kuzusha.

Hebu soma hapa

Sad 38:35

قَالَ رَبِّ ٱغْفِرْ لِى وَهَبْ لِى مُلْكًا لَّا يَنۢبَغِى لِأَحَدٍ مِّنۢ بَعْدِىٓۖ إِنَّكَ أَنتَ ٱلْوَهَّابُ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Akasema: Mola wangu Mlezi! Nisamehe na unipe ufalme usio mwelekea yeyote baada yangu. Hakika Wewe ndiye Mpaji.

Sad 38:36

فَسَخَّرْنَا لَهُ ٱلرِّيحَ تَجْرِى بِأَمْرِهِۦ رُخَآءً حَيْثُ أَصَابَ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Basi tukaufanya upepo umtumikie, ukenda kwa amri yake, popote alipo taka kufika.

English - Tafsir Ibn Kathir (Abridged)



Sad 38:37

وَٱلشَّيَٰطِينَ كُلَّ بَنَّآءٍ وَغَوَّاصٍ

Swahili - Ali Muhsin Al-Barwani

Na tukayafanya mashet'ani yamtumikie, wote wajenzi na wapiga mbizi.

Kupitia aya hizo hapo tunagundua kwamba nabii sulaiman (peace be upon him) aliomba dua na Allah (the almighty ) akamjibia kwa kumpa ufalne wa dunia hii .

Sasa wewe unayekuja na kauli kwamba inafaa kuyatumia utupe dalili maana kama mtume muhammad (peace be upon him) hakuyatumia popote pale zaidi ya kuyalingania kuja kwenye uislamu (maana alikuwa mtume hivyo sishangai yeye kuweza kuongea nao na kuwalingania ) ila hakuna aya, hadith wala riwaya inayofundisha namna ya kuyatumia .

MKUU TUSOME DINI KWA MSINGI WA SALAFI SWALEH.

NA ALLAH ANAJUA(THE ALMIGHTY) ZAIDI
Sio sahihi kuyatumia bali kuyatiisha.
Kuyatumia ni sawa na kushirikiana nayo,hivyo ni haram.
 
andika kiswahili au kiingereza wewe, mimi sijui kiarabu
Sawa huo msemo waarabu wa zamani huutumia kwa mtu ambaye anaelewa mambo kwa shida sana au kinyume kabisa au yule slow learner wa mwisho kabisa, mfano tunajua kuwa mfumo wetu wa usafirishaji umejaa utapeli wa hali ya juu kupitia kwa maagent na wazee wa kujazia nauli za ziada juu ya nauli ya halali, halafu utokee wewe kutoka huko maporini useme yaani hizi nauli ndio nauli za serikali kabisa!.

Hapo tutakwambia أنت ممّن تنادى من مكان بعيد yaani wewe ni katika wale wanaoitwa nao wako pahala pa mbali kabisa, huelewi wala hufahamu maneno wenzio wako 5g wewe bado unahangaika na 0.01g nadhani nimekufafanulia.
 
Nimekuelewa, ingawa sasa matendo ya viongozi na maneno yao ya kiimani wanayoyatenda huku mitaani, nadhani yamechagiza baadhi kuisema isivyofaa imani hiyo.

Utakuta mhusika ni Imam, Shekh au Usitadhat ila anahubiri habari za majini na ushirika wake na Waislam au anamiliki kiringe kihalali kwa ajili ya tiba zinazohusisha majini.

Nimeelewa wafanyayo hayo, wako kinyume na Uislam ingawa bado wanaitwa/wanajiita Waislam.
Sahihi kabisa
 
  • Thanks
Reactions: K11
Ni sawa na yupo sawa kulingana na anachokiamini yeye..., To each their own...

Ila issue ni impact yake kwa jamii.. mimi imani yoyote yenye kuleta shida ka jirani yako sidhani kama ni sahihi kwa huyo jirani..., Hivyo kwangu tatizo halipo kwenye hayo so called majini bali mali hiyo inapatikana vipi (kama ni kwa madhara kwa jirani basi imani hio haifai)

Ila tukija logically majini ni nini na yapo wapi sababu wewe mwenye imani ya Being mmoja kumbikishia Imani mwingine anayeamini Being mwingine nadhani ni kukosa ustahimilivu...
 
Na ni bora umeandika Allah anajua zaidi umetokea hapo. Vinginevyo unahitaji kujifunza dini zaidi na zaidi kuna vitu vingi hujui, japo alhamdulillah kwa iliyonayo ili kabla kupinga jifunze zaidi.

Huyo Sule huwezi kumpangua kwa hoja na kwambia wewe hapa umeonyesha kumdharau lakini kahifadhi Quran nzima moyoni na kichwani pia kahifadhi biblia nzima kichwani iweje umbeze jana kwamba hana kitu? Acha kabisa hilo

Kuhusu majini Dkt Sule yuko sahihi Kama muislam ana elimu kuhusu nayo pasi na kumshirikisha Allah basi anaweza kufanya nayo kazi kwani Nabii Suleiman majini na binadamu ndio waliojenga hekalu alikua akiwasimamia na alikua na akiwapangia kazi mbalimbali kwa jinsi anavyotaka na Allah ametwambia Nabii hakukufuru.

Aya nitakuwekea inshaallah
Kama dokta sule amehifadhi Qur'an mimi natoka hapa JF najiuzulu kabisa uanachama, hivi unaijua Qur'an au unaiskia unadhani ni katiba hiyo? huyu hapa al ustadh al kabiyr mazinge ni mwenzie na dokta sule nadhani unamjua msikilize anavyoisoma hiyo Qur'an, hawa watu wako mbali na elimu na hawana maarifa wamepotea na wanawapoteza wenzao.


Sasa mtu haijui ayatul kursiyy aya tukufu zaidi katika Qur'an atajua nini? aya hii waislamu wanaisoma wakiamka asubuhi, wakilala kila baada ya swala, asubuhi na jioni yeye na mvi zake haijui, na ni mlinganizi eti anawavuta watu kuingia kwenye uislamu, na waislamu wamemtanguliza mbele eti ni shekhe wao, aibu kubwa iliyoje juu yake na juu yao.
 
Duh huyu jamaa ni dokta 😄
Nchi hii ina wpmbv na wjng wengi
Sana,maelfu ya watu wanakaa na kumsikiliza huyu Tlaatlaah

Ova
 
Sio sahihi kuyatumia bali kuyatiisha.
Kuyatumia ni sawa na kushirikiana nayo,hivyo ni haram.
Kama unaamisha kuyaamuru yatoke kwenye mwili wa mtu kwa amri ya Allah( the almighty) i.e ruqya ni sahihi kinyume na hapo ni SHIRKI .
 
Sule ni mjanjajanja fulani aliyewashika masikio nyumbu wa dini yake, wanamuamini sana mpuuzi huyo
 
Hao ni Majahili(Wajinga/Wapumbavu) tu wa Uislamu.

Amesema Mtume Wa Allah" Umeanza Uislamu ukiwa mgeni na utaendelea/rejea kuwa mgeni basi hongera kwa wageni"

Hao wanachanganya mila zao za mizimu kama Yericko Nyerere na Uislamu.

Huyo Sule ni mfanyabiashara wa dini (Tijaru dini) kama walivyo akina Mwamposa tu. Anatajirika kwa jina la dini, amekuwa mchawi(mfuga majini) mwenye jina la kiislamu.
wachawi wamekuwa wengi sana, wanachofanya ni kuchagua dini ya kujinasibu nayo ili wawakamate kisawasawa wateja wao walioko huko.
 
Kama unaamisha kuyaamuru yatoke kwenye mwili wa mtu kwa amri ya Allah( the almighty) i.e ruqya ni sahihi kinyume na hapo ni SHIRKI .
Kuna kuyaamrishwa kwa namna tofauti.
Pia mkuu hii elimu ina uwanda mpana sana.
Maana kuna wanazuoni ambao wametoa mpaka vitabu vya dua ambavyo kuna ayah za Qur'an za kuwanyeyekeza hao viumbe kwa munajili tofauti tofauti.
 
Back
Top Bottom