Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

Dkt. Sule: Kutumia Majini kupata Mali si dhambi/ haramu

Naam mkuu wangu, mimi ni muislamu wa kuzaliwa na ni mwanafunzi niliyechukua faragha kuisoma dini namaanisha nina miaka 10+ nikiwa nasoma na bado ningali darasani, ninachokueleza hakuna ushirika wowote baina ya majini na wanadamu bali wao ni viumbe mbali na sisi ni viumbe mbali.

Mkanganyiko uliopo ni huu ufuatao na nitasema ukweli kwa mujibu wa uislamu, majini ni viumbe kama sisi wameumbwa kwa malengo ya kuabudu kama sisi, wao wapo kwenye ulimwengu usioonekana na sisi tupo kwenye ulimwengu huu unaoufahamu, kuna wema na waovu kama ilivyokuwa kwetu wanadamu, na wao wana maisha yao na sisi tuna maisha yetu.

Ama kuhusu ushirika au ushirikiano wowote baina ya waislamu wanadamu na waislamu majini huu haupo kabisa, bali ukifanya hivyo ndio maana halisi ya ushirikina unaopigwa vita na uislamu tangu hapo kale.

Amesema allah aliyetukuka: "Na wamemfanyia Allah majini kuwa washirika wake, na hali ya kuwa yeye ndiye aliyewaumba, na wakamzulia kuwa ana watoto wa kiume na wa kike pasi na elimu yoyote, ametakasika kutakasika kabisa! na ametukuka juu ya hayo wanayomsifia!".

Qur'an 6:100

Sasa ni jambo lisilowezekana Qur'an ambayo ndiyo sheria mama kwenye uislamu ijigonge yenyewe kwa yenyewe, nadhani nimefafanua kama una swali au hujaelewa naweza kueleza tena kwa namna nyingine, asante.
Sura ya Majini katika Quran huwa ina maana ipi katika uislam
 
Sura ya Majini katika Quran huwa ina maana ipi katika uislam
Ni jina tu kwasababu ndani yake kuna habari kidogo kuhusu hao majini, ni kama suratu nnisaa sura ya wanawake, suuratu maryam kwasababu ndani yake kuna habari za mama yake masihi issa mwana wa maryam amani iwe juu yake, na nyingine nyingi, kuna suuratul baqarah kwasababu ndani yake kuna habari za ng'ombe aliyefanywa mtihani kwa wana wa israeli, so ni jina tu hakuna siri yeyote ni sura kama sura nyinginezo.

Sema: Imefunuliwa kwangu ya kwamba kundi moja katika majini liliisikia {Qur'an}, basi wakasema "hakika sisi tumeisikia Qur'an ya ajabu!."

Inaongoza kwenye uongofu basi tumeiamini, na wala hatutamshirikisha mola wetu na yeyote.

Na kwa hakika utukufu wa mola wetu umetukuka kabisa! hakujifanyia mke wala mtoto.

Qur'an 72:1-3

Mpaka mwisho wa sura.

Hiyo ndiyo suuratul jinn majini wenyewe wanasema hawatofanya ushirikina, halafu mtu anaibuka anasema inafaa kuwaomba majini mali, hao ni mashetani marafiki zao.
 
Late reply inshaallah nitakujibu kwa dalili na kwa kadiri nitakavyo afikishwa na ningependa na wewe utoe dalili mkuuu hivi tutaenda vizuri maana dini yetu hii ni qal allahu , qala rasulu na si nje ya hapo.

Ok umeuliza maswali mawili na nitayajibu kama ifuatavyo.

1. Namaanisha nini ninaposema kuifuata ruqya.

Jibu
Ruqya kama inavyotambulika hii ni tiba ya kisunna ya mambo mbali mbali kupitia quran na adhqar mbali mbali kama alivyotufundisha mtume wetu muhammad(swalalahu alayhi wasalam) na mtume muhammad (swalalahu alayhi wasalam) aliitumia sehemu mbali mbali mfano Alipologwa alitumia sura zile tatu za mwisho (surat nas, falaq na ikhlas) na Allah( subhana huwataala ) amponye kutokana na sihr aliyofanyiwa , kingine pia aliwahi kujiwa na mwanamke mwenye kifafa na akamuombea dua ili akidodoka nguo isimvuke na kumuacha uchi nadhani mifano ipo mingi sitoingia sana ndani .

Sasa turudi kwenye swali lako nitalijibu kwa hadith hii hapa

Hadith

"حَدَّثَنَا مُسَدَّدٌ، حَدَّثَنَا حُصَيْنُ بْنُ نُمَيْرٍ، عَنْ حُصَيْنِ بْنِ عَبْدِ الرَّحْمَنِ، عَنْ سَعِيدِ بْنِ جُبَيْرٍ، عَنِ ابْنِ عَبَّاسٍ ـ رضى الله عنهما ـ قَالَ خَرَجَ عَلَيْنَا النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم يَوْمًا فَقَالَ ‏"‏ عُرِضَتْ عَلَىَّ الأُمَمُ فَجَعَلَ يَمُرُّ النَّبِيُّ مَعَهُ الرَّجُلُ وَالنَّبِيُّ مَعَهُ الرَّجُلاَنِ، وَالنَّبِيُّ مَعَهُ الرَّهْطُ، وَالنَّبِيُّ لَيْسَ مَعَهُ أَحَدٌ، وَرَأَيْتُ سَوَادًا كَثِيرًا سَدَّ الأُفُقَ فَرَجَوْتُ أَنْ يَكُونَ أُمَّتِي، فَقِيلَ هَذَا مُوسَى وَقَوْمُهُ‏.‏ ثُمَّ قِيلَ لِي انْظُرْ‏.‏ فَرَأَيْتُ سَوَادًا كَثِيرًا سَدَّ الأُفُقَ فَقِيلَ لِي انْظُرْ هَكَذَا وَهَكَذَا‏.‏ فَرَأَيْتُ سَوَادًا كَثِيرًا سَدَّ الأُفُقَ فَقِيلَ هَؤُلاَءِ أُمَّتُكَ، وَمَعَ هَؤُلاَءِ سَبْعُونَ أَلْفًا يَدْخُلُونَ الْجَنَّةَ بِغَيْرِ حِسَابٍ ‏"‏‏.‏ فَتَفَرَّقَ النَّاسُ وَلَمْ يُبَيَّنْ لَهُمْ، فَتَذَاكَرَ أَصْحَابُ النَّبِيِّ صلى الله عليه وسلم فَقَالُوا أَمَّا نَحْنُ فَوُلِدْنَا فِي الشِّرْكِ، وَلَكِنَّا آمَنَّا بِاللَّهِ وَرَسُولِهِ، وَلَكِنْ هَؤُلاَءِ هُمْ أَبْنَاؤُنَا، فَبَلَغَ النَّبِيَّ صلى الله عليه وسلم فَقَالَ ‏"‏ هُمُ الَّذِينَ لاَ يَتَطَيَّرُونَ، وَلاَ يَسْتَرْقُونَ، وَلاَ يَكْتَوُونَ، وَعَلَى رَبِّهِمْ يَتَوَكَّلُونَ ‏"‏‏.‏ فَقَامَ عُكَّاشَةُ بْنُ مِحْصَنٍ فَقَالَ أَمِنْهُمْ أَنَا يَا رَسُولَ اللَّهِ قَالَ ‏"‏ نَعَمْ ‏"‏‏.‏ فَقَامَ آخَرُ فَقَالَ أَمِنْهُمْ أَنَا فَقَالَ ‏"‏ سَبَقَكَ بِهَا عُكَّاشَةُ ‏"‏‏.‏"

Narrated Ibn `Abbas:
The Prophet (ﷺ) once came out to us and said, "Some nations were displayed before me. A prophet would pass in front of me with one man, and another with two men, and another with a group of people. and another with nobody with him. Then I saw a great crowd covering the horizon and I wished that they were my followers, but it was said to me, 'This is Moses and his followers.' Then it was said to me, 'Look'' I looked and saw a big gathering with a large number of people covering the horizon. It was said, "Look this way and that way.' So I saw a big crowd covering the horizon. Then it was said to me, "These are your followers, and among them there are 70,000 who will enter Paradise without (being asked about their) accounts. " Then the people dispersed and the Prophet (ﷺ) did not tell who those 70,000 were. So the companions of the Prophet (ﷺ) started talking about that and some of them said, "As regards us, we were born in the era of heathenism, but then we believed in Allah and His Messenger . We think however, that these (70,000) are our offspring." That talk reached the Prophet (ﷺ) who said, "These (70,000) are the people who do not draw an evil omen from (birds) and do not get treated by branding themselves and do not treat with Ruqya, but put their trust (only) in their Lord." then 'Ukasha bin Muhsin got up and said, "O Allah's Messenger (ﷺ) ! Am I one of those (70,000)?" The Prophet (ﷺ) said, "Yes." Then another person got up and said, "Am I one of them?" The Prophet (ﷺ) said, " 'Ukasha has anticipated you."

Sahih

Sahih al-Bukhari, 5752
In-Book Reference: Book 76, Hadith 67
USC-MSA web (English) reference: Vol. 7, Book 71, Hadith 648 (deprecated numbering scheme)

Tafsiri kwa kiswahili

Imepokewa na Ibn Abbas:
Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) siku moja alitujia na kusema: “Baadhi ya mataifa yalionyeshwa mbele yangu. Nabii alikuwa akipita mbele yangu akiwa na mtu mmoja, na mwingine akiwa na watu wawili, na mwingine na kundi la watu. hakuna mtu pamoja naye. Kisha nikaona umati mkubwa wa watu ukifunika upeo wa macho, nikatamani wawe wafuasi wangu, lakini nikaambiwa: Huyu ni Musa na wafuasi wake. Kisha nikaambiwa, 'Angalia'' Nilitazama na nikaona kusanyiko kubwa na idadi kubwa ya watu wamefunika upeo wa macho. Kwa hiyo nikaona umati mkubwa ukifunika upeo wa macho. Kisha nikaambiwa: “Hawa ni wafuasi wako, na miongoni mwao wapo 70,000 watakaoingia Peponi bila ya (kuulizwa kuhusu) hesabu zao.” Kisha watu wakatawanyika na Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) hakueleza ni nani hao 70,000. . Maswahaba wa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) wakaanza kuzungumzia hilo na baadhi yao wakasema: “Hakika sisi tulizaliwa katika zama za ukafiri, lakini tukamuamini Mwenyezi Mungu na Mtume wake. 70,000) ni wazao wetu." Mazungumzo hayo yalimfikia Mtume (Swalla Allaahu ‘alayhi wa aalihi wa sallam) akasema: “Hawa (70,000) ni watu ambao hawawazi ubaya kutoka kwa (ndege) na hawajitii alama, wala hawafanyii Ruqya, bali wanamtegemea Mola wao Mlezi." kisha 'Ukasha bin Muhsin akasimama na kusema: "Ewe Mtume wa Mwenyezi Mungu (ﷺ)! Je, mimi ni miongoni mwa hao (70,000)?" Mtume (ﷺ) akasema, "Ndio." Kisha mtu mwingine akasimama na kusema, "Je, mimi ni mmoja wao?" Mtume (ﷺ) akasema: ‘Ukasha amekutangulia.

KWa miaka ya sasa watu asilimia kubwa wanaifuata ruqya i.e kwa mashaikh kwa sababu mbali mbali na wachache ndiyo wanajifanyia wao wenyewe sasa waliongelewa hapa ni wale ambao wanakwenda kufanyiwa kisomo au wanaita shaikh awafanyir kisomo.

2. kwanini ruqya imefanywa kusomwa kwa idadi ya witiri?

Jibu
nadhani jibu la hili swali tunalipata kwenye hadithi hii hapa .Bali haijaongelea ruqya ila ijtihad inabidi ifuate quran na sunna na sidhani kama kuna dalili ya kuisoma kwa idadi fulani .

Hadith

"حَدَّثَنَا عَمْرٌو النَّاقِدُ، وَزُهَيْرُ بْنُ حَرْبٍ، وَابْنُ أَبِي عُمَرَ، جَمِيعًا عَنْ سُفْيَانَ، - وَاللَّفْظُ
لِعَمْرٍو - حَدَّثَنَا سُفْيَانُ بْنُ عُيَيْنَةَ، عَنْ أَبِي الزِّنَادِ، عَنِ الأَعْرَجِ، عَنْ أَبِي هُرَيْرَةَ، عَنِ النَّبِيِّ
صلى الله عليه وسلم قَالَ ‏"‏ لِلَّهِ تِسْعَةٌ وَتِسْعُونَ اسْمًا مَنْ حَفِظَهَا دَخَلَ الْجَنَّةَ وَإِنَّ اللَّهَ وِتْرٌ
يُحِبُّ الْوِتْرَ ‏"‏ ‏.‏ وَفِي رِوَايَةِ ابْنِ أَبِي عُمَرَ ‏"‏ مَنْ أَحْصَاهَا ‏"‏ ‏.‏"

Abu Huraira reported Allah's Messenger (ﷺ) as saying:
There are ninety-nine names of Allah; he who commits them to memory would get into Paradise. Verily, Allah is Odd (He is one, and it is an odd number) and He loves odd number. And in the narration of Ibn 'Umar (the words are):" He who enumerated them."

Sahih

Sahih Muslim, 2677 a
In-Book Reference: Book 48, Hadith 5
USC-MSA web (English) reference: Book 35, Hadith 6475 (deprecated numbering scheme)

Tafsir swahili

Imepokewa kutoka kwa Abu Huraira kuwa Mtume wa Mwenyezi Mungu (ﷺ) amesema:
Kuna majina tisini na tisa ya Mwenyezi Mungu; mwenye kuyahifadhi ataingia Peponi. Hakika Mwenyezi Mungu ni witiri(odd) (Yeye ni mmoja, na moja ni namba witiri ) na Anapenda idadi ya witiri. Na katika riwaya ya Ibn Umar (maneno yaliyotumika ni): "Atakaye yatamka"

Mkuu nasubiri uje na dalili ya swali langu

NA ALLAH NI MJUZI ZAIDI


MTUME ALIROGWA? WEWE SHEIKH UNAONGEAJE MANENO HAYA. MTUME ALIROGWA? KABISA UNAANDIKA HAYA?
 
Kuyapata hayo majini ni kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano, namaanisha majini ya utajiri achana na majini mabaya ya maradhi na umasikini.

Kwenye watu elfu kumi mnaweza msikizi vigezo wote vya kuyapata
Hayo majini ya utajiri yanakupa vitu gani na yanavitoa wapi?
 
MTUME ALIROGWA? WEWE SHEIKH UNAONGEAJE MANENO HAYA. MTUME ALIROGWA? KABISA UNAANDIKA HAYA?
Alirongwa ndiyo na myahudi aliyejulikana kama Ibn A'sam al-Yahudl aliyekuwa anatokea kabila wa banu zurayqa, na ndiyo sababu zikashuka sura tatu za mwisho kwenye mushaf (surat-nas, falaq na ikhlas).

Ushahidi ni hadithi hii hapa

Hadith

"حَدَّثَنَا إِبْرَاهِيمُ بْنُ مُوسَى، أَخْبَرَنَا عِيسَى بْنُ يُونُسَ، عَنْ هِشَامٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ ـ رضى الله عنها ـ قَالَتْ سَحَرَ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم رَجُلٌ مِنْ بَنِي زُرَيْقٍ يُقَالُ لَهُ لَبِيدُ بْنُ الأَعْصَمِ، حَتَّى كَانَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم يُخَيَّلُ إِلَيْهِ أَنَّهُ يَفْعَلُ الشَّىْءَ وَمَا فَعَلَهُ، حَتَّى إِذَا كَانَ ذَاتَ يَوْمٍ أَوْ ذَاتَ لَيْلَةٍ وَهْوَ عِنْدِي لَكِنَّهُ دَعَا وَدَعَا ثُمَّ قَالَ ‏"‏ يَا عَائِشَةُ، أَشَعَرْتِ أَنَّ اللَّهَ أَفْتَانِي فِيمَا اسْتَفْتَيْتُهُ فِيهِ، أَتَانِي رَجُلاَنِ فَقَعَدَ أَحَدُهُمَا عِنْدَ رَأْسِي، وَالآخَرُ عِنْدَ رِجْلَىَّ، فَقَالَ أَحَدُهُمَا لِصَاحِبِهِ مَا وَجَعُ الرَّجُلِ فَقَالَ مَطْبُوبٌ‏.‏ قَالَ مَنْ طَبَّهُ قَالَ لَبِيدُ بْنُ الأَعْصَمِ‏.‏ قَالَ فِي أَىِّ شَىْءٍ قَالَ فِي مُشْطٍ وَمُشَاطَةٍ، وَجُفِّ طَلْعِ نَخْلَةٍ ذَكَرٍ‏.‏ قَالَ وَأَيْنَ هُوَ قَالَ فِي بِئْرِ ذَرْوَانَ ‏"‏‏.‏ فَأَتَاهَا رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فِي نَاسٍ مِنْ أَصْحَابِهِ فَجَاءَ فَقَالَ ‏"‏ يَا عَائِشَةُ كَأَنَّ مَاءَهَا نُقَاعَةُ الْحِنَّاءِ، أَوْ كَأَنَّ رُءُوسَ نَخْلِهَا رُءُوسُ الشَّيَاطِينِ ‏"‏‏.‏ قُلْتُ يَا رَسُولَ اللَّهِ أَفَلاَ أَسْتَخْرِجُهُ قَالَ ‏"‏ قَدْ عَافَانِي اللَّهُ، فَكَرِهْتُ أَنْ أُثَوِّرَ عَلَى النَّاسِ فِيهِ شَرًّا ‏"‏‏.‏ فَأَمَرَ بِهَا فَدُفِنَتْ‏.‏ تَابَعَهُ أَبُو أُسَامَةَ وَأَبُو ضَمْرَةَ وَابْنُ أَبِي الزِّنَادِ عَنْ هِشَامٍ‏.‏ وَقَالَ اللَّيْثُ وَابْنُ عُيَيْنَةَ عَنْ هِشَامٍ فِي مُشْطٍ وَمُشَاقَةٍ‏.‏ يُقَالُ الْمُشَاطَةُ مَا يَخْرُجُ مِنَ الشَّعَرِ إِذَا مُشِطَ، وَالْمُشَاقَةُ مِنْ مُشَاقَةِ الْكَتَّانِ‏.‏"

Narrated `Aisha:
A man called Labid bin al-A'sam from the tribe of Bani Zaraiq worked magic on Allah's Messenger (ﷺ) till Allah's Messenger (ﷺ) started imagining that he had done a thing that he had not really done. One day or one night he was with us, he invoked Allah and invoked for a long period, and then said, "O `Aisha! Do you know that Allah has instructed me concerning the matter I have asked him about? Two men came to me and one of them sat near my head and the other near my feet. One of them said to his companion, "What is the disease of this man?" The other replied, "He is under the effect of magic.' The first one asked, 'Who has worked the magic on him?' The other replied, "Labid bin Al-A'sam.' The first one asked, 'What material did he use?' The other replied, 'A comb and the hairs stuck to it and the skin of pollen of a male date palm.' The first one asked, 'Where is that?' The other replied, '(That is) in the well of Dharwan;' " So Allah's Messenger (ﷺ) along with some of his companions went there and came back saying, "O `Aisha, the color of its water is like the infusion of Henna leaves. The tops of the date-palm trees near it are like the heads of the devils." I asked. "O Allah's Messenger (ﷺ) ? Why did you not show it (to the people)?" He said, "Since Allah cured me, I disliked to let evil spread among the people." Then he ordered that the well be filled up with earth.

Sahih

Sahih al-Bukhari, 5763
In-Book Reference: Book 76, Hadith 77
USC-MSA web (English) reference: Vol. 7, Book 71, Hadith 658 (deprecated numbering scheme)

Kuna hekima kwa kilichomtokea mtume wa allah (subhana huwataala) na yote ni ili tujifunze kinga kutokana na sihri .

Sanadi ya hadithi hiyo ni hii hapa.
 

Attachments

  • Screenshot_20240520_195213.jpg
    Screenshot_20240520_195213.jpg
    288.1 KB · Views: 2
Mn elimu ndogo sana kuhusu masuala ya dinim namjua nabii suleiman au Solomon?
 
Alirongwa ndiyo na myahudi aliyejulikana kama Ibn A'sam al-Yahudl aliyekuwa anatokea kabila wa banu zurayqa, na ndiyo sababu zikashuka sura tatu za mwisho kwenye mushaf (surat-nas, falaq na ikhlas).

Ushahidi ni hadithi hii hapa

Hadith

"حَدَّثَنَا إِبْرَاهِيمُ بْنُ مُوسَى، أَخْبَرَنَا عِيسَى بْنُ يُونُسَ، عَنْ هِشَامٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ ـ رضى الله عنها ـ قَالَتْ سَحَرَ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم رَجُلٌ مِنْ بَنِي زُرَيْقٍ يُقَالُ لَهُ لَبِيدُ بْنُ الأَعْصَمِ، حَتَّى كَانَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم يُخَيَّلُ إِلَيْهِ أَنَّهُ يَفْعَلُ الشَّىْءَ وَمَا فَعَلَهُ، حَتَّى إِذَا كَانَ ذَاتَ يَوْمٍ أَوْ ذَاتَ لَيْلَةٍ وَهْوَ عِنْدِي لَكِنَّهُ دَعَا وَدَعَا ثُمَّ قَالَ ‏"‏ يَا عَائِشَةُ، أَشَعَرْتِ أَنَّ اللَّهَ أَفْتَانِي فِيمَا اسْتَفْتَيْتُهُ فِيهِ، أَتَانِي رَجُلاَنِ فَقَعَدَ أَحَدُهُمَا عِنْدَ رَأْسِي، وَالآخَرُ عِنْدَ رِجْلَىَّ، فَقَالَ أَحَدُهُمَا لِصَاحِبِهِ مَا وَجَعُ الرَّجُلِ فَقَالَ مَطْبُوبٌ‏.‏ قَالَ مَنْ طَبَّهُ قَالَ لَبِيدُ بْنُ الأَعْصَمِ‏.‏ قَالَ فِي أَىِّ شَىْءٍ قَالَ فِي مُشْطٍ وَمُشَاطَةٍ، وَجُفِّ طَلْعِ نَخْلَةٍ ذَكَرٍ‏.‏ قَالَ وَأَيْنَ هُوَ قَالَ فِي بِئْرِ ذَرْوَانَ ‏"‏‏.‏ فَأَتَاهَا رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فِي نَاسٍ مِنْ أَصْحَابِهِ فَجَاءَ فَقَالَ ‏"‏ يَا عَائِشَةُ كَأَنَّ مَاءَهَا نُقَاعَةُ الْحِنَّاءِ، أَوْ كَأَنَّ رُءُوسَ نَخْلِهَا رُءُوسُ الشَّيَاطِينِ ‏"‏‏.‏ قُلْتُ يَا رَسُولَ اللَّهِ أَفَلاَ أَسْتَخْرِجُهُ قَالَ ‏"‏ قَدْ عَافَانِي اللَّهُ، فَكَرِهْتُ أَنْ أُثَوِّرَ عَلَى النَّاسِ فِيهِ شَرًّا ‏"‏‏.‏ فَأَمَرَ بِهَا فَدُفِنَتْ‏.‏ تَابَعَهُ أَبُو أُسَامَةَ وَأَبُو ضَمْرَةَ وَابْنُ أَبِي الزِّنَادِ عَنْ هِشَامٍ‏.‏ وَقَالَ اللَّيْثُ وَابْنُ عُيَيْنَةَ عَنْ هِشَامٍ فِي مُشْطٍ وَمُشَاقَةٍ‏.‏ يُقَالُ الْمُشَاطَةُ مَا يَخْرُجُ مِنَ الشَّعَرِ إِذَا مُشِطَ، وَالْمُشَاقَةُ مِنْ مُشَاقَةِ الْكَتَّانِ‏.‏"

Narrated `Aisha:
A man called Labid bin al-A'sam from the tribe of Bani Zaraiq worked magic on Allah's Messenger (ﷺ) till Allah's Messenger (ﷺ) started imagining that he had done a thing that he had not really done. One day or one night he was with us, he invoked Allah and invoked for a long period, and then said, "O `Aisha! Do you know that Allah has instructed me concerning the matter I have asked him about? Two men came to me and one of them sat near my head and the other near my feet. One of them said to his companion, "What is the disease of this man?" The other replied, "He is under the effect of magic.' The first one asked, 'Who has worked the magic on him?' The other replied, "Labid bin Al-A'sam.' The first one asked, 'What material did he use?' The other replied, 'A comb and the hairs stuck to it and the skin of pollen of a male date palm.' The first one asked, 'Where is that?' The other replied, '(That is) in the well of Dharwan;' " So Allah's Messenger (ﷺ) along with some of his companions went there and came back saying, "O `Aisha, the color of its water is like the infusion of Henna leaves. The tops of the date-palm trees near it are like the heads of the devils." I asked. "O Allah's Messenger (ﷺ) ? Why did you not show it (to the people)?" He said, "Since Allah cured me, I disliked to let evil spread among the people." Then he ordered that the well be filled up with earth.

Sahih

Sahih al-Bukhari, 5763
In-Book Reference: Book 76, Hadith 77
USC-MSA web (English) reference: Vol. 7, Book 71, Hadith 658 (deprecated numbering scheme)

Kuna hekima kwa kilichomtokea mtume wa allah (subhana huwataala) na yote ni ili tujifunze kinga kutokana na sihri .

Sanadi ya hadithi hiyo ni hii hapa.


AISEEEE.....


Alirongwa ndiyo na myahudi aliyejulikana kama Ibn A'sam al-Yahudl aliyekuwa anatokea kabila wa banu zurayqa, na ndiyo sababu zikashuka sura tatu za mwisho kwenye mushaf (surat-nas, falaq na ikhlas).

Ushahidi ni hadithi hii hapa

Hadith

"حَدَّثَنَا إِبْرَاهِيمُ بْنُ مُوسَى، أَخْبَرَنَا عِيسَى بْنُ يُونُسَ، عَنْ هِشَامٍ، عَنْ أَبِيهِ، عَنْ عَائِشَةَ ـ رضى الله عنها ـ قَالَتْ سَحَرَ رَسُولَ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم رَجُلٌ مِنْ بَنِي زُرَيْقٍ يُقَالُ لَهُ لَبِيدُ بْنُ الأَعْصَمِ، حَتَّى كَانَ رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم يُخَيَّلُ إِلَيْهِ أَنَّهُ يَفْعَلُ الشَّىْءَ وَمَا فَعَلَهُ، حَتَّى إِذَا كَانَ ذَاتَ يَوْمٍ أَوْ ذَاتَ لَيْلَةٍ وَهْوَ عِنْدِي لَكِنَّهُ دَعَا وَدَعَا ثُمَّ قَالَ ‏"‏ يَا عَائِشَةُ، أَشَعَرْتِ أَنَّ اللَّهَ أَفْتَانِي فِيمَا اسْتَفْتَيْتُهُ فِيهِ، أَتَانِي رَجُلاَنِ فَقَعَدَ أَحَدُهُمَا عِنْدَ رَأْسِي، وَالآخَرُ عِنْدَ رِجْلَىَّ، فَقَالَ أَحَدُهُمَا لِصَاحِبِهِ مَا وَجَعُ الرَّجُلِ فَقَالَ مَطْبُوبٌ‏.‏ قَالَ مَنْ طَبَّهُ قَالَ لَبِيدُ بْنُ الأَعْصَمِ‏.‏ قَالَ فِي أَىِّ شَىْءٍ قَالَ فِي مُشْطٍ وَمُشَاطَةٍ، وَجُفِّ طَلْعِ نَخْلَةٍ ذَكَرٍ‏.‏ قَالَ وَأَيْنَ هُوَ قَالَ فِي بِئْرِ ذَرْوَانَ ‏"‏‏.‏ فَأَتَاهَا رَسُولُ اللَّهِ صلى الله عليه وسلم فِي نَاسٍ مِنْ أَصْحَابِهِ فَجَاءَ فَقَالَ ‏"‏ يَا عَائِشَةُ كَأَنَّ مَاءَهَا نُقَاعَةُ الْحِنَّاءِ، أَوْ كَأَنَّ رُءُوسَ نَخْلِهَا رُءُوسُ الشَّيَاطِينِ ‏"‏‏.‏ قُلْتُ يَا رَسُولَ اللَّهِ أَفَلاَ أَسْتَخْرِجُهُ قَالَ ‏"‏ قَدْ عَافَانِي اللَّهُ، فَكَرِهْتُ أَنْ أُثَوِّرَ عَلَى النَّاسِ فِيهِ شَرًّا ‏"‏‏.‏ فَأَمَرَ بِهَا فَدُفِنَتْ‏.‏ تَابَعَهُ أَبُو أُسَامَةَ وَأَبُو ضَمْرَةَ وَابْنُ أَبِي الزِّنَادِ عَنْ هِشَامٍ‏.‏ وَقَالَ اللَّيْثُ وَابْنُ عُيَيْنَةَ عَنْ هِشَامٍ فِي مُشْطٍ وَمُشَاقَةٍ‏.‏ يُقَالُ الْمُشَاطَةُ مَا يَخْرُجُ مِنَ الشَّعَرِ إِذَا مُشِطَ، وَالْمُشَاقَةُ مِنْ مُشَاقَةِ الْكَتَّانِ‏.‏"

Narrated `Aisha:
A man called Labid bin al-A'sam from the tribe of Bani Zaraiq worked magic on Allah's Messenger (ﷺ) till Allah's Messenger (ﷺ) started imagining that he had done a thing that he had not really done. One day or one night he was with us, he invoked Allah and invoked for a long period, and then said, "O `Aisha! Do you know that Allah has instructed me concerning the matter I have asked him about? Two men came to me and one of them sat near my head and the other near my feet. One of them said to his companion, "What is the disease of this man?" The other replied, "He is under the effect of magic.' The first one asked, 'Who has worked the magic on him?' The other replied, "Labid bin Al-A'sam.' The first one asked, 'What material did he use?' The other replied, 'A comb and the hairs stuck to it and the skin of pollen of a male date palm.' The first one asked, 'Where is that?' The other replied, '(That is) in the well of Dharwan;' " So Allah's Messenger (ﷺ) along with some of his companions went there and came back saying, "O `Aisha, the color of its water is like the infusion of Henna leaves. The tops of the date-palm trees near it are like the heads of the devils." I asked. "O Allah's Messenger (ﷺ) ? Why did you not show it (to the people)?" He said, "Since Allah cured me, I disliked to let evil spread among the people." Then he ordered that the well be filled up with earth.

Sahih

Sahih al-Bukhari, 5763
In-Book Reference: Book 76, Hadith 77
USC-MSA web (English) reference: Vol. 7, Book 71, Hadith 658 (deprecated numbering scheme)

Kuna hekima kwa kilichomtokea mtume wa allah (subhana huwataala) na yote ni ili tujifunze kinga kutokana na sihri .

Sanadi ya hadithi hiyo ni hii hapa.


AISEEE..... NIMESHTUKA SANA. KUMBE INABIDI KUWACHUKIA SABA MAYAHUDI NA KUWAPENDA MAARABU. WALIMROGA MTUME?
 
Ogopa mtu shuleless halafu aliyekulia maisha magumu akatoboa uswahilini tutakoma kwa mbwembe ,showoff na mipasho...

Huyo jamaa anatrend sana na wakeze hao wanne.

Huawezi kumkuta Riz1 anafanya Showoff ,juzi nimemuona na mwijaku(Clip) kavaa kanzu yupo simple sana hapo hotelini Dodoma.
 
Kuyapata hayo majini ni kama ngamia kupenya kwenye tundu la sindano, namaanisha majini ya utajiri achana na majini mabaya ya maradhi na umasikini.

Kwenye watu elfu kumi mnaweza msikizi vigezo wote vya kuyapata
Ukiisomea elimu ya dini ya uislamu utaishia kuwa mganga wa majini au wa tiba asili
 
Ogopa mtu shuleless halafu aliyekulia maisha magumu akatoboa uswahilini tutakoma kwa mbwembe ,showoff na mipasho...

Huyo jamaa anatrend sana na wakeze hao wanne.

Huawezi kumkuta Riz1 anafanya Showoff ,juzi nimemuona na mwijaku(Clip) kavaa kanzu yupo simple sana hapo hotelini Dodoma.
Unamzungumzia mtu ambae anarudisha uchumi wa nchi nyuma??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
AISEEEE.....





AISEEE..... NIMESHTUKA SANA. KUMBE INABIDI KUWACHUKIA SABA MAYAHUDI NA KUWAPENDA MAARABU. WALIMROGA MTUME?
Jua kutofautisha kati ya muarabu na uislamu , uislamu haukuja kwa ajili ya waarabu ulikuja kwa ajili ya dunia nzima kuifundisha tawhid iliyokamilika kwa dunia nzima na mataifa yote our majesty and master Allah(the almighty ) aliamua kumchagua mtume kutokea katika kabila la waarabu ambaye bloodline yake inarudi tokea kwa nabii ibrahim (alayhi salaam) kama alivyochagua mitume kutoka mataifa mbali mbali hapo kabla. Niwataje kwa uchache idrisa (alayhi salaam) kwa watu wa ukoo wa qabil, ibrahim (alayhi salaam) kwa watu wa uru wa wakaldayo/ur of chaldea (babylon iraq), Hud (alayhi salaam ) kwa watu wa ad , swaleh (alayhi salaam) kwa watu wa thamud ,isa (alayhi salaam) kwa watu wa israil na muhammad (swalalahu alayhi wasaalam) kwa ulimwengu mzima kwa maana yeye ni kifungo cha utume.

Kusema muislamu anamchukia muisraeli ni very subjective term and loosely used , siwezi kukulaumu labda ndivyo ulivyokaririshwa tokea utotoni but my advice usiwe unaongea vitu bila ya kuwa na solid evidence kwanza , muslims and jews (orthodox jews) wamekuwa wakiishi kwa pamoja miaka mingi tu bila ya shida yeyote but things escalated quickly when zionists started their evil ethnicity cleansing fighting war without clear aim .

Jua kwamba kila kitu kina sababu na kulogwa kwa mtume muhammad (swalalahu alayhi wasalaam) kulikuwa na sababu pia, Allah( subhana huwataala) aliruhusu itokee na akamponya kwa muda aliotaka yeye pia ili tupate funzo .

NA ALLAH ANAJUA ZAIDI
 
Unamzungumzia mtu ambae anarudisha uchumi wa nchi nyuma??

Sent using Jamii Forums mobile app
Nazungumzia Showoff za waliokulia maisha magumu halafu shulessless waliotoboa vs waliokulia masha mazuri halafu wakaendeleza mali za wazee ,viongozi wote ni wapigaji mkuu ilo halipingiki sio huyo tu ni wote mafisadi wanatupiga na kurudisha nyuma maendeleo.
 
Back
Top Bottom