maranduhussein
JF-Expert Member
- Jul 5, 2011
- 275
- 140
Kweli akili yako kina kirefu tena kina kirefu cha Ibilisi mlaaniwa.Kama uislam unaruhusu mtu kula nguruwe kwamana ya suna inakuwaje mziki nao usiwe sehemu ya suna kwakuwa unampa mtu kipato
Umejibu vizuri ndicho nilichokuwa nataka ,kikubwa kusafisha kinywa vizuriNguruwe uislam hakuna sunna ya kula nguruwe noo hell noo you are wrongly informed.
Muislam anaruhusiwa kula nguruwe au mzogo yan mnyama alokufa kama kuna balaa njaa na hakuna vyakula vingine.
Mfano upo sehemu kuna balaa njaa na hakuna vyakula vingine ukaona mzoga ama ukaona nguruwe ruhusa kula ili ujiokoe na kifo cha njaa.
Ila tofauti na hapo Nguruwe haramu.
Naam umenena vyema DINI ndio inaongozwa na maandiko sio IMANIUmeeleza vizuri mwanzoni kwamba ni maoni binafsi.
Ila Imani haiongozwi na maono maana kuna maandiko.
Unapokosea ni kutaka viongozi wa dini wawe open minded, wakati kuna maandiko.
Naona hata kwenye tafsiri za vitabu vya dini pronoun ya Mungu inakuwa 'He' na sio 'She"Ukitumia biblia na korani kuitaja taswira ya Mungu basi utaona Mungu ni mwanaume sababu vitabu hivyo vimesema binadamu aliyeumbwa kwanza ni mwanaume kwa mfano wa Mungu.
Note:
Sijui taswira ya Mungu.
Nahisi Mungu ni nguvu fulani kubwa ya asili. Inawezakana Mungu hayupo katika muonekano wa mwili wa nyama. Labda ni nishati (energy) fulani.
Kukosa mboga hakukufanyi kuruhusiwa kula nguruwe hata ukipiga mswaki mwili mzima.endapo nitaenda sehemu hakuna mboga ya aina yeyote zaidi ya nyama ya nguruwe ,nife njaa kisa hairusiwi na Wala sisumu nitapiga mswaki kusafisha kinywa au uislam hautaki nife njaa
Mmmmmh basi wanakosea mkuu maana kula nguruwe ni haramu.Umejibu vizuri ndicho nilichokuwa nataka ,kikubwa kusafisha kinywa vizuri
Na taratibu hizo ,zinafanya Zanzibar nguruwe kuliwa sana haiwezekani wakristu pekee iwe vile
Ni ukweli usemayoUkitumia biblia na korani kuitaja taswira ya Mungu basi utaona Mungu ni mwanaume sababu vitabu hivyo vimesema binadamu aliyeumbwa kwanza ni mwanaume kwa mfano wa Mungu.
Note:
Sijui taswira ya Mungu.
Nahisi Mungu ni nguvu fulani kubwa ya asili. Inawezakana Mungu hayupo katika muonekano wa mwili wa nyama. Labda ni nishati (energy) fulani.
Zanzibar wakristo wengi sana tofauti na unavyofikiria. Plus wageni watalii, Zanzibar mahoteli ni mengi sana. Hata hio pombe nayo inauzika sana nowadays kwa sababu ya wageni watalii na watu kutoka baraUmejibu vizuri ndicho nilichokuwa nataka ,kikubwa kusafisha kinywa vizuri
Na taratibu hizo ,zinafanya Zanzibar nguruwe kuliwa sana haiwezekani wakristu pekee iwe vile
Japo mkuu kuna mambo ukiyafikiria na kuyatafakari lazima useme mtu hayuko sahihi.Swala la imani kila mtu na mtazamo wake na anavyoamini yeye huko India Mungu wao ni Ng'ombe na Nchi zingine zipo wanazoamini baadhi ya Wanyama kuwa ndio Mungu wao mambo ya kusema mimi nipo sahihi na huyu hayupo sahihi ni kutokujua dini...kila Mtu aaamini anachoona yeye ni sahihi...
Nimeongea kutokana na Biblia ninayoisomaLabda kwa ukristo ndio mwanadamu kaumbwa kwa mfanano wa Mungu.
ILa kiislam Mungu ama Uungu hauna ufanano na kitu wala kiumbe yeyote.
Mungu ama Uungu ukishakuwa na mfanano tu basi sifa ya upekee imeshakufa.
Binadamu ni kiumbe dhaifu chenye makosa mathalan wewe mtoto wa kike.
Utamfananishaje Mungu na kiumbe dhaifu chenye makosa kama wewe!!??
Ukiachana na shaggy pia kanisa la uingereza Anglicana wako kwenye utafiti kujua mungu ni mwanamke au Mwanaume mana hajawahi onekanaHarmonize sio authority yoyote katika uislamu.
Harmonize alisha ukana uislamu kwa vitendo tangu alipo ingia kwenye kazi ya muziki kwa sababu kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya kiislamu muziki ni haramu kama ilivyo nyama ya nguruwe .
Kwa hiyo kwa hermonize kuingia kwenye muziki tayari ameshajitoa kwenye uislamu.
Harmonize kasema kwamba kwa miaka 30 aliyo ishi duniani anadhani kwamba huenda Mungu ni mwanamke.
Harmonize was talking about a personal experience that he had with God.
Kwa mambo mema na mazuri ambayo Mungu amemtendea yeye kama yeye katika maisha yake Binafsi basi ameshawishika kuamini kwamba huenda Mungu akawa ni mwanamke...
Harmonize ameutathmini upendo ambao Mungu amemuonyesha kwenye maisha yake kisha akaufananisha na upendo wa mama yake mzazi.
Sasa ana kosa gani akisema kwamba ana amini kwamba huenda Mungu ni mwanamke?
Harmonize sio wa kwanza kutoa kauli hii hata Shaggy aliwahi kuimba kwenye wimbo wake " strength of a woman" kwamba anafikiri huenda Mungu akawa ni mwanamke.
Kitu kimoja ambacho nimegundua kuhusu viongozi na walimu wa dini zenu kuu mbili ukristu na uislamu ni kwamba these guys have got a very little and limited understanding about God. They think they know everything about God. Halafu wamemuwekea Mungu mipaka kwa maana ya kwamba wanaamini Mungu hawezi kuwa hivi wala vile. To them Mungu anaweza kuwa vile tu alivyo elezewa kwenye vitabu vyao na sio tofauti na hapo.
Yani wamemfunga Mungu kwenye vitabu vyao.
Kwa upande wa wakristu Mungu kwao alipewa majina tofauti tofauti kwa nyakati tofauti based on the personal experiences that he had with those people.
Mfano aliitwa Mungu wa Ibrahim kwa sababu ya his experience with Abraham.
Aliitwa Mungu wa Isaka kwa sababu ya his experience with Isack.
Aliitwa Mungu wa Yakobo kwa sababu ya his experience with Jacob.
Tundu Lissu alivyo shambuliwa kwa risasi mwaka 2017 na kisha aka survive watu wengi walisema ni Mungu ndio alimuokoa. Kama Lissu angeishi in Biblical times huenda leo tungekuwa na Mungu wa Tundu Lissu. Mungu mwenye kuokoa na hatari mbaya.
Je kwako wewe Binafsi based on your personal experience with God Mungu ni nani kwako? Mungu wako angeitwa nani? Mungu wa Likud angeitwa nani?
Kwa Harmonize yeye based on his personal experience with God kwake yeye Mungu ni Mama kwake ( mwanamke)
Kwa upendo ambao Mungu amemuonyesha Hermonize yeye anamfananisha Mungu wake na mama yake.
Jamani hivi duniani kuna kiumbe mwenye upendo wa kweli kama Mama?
Hata wewe Dr. Sule anae kupenda kuliko chochote ni Mama yako.
Hata wewe Dr. Sule ukiambiwa uchague kitu kimoja kati ya Mungu wa kwenye kitabu chako na mama yako mzazi alie kuzaa utamchagua mama.yako.
Chid Benz aliwahi kuongea point moja kubwa sana akasema.mama zetu ndio Mungu zetu. Hawa ndio walio tuumba kwenye mafumbo yao. Tunatakiwa kuwatazama kama.miungu.
Hata Mtume Muhammad (pbuh) aliwahi kuulizwa na swahiba wake " nifanye nini ili niende mbinguni"
Majibu ya mtume yalikuwa :
1. Mpende mama ako.
2. Mpende mama ako.
3. Mpende mama ako.
Mtume hakusema " mpende Mungu wako" la hasha. Alisema " mpende mama ako"
Uislamu unatuelekeza mama.ndio pepo yako.
Harmonize yupo sahihi sana kuliko Dr. SULE.
UPENDO WA MUNGU NI SAWA NA UPENDO WA MAMA.
Kama Hermonize angekuwa ni shekhe na akasema maneno hayo kama.shekhe ungeweza kumchallenge kidogo kwa sababu mashekhe na wachungaji/ mapadri huwaga hawana tumiagi fikra zao huru ktk kutoa maoni kuhusu Mungu . Wao huwa wana quote kilicho andikwa kwenye vitabu vyao.
Harmonize sio shekhe ndio maana ametumia mawazo yake Binafsi.
So Dr. Sule na wote mnao mtukana hermonize stop being selfish. Acheni kutaka kila mtu akiamini kile mnacho kiamini nyinyi.
Kwa hiyo Hermonize yupo sahihi kabisa..
Hapana, dharura inayozungumziwa ni ile ya kukosekana chakula kabisa, halu ambayo inaweza kumsababishia mtu kufa. Basi hapo naam ndio km kina hio nyama unaweza kula ili usife njaa.endapo nitaenda sehemu hakuna mboga ya aina yeyote zaidi ya nyama ya nguruwe ,nife njaa kisa hairusiwi na Wala sisumu nitapiga mswaki kusafisha kinywa au uislam hautaki nife njaa
Mungu hana udhaifu wa kuvuja hedhi kila mwezi na akili kama za paka za kudeka deka.Ni ukweli usemayo
Lakini 'Yohana 4:24' inasema, “Mungu ni roho na wote wanaomwabudu imewapasa kumwabudu katika roho na katika kweli”
Roho haina jinsia
Harmonize hana kosa lolote na kama analo atapambana na aliyemuumba
Huyo Shekhe anajifanya mtakatifu sana
Harmonize ametoa points nzuri na mimi nipo pamoja nae kwamba inawezekana Mungu ni mwanamke! Maana sio kwa Mapenzi haya anayotupa
Mwanamke ndie mtu pekee anayempenda mtoto kwenye shida na Raha
Ila kumeza mabomu kujilipua kisa bikra zaniwa Hilo fresh ila njaa mnaiwekea mipakaKukosa mboga hakukufanyi kuruhusiwa kula nguruwe hata ukipiga mswaki mwili mzima.
Eeeee waaaaaaaa ,haya ndo maswalaHapana, dharura inayozungumziwa ni ile ya kukosekana chakula kabisa, halu ambayo inaweza kumsababishia mtu kufa. Basi hapo naam ndio km kina hio nyama unaweza kula ili usife njaa.
Kwenye uislam kuna sharia, kuna na dharura hakuna ugumu wala kukalif nafs ya mtu
Naam umenena vyema DINI ndio inaongozwa na maandiko sio IMANI
Nawatu kutoka bara ,waislamu kwa wakristu nimekuelewaZanzibar wakristo wengi sana tofauti na unavyofikiria. Plus wageni watalii, Zanzibar mahoteli ni mengi sana. Hata hio pombe nayo inauzika sana nowadays kwa sababu ya wageni watalii na watu kutoka bara
Mbona mnapenda kumtetea sana huyo Mungu… kwa nini asijitokeze hadharaniMungu hana udhaifu wa kuvuja hedhi kila mwezi na akili kama za paka za kudeka deka.
Mungu usimfananishe na kiumbe dhaifu.
Kiumbe ambacho ikitokea hatari hujificha nyuma ya mwanaume kujipa kinga.
Mungu ni provider,toka lini mwanamke akawa na sifa ya kuwa provider!?
Naona watu mashoga na wasagaji na wa ndoa za jinsia moja wako kazimi kwa uzi huuHarmonize sio authority yoyote katika uislamu.
Harmonize alisha ukana uislamu kwa vitendo tangu alipo ingia kwenye kazi ya muziki kwa sababu kwa mujibu wa mafundisho ya dini ya kiislamu muziki ni haramu kama ilivyo nyama ya nguruwe .
Kwa hiyo kwa hermonize kuingia kwenye muziki tayari ameshajitoa kwenye uislamu.
Harmonize kasema kwamba kwa miaka 30 aliyo ishi duniani anadhani kwamba huenda Mungu ni mwanamke.
Harmonize was talking about a personal experience that he had with God.
Kwa mambo mema na mazuri ambayo Mungu amemtendea yeye kama yeye katika maisha yake Binafsi basi ameshawishika kuamini kwamba huenda Mungu akawa ni mwanamke...
Harmonize ameutathmini upendo ambao Mungu amemuonyesha kwenye maisha yake kisha akaufananisha na upendo wa mama yake mzazi.
Sasa ana kosa gani akisema kwamba ana amini kwamba huenda Mungu ni mwanamke?
Harmonize sio wa kwanza kutoa kauli hii hata Shaggy aliwahi kuimba kwenye wimbo wake " strength of a woman" kwamba anafikiri huenda Mungu akawa ni mwanamke.
Kitu kimoja ambacho nimegundua kuhusu viongozi na walimu wa dini zenu kuu mbili ukristu na uislamu ni kwamba these guys have got a very little and limited understanding about God. They think they know everything about God. Halafu wamemuwekea Mungu mipaka kwa maana ya kwamba wanaamini Mungu hawezi kuwa hivi wala vile. To them Mungu anaweza kuwa vile tu alivyo elezewa kwenye vitabu vyao na sio tofauti na hapo.
Yani wamemfunga Mungu kwenye vitabu vyao.
Kwa upande wa wakristu Mungu kwao alipewa majina tofauti tofauti kwa nyakati tofauti based on the personal experiences that he had with those people.
Mfano aliitwa Mungu wa Ibrahim kwa sababu ya his experience with Abraham.
Aliitwa Mungu wa Isaka kwa sababu ya his experience with Isack.
Aliitwa Mungu wa Yakobo kwa sababu ya his experience with Jacob.
Tundu Lissu alivyo shambuliwa kwa risasi mwaka 2017 na kisha aka survive watu wengi walisema ni Mungu ndio alimuokoa. Kama Lissu angeishi in Biblical times huenda leo tungekuwa na Mungu wa Tundu Lissu. Mungu mwenye kuokoa na hatari mbaya.
Je kwako wewe Binafsi based on your personal experience with God Mungu ni nani kwako? Mungu wako angeitwa nani? Mungu wa Likud angeitwa nani?
Kwa Harmonize yeye based on his personal experience with God kwake yeye Mungu ni Mama kwake ( mwanamke)
Kwa upendo ambao Mungu amemuonyesha Hermonize yeye anamfananisha Mungu wake na mama yake.
Jamani hivi duniani kuna kiumbe mwenye upendo wa kweli kama Mama?
Hata wewe Dr. Sule anae kupenda kuliko chochote ni Mama yako.
Hata wewe Dr. Sule ukiambiwa uchague kitu kimoja kati ya Mungu wa kwenye kitabu chako na mama yako mzazi alie kuzaa utamchagua mama.yako.
Chid Benz aliwahi kuongea point moja kubwa sana akasema.mama zetu ndio Mungu zetu. Hawa ndio walio tuumba kwenye mafumbo yao. Tunatakiwa kuwatazama kama.miungu.
Hata Mtume Muhammad (pbuh) aliwahi kuulizwa na swahiba wake " nifanye nini ili niende mbinguni"
Majibu ya mtume yalikuwa :
1. Mpende mama ako.
2. Mpende mama ako.
3. Mpende mama ako.
Mtume hakusema " mpende Mungu wako" la hasha. Alisema " mpende mama ako"
Uislamu unatuelekeza mama.ndio pepo yako.
Harmonize yupo sahihi sana kuliko Dr. SULE.
UPENDO WA MUNGU NI SAWA NA UPENDO WA MAMA.
Kama Hermonize angekuwa ni shekhe na akasema maneno hayo kama.shekhe ungeweza kumchallenge kidogo kwa sababu mashekhe na wachungaji/ mapadri huwaga hawana tumiagi fikra zao huru ktk kutoa maoni kuhusu Mungu . Wao huwa wana quote kilicho andikwa kwenye vitabu vyao.
Harmonize sio shekhe ndio maana ametumia mawazo yake Binafsi.
So Dr. Sule na wote mnao mtukana hermonize stop being selfish. Acheni kutaka kila mtu akiamini kile mnacho kiamini nyinyi.
Kwa hiyo Hermonize yupo sahihi kabisa..