Hatimaye Siku Tuliyoisubiri imewadia Mhe. Mbunge Wa Mbeya 2020-2025 Na Naibu Spika Dkt Tulia kachukua fomu ya kugombea Ubunge kilichobakia tunasubiri kuapishwa kwake mjengoni mwezi wa kumi na 11.
Betina hawezi kuwa mbunge wa Green City hata kwa siku moja.
Sugu ana wakati mgumu , huo ndio ukweli.
Lakini hata hivyo muda aliokaa Bungeni unatosha kabisa, hata akiondoka majuto yatakuwa kidogo.
Naibu Spika wa Bunge Dkt.Tulia Ackson amechukua fomu ya kuwania Ubunge katika Jimbo la Mbeya mjini kwa tiketi ya CCM. Akiwa amesindikizwa na mume wake James Andilile Mwainyekule, Dkt. Tulia amefika Ofisi za CCM Wilaya ya Mbeya leo Julai 14 2020 na kuchukua fomu hiyo.
Mbeya mjini Sugu anza kufungasha, hilo jimbo sio lako tena.
Usiwe poyoyo,unamkashifu mwenzio kakuchukulia mke??siasa sio vita,box LA kura litaamua October.ccm.oyeeSugu ana album alikuwa anaipika ina mistari imeshiba na wakati wa kuipakua umewadia anarudi tena kwenye gemu ubunge hatoupata tena mwenyewe kafika! huyu Tulia huwezi kumlinganisha na Sugu na atapata sapoti ya serikali Mbeya mpya itaonekana na kupendeza!!
Sugu ni mhuni, mvuta bangi , msela na mropokaji tu hana hadhi ya kuwa mbunge!!anafaa kuwa kiongozi wa umoja wa bodaboda, huyu goli la mkono ni halali kabisa kwake!!!
hebu msikie anavyojinasibu kuvuta bangi hapa chini!
Umepotea sana humuUkiwa na Jicho Kali na lililotukuka kabisa la Kisaikolojia ukimuangalia huyo Mumewe hapo nyuma utagundua kuwa ' anapelekeshwa ' hadi Huruma.
😂😂😂😂😂😂Ukiwa na Jicho Kali na lililotukuka kabisa la Kisaikolojia ukimuangalia huyo Mumewe hapo nyuma utagundua kuwa ' anapelekeshwa ' hadi Huruma.
Jamaa lazima anyanyasike kwanza anaonekana hata saikolojia yake haipo vizuri kwa kubandua mifupa tu
Ilikuwaje bossHatimaye nimeshaonekana sasa.
Kumbe wewe ni Demu,ndio nimejua leoMawazo yako nyie wanaume vipepe!
Mtu akiweka pose la kujiheshimu, nongwa!
AiseeeeJamaa lazima anyanyasike kwanza anaonekana hata saikolojia yake haipo vizuri kwa kubandua mifupa tu
Ilikuwaje boss
Kwa mfano mtu akiwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi X...mpunga mrefu anakua nao au hana?Hivi nyie mnaposema mtu Ana mpunga mrefu
Ni Urefu upi?
Je ni mfanyabiashara? Ana kiwanda?
Ova
Labda Kwa kukwapuaKwa mfano mtu akiwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi X...mpunga mrefu anakua nao au hana?