Kama Sophia vile, bye bye Sugu au siyo ErythrocyteHatimaye Siku Tuliyoisubiri imewadia Mhe Mbunge Wa Mbeya 2020-2025 Na Naibu Spika Dkt Tulia Kachukua fomu ya Kugombea ubunge kilichobakia tunasubiri kuapishwa kwake mjengoni mwezi wa kumi na 11.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama Sophia vile, bye bye Sugu au siyo ErythrocyteHatimaye Siku Tuliyoisubiri imewadia Mhe Mbunge Wa Mbeya 2020-2025 Na Naibu Spika Dkt Tulia Kachukua fomu ya Kugombea ubunge kilichobakia tunasubiri kuapishwa kwake mjengoni mwezi wa kumi na 11.
Kabisaaa huyo anaendeshwaMwanaume ' anayejiamini ' na ' asiyebabaishwa ' kamwe hawezi kuwa Mnyenyekevu na mwenye Adabu kupitiliza kwa Mwanamke kiasi hiki Mkuu.
Mafanikio ndio hayo kama kuwa Naibu spika n.kSasa huko kwenye Ubunge wanaenda kutafuta nini?
Na sisi Mbeya ni wahuni wavuta bangi waropokaji huyo MZEE WA KANISA hatatuweza na hatumhitaji, msela mwenzetu anatutoshaSugu ana album alikuwa anaipika ina mistari imeshiba na wakati wa kuipakua umewadia anarudi tena kwenye gemu ubunge hatoupata tena mwenyewe kafika! huyu
Sugu ni mhuni, mvuta bangi , msela na mropokaji tu hana hadhi ya kuwa mbunge!!anafaa kuwa kiongozi wa umoja wa bodaboda, huyu goli la mkono ni halali kabisa kwake!!!
Asante. Nami nimeona hivyo.Ukiwa na Jicho Kali na lililotukuka kabisa la Kisaikolojia ukimuangalia huyo Mumewe hapo nyuma utagundua kuwa ' anapelekeshwa ' hadi Huruma.
Usijaribu mkuu tena waase na wale uwapendao wasithubutu kuoa hao malimbukeni!Na kama kuna Wanawake ambao kamwe sitokuja hata Kuthubutu Kuwa nao Kimahusiano ni Wanasheria. NIi Wabishi, wana Gubu na wana Amri.
Asante. Nami nimeona hivyo.
Ila inaonekana anatoa support ya public sio kutoka ndani
Hakika umemena point leo wewe mdadaUkiwa na Jicho Kali na lililotukuka kabisa la Kisaikolojia ukimuangalia huyo Mumewe hapo nyuma utagundua kuwa ' anapelekeshwa ' hadi Huruma.
Hakika umemena point leo wewe mdada
Huyo si kaanza kuwezeshwa kwanza kwa kubebwa viti maalumuWanawake tunaweza hata tusipowezeshwa
Mimi mkara Unasemaje dada Genta?Yaani leo hii Mimi ni Mdada? Tafadhali kama Wewe siyo Mhaya. Mnyiramba, Muha, Mnyaturu, Mkara na Mrangi niombe Radhi upesi sana tu sawa?
Baba yako asingekua msela nondo usingezaliwa weweAcha kupaniki mjomba ...mambo ya kuongozwa na masela nondo yashapitwa na wakati
Mnyakyusa.. James Andilile Mwainyekule,Nahisi atakuwa ni Mhaya au Mnyiramba au Muha au Mnyaturu au Mrangi au Mkara huwezi kumkuta Mwanaume wa Mkoa wa Mara ' boya ' hivyo.
Mbona umepanic sana mkuu? Alafu kama una hofu hivi! Huo ni uchaguzi atakae shinda ndio atatangazwa! Mbona kama umeahajichokea kiakili kwamba ccm wataiba kura?Hauifahamu Mbeya wewe punguani wa ccm..
Unafikiri Mbeya mjini ni pakuiba-iba kura kama mnavyokwiba sehemu nyingine..
Ngoja utaona huyu BETINA atakavyogaragazwa na SUGU na hakuna hata kura moja mtakayoweza kuiba..
Chama Cha Majizi..CCM.
Anampenda mkewe na anamsupport.Jamaa ( Mumewe ) atakuwa ananyanyasika na anapata Taabu nae sana tu. Ni Kosa kwa Mwanaume kuwe Mnyenyekevu hivyo kwa Mwanamke.
Ni kura si kula.Inaonekana tayari kula zimepigwa