Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Ackson achukua fomu ya Ubunge Mbeya Mjini kupitia CCM. Asindikizwa na mumewe

Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Ackson achukua fomu ya Ubunge Mbeya Mjini kupitia CCM. Asindikizwa na mumewe

CCM ndiyo iliyompa SUGU ubunge kama haimuhitaji itamuondoa.

Kama inamuhitaji itambakiza.

Ni vizuri SUGU alinde heshima yake lakini pia wanaMBEYA ni vizuri mkamtathimini vizuri huyo SPIKA WA BUNGE ajaye.
 
Sugu ana album alikuwa anaipika ina mistari imeshiba na wakati wa kuipakua umewadia anarudi tena kwenye gemu ubunge hatoupata tena mwenyewe kafika! huyu

Sugu ni mhuni, mvuta bangi , msela na mropokaji tu hana hadhi ya kuwa mbunge!!anafaa kuwa kiongozi wa umoja wa bodaboda, huyu goli la mkono ni halali kabisa kwake!!!
Na sisi Mbeya ni wahuni wavuta bangi waropokaji huyo MZEE WA KANISA hatatuweza na hatumhitaji, msela mwenzetu anatutosha
 
Hauifahamu Mbeya wewe punguani wa ccm..

Unafikiri Mbeya mjini ni pakuiba-iba kura kama mnavyokwiba sehemu nyingine..

Ngoja utaona huyu BETINA atakavyogaragazwa na SUGU na hakuna hata kura moja mtakayoweza kuiba..

Chama Cha Majizi..CCM.
Mbona umepanic sana mkuu? Alafu kama una hofu hivi! Huo ni uchaguzi atakae shinda ndio atatangazwa! Mbona kama umeahajichokea kiakili kwamba ccm wataiba kura?
Alafu unamtisha nani? Hiyo Mbeya ina nini wakati Sugu alipigwa miezi sita jela huku wana wakiendelea kula ugali wala hakuna hata alieshtuka kwamba huyo mnaemwita rais wa Mbeya yupo jela?
 
Hoja ya ukabila itatumika kumshinda Sugu. Wanambeya wanaambiwa wachague mnyakyusa original. All in all hongera Tulia Ackson kwa kutumia haki yako kama raia. Wafaransa tunasema Qui ne tente pas n'a rien.
 
Back
Top Bottom