Dkt. Tulia Ackson ameshinda Urais wa IPU kwa kishindo, apata kura 172 kati ya 303


Hicho cheo ni sawa na mtu kuwa class monitor au dada mkuu. Hakina tija yoyote Dunia hii. Labda kwake ni sifa, maana ndio cheo pekee anaweza kushinda bila wizi wa kura.
 
Hicho cheo ni sawa na mtu kuwa class monitor au dada mkuu. Hakina tija yoyote Dunia hii. Labda kwake ni sifa, maana ndio cheo pekee anaweza kushinda bila wizi wa kura.
Acha unafiki wako .si mlikuwa mnasema hawezi kushinda? Naona aibu imewashika baada ya kuona amepita kwa kishindo huku shangwe ikitawala ukumbi mzima.
 
Acha unafiki wako .si mlikuwa mnasema hawezi kushinda? Naona aibu imewashika baada ya kuona amepita kwa kishindo huku shangwe ikitawala ukumbi mzima.
Kwa taarifa yako Wala sikufuatilia maana najua sio cheo serious. Huyo hawezi kushinda cheo chochote serious bila wizi. Nyie malimbukeni wa vyeo ndio mnaona ni bonge ya cheo. Kwangu naona ni kama kumsifia mtoto wako kuibuka mshindi wa kuwa class monitor.
 
Yana mwisho
 
Congratulations RAIS WA DUNIA tulia AKSON katimize wajibu ila sikiliza sera za nchi wanachama wa Africa 🌍
 
Spika wa Bunge la Tanzania, Dkt. Tulia Ackson amechaguliwa kuwa Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) katika uchaguzi uliofanyika leo Oktoba 27, jijini Luanda nchini Angola.

Dkt. Ackson amechaguliwa kwa kupata kura 172 kati ya kura 303 zilizopigwa na anarithi mikoba ya rais aliyemaliza muda wake, Duarte Pacheco kutoka Ureno aliyekuwa rais wa IPU kwa mihula mitatu.
#EastAfricaTv
 
Mapokezi Makubwa yanamngoja JNIA, Lumumba, Dodoma na Mbeya. CCM hatuna shughuli ndogo.

Signed by;
Mwenezi.
 
Na hii ndio ilikuwa ahadi kuu ya DPworld kwake
Na hii ndio ilikuwa ahadi kuu ya DPworld kwake
Mtaongea sanaa maana aibu zimewashika mnashindwa muweke wapi masura yenu hayo yaliyojaa ushetani mtupu.maana mlikuwa mnakesha mkiomba ashindwe lakini Mungu amewakatalia na kuendelea kuwa upande wa Dr Tulia. Mtakufa kwa msongo wa mawazo au kupata uwendawazimu.
 
Niyuleeee aloruhusu wabunge wasio Halali KUINGIA bungeni? Yule alolipasua BUNGE enzi za vyama vingi bungeni? Alokuwa kiongozi wa bunge pindi mbunge kapigwa risasi na kunyimwa haki zake zote? Walipitisha Sheria zahovyo na baadae kujiuliza kama walisinziaa? Alipandishwa kibabe na mwendazake?
Ok Dunia hii hata "WAchOVU" (remove small letters) pia hushinda.
 
Kwa wasojua Siasa za ki-ambaruti ndohiz sasa!!
 
Ok
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…