Dkt. Tulia Ackson: Mshahara wa Mbunge ni Tsh milioni 4.6 na sio vinginevyo

Dkt. Tulia Ackson: Mshahara wa Mbunge ni Tsh milioni 4.6 na sio vinginevyo

Atupie humu salary slips, viginevyo yatabaki maneno tu.....by the way, kwa nini serikali iwalipe wabunge mishahara, je, hiyo haiwezi kutafsiriwa kama rushwa ili serikali ipitishe mambo yake bila kipingamizi?
 
Kwa nini mshahara wa wasaidizi wa wabunge upite kwenye mikono/account ya Mbunge? Kwa nini bunge lisiweke utaratibu wa madereva na wasaidizi wote wa wabunge walio kwa mujibu wa sheria kulipwa moja kwa moja toka Bungeni? After all, how comes posho inakua Mara mbili ya mshahara?
 
Ktk kipidi cha ITV Dk 45, mambo yabwagwa hadharani.

Hivi punde akihojiwa ktk kipidi hicho, Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania Mheshimiwa Dr Tulia Ackson, amedai mshahara wa Mbunge ni milioni 4.6 tu. Anakatwa Kodi Tsh 1500,000 na kubakiwa na Tsh 3100,000.

Ameendelea kudai posho ya kikao ni Tsh 120,000. Pia Kuna posho ya kumlipa Dereva na Katibu wa Mbunge na posho ya mafuta. Pia Kuna mfuko wa Jimbo.

Watu wa nje ya Bunge wakipiga hesabu wanadai ni Tsh 11,0000,000 jambo ambalo sio kweli. Hizo hela zinapita kwa Mbunge japo zote sio zake.

Kwa kauli hii ya Naibu spika wa Bunge ni dhahiri kuwa wabunge wanakatwa Kodi tofauti na uvumi uliopo mtaani.
Kama hakuna maslahi kwenye Ubunge, kwa nini wanatumia mbinu chafu kuingia Bungen? Kwa kuiba kura, kutumia uchawi, kupiga na kujeruhi wapinzani wao, kutumia wakirugenzi kupora ushindi
 
Justification ni Kwamba kuna wengine wanapata zaidi...

Anasahau Majority wanaishi kwa ndogo zaidi ya hizo...

Ukizingatia huko mjengoni hawajalazimishwa kwenda, kama vipi waache kwenda na wananchi wakijua wabunge wao wamepigika huenda badala ya kuwaomba watakuwa wanawachangia nauli ya kwenda Bungeni na kuwapa nyongeza ya chumvi dukani...
 
Yaani huyu mama anafikiri sisi hatuna Access ya kujua Mambo ya wabunge ,wengine ni rafiki zetu na wengine ni ndugu zetu wa karibu ,unadanganya hadharani eti wanakatwa kodi,eti salary ni 4.6m hahahaha mshahara wa mbunge ukaribiane na wa mkurugenzi wa Halmashauri hii ni big NO
 
Mheshimiwa Dr. Tulia Ackson, kwani fedha ambazo sio za mbunge mfano dereva mnapitisha Kwa mbunge?
 
Ila kuna vitu vinakera sana kusikia masikioni kwa kila mwenye utimamu!
 
Ktk kipidi cha ITV Dk 45, mambo yabwagwa hadharani.

Hivi punde akihojiwa ktk kipidi hicho, Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania Mheshimiwa Dr Tulia Ackson, amedai mshahara wa Mbunge ni milioni 4.6 tu. Anakatwa Kodi Tsh 1500,000 na kubakiwa na Tsh 3100,000.

Ameendelea kudai posho ya kikao ni Tsh 120,000. Pia Kuna posho ya kumlipa Dereva na Katibu wa Mbunge na posho ya mafuta. Pia Kuna mfuko wa Jimbo.

Watu wa nje ya Bunge wakipiga hesabu wanadai ni Tsh 11,0000,000 jambo ambalo sio kweli. Hizo hela zinapita kwa Mbunge japo zote sio zake.

Kwa kauli hii ya Naibu spika wa Bunge ni dhahiri kuwa wabunge wanakatwa Kodi tofauti na uvumi uliopo mtaani.
Swala ni kwanini zipite kwa mbunge na zisiende moja kwa moja kwa walengwa ili kuongeza ajira?

Kwanini dereva wa Mbunge alipwe na mbunge na siyo bunge? Hii itaongeza jira kwa vijana na pia itawafanya na wao wachangie kwenye uchumi kwakua salary ya dereva italipiwa kodi pia...
 
Umeonaeeeee?
Hawajawahi kuaminika na kamwe hawataaminika
Angalau CCM ina track records za kuaminika kwakua imeiweka nchi hii intact na kubafilisha viongozi kutoka makabila na makundi mbalimbali ya jamii...Hivyo vingine nipe records zake kwenye governance na democracy!
 
Ccm bila ya magufuli ni mafiii ya kuku
 
Ktk kipidi cha ITV Dk 45, mambo yabwagwa hadharani.

Hivi punde akihojiwa ktk kipidi hicho, Naibu spika wa Bunge la Jamhuri ya Muunganao wa Tanzania Mheshimiwa Dr Tulia Ackson, amedai mshahara wa Mbunge ni milioni 4.6 tu. Anakatwa Kodi Tsh 1500,000 na kubakiwa na Tsh 3100,000.

Ameendelea kudai posho ya kikao ni Tsh 120,000. Pia Kuna posho ya kumlipa Dereva na Katibu wa Mbunge na posho ya mafuta. Pia Kuna mfuko wa Jimbo.

Watu wa nje ya Bunge wakipiga hesabu wanadai ni Tsh 11,0000,000 jambo ambalo sio kweli. Hizo hela zinapita kwa Mbunge japo zote sio zake.

Kwa kauli hii ya Naibu spika wa Bunge ni dhahiri kuwa wabunge wanakatwa Kodi tofauti na uvumi uliopo mtaani.
Kodi hukatwa mshahara pamoja na posho.
 
Back
Top Bottom