joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mmoja kati ya watu wakikosa ubunge watachanganyikiwa ni huyu mama,nasikia show ya Rayvanny Mbeya mwishoni mwa 2019 gharama zote kalipia yeye.Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.
Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.
Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Mwaka huu kama mtu fulani hata "menopause" tutaona. Mbeya wanampigaga mtu 50:100
Akishapata ubunge haya yote hatoyafanya Hawa wanasiasa bhana ama huyu dada anautafuta ubunge kwa nguvu
jaman mbona mh hana groves na hamjatandikia zuria letu lile
Ma maza mengine bana!
Mmoja kati ya watu wakikosa ubunge watachanganyikiwa ni huyu mama,nasikia show ya Rayvanny Mbeya mwishoni mwa 2019 gharama zote kalipia yeye.
Wewe ndiye unamsaidia kampeni. Au ndiyo mume wake kisiasa. !!!
Eti naye alisoma shule ya sekondari Loleza! Gagula.
Mlivyo waajabu mnadhani hapa mnamdhalilisha Tulia kumbe ndiyo mnampa coverage ya kufahamika zaidi huku mkiwa mmesahau kumtangaza Sugu.Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.
Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.
Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Mlivyo waajabu mnadhani hapa mnamdhalilisha Tulia kumbe ndiyo mnampa coverage ya kufahamika zaidi huku mkiwa mmesahau kumtangaza Sugu.
Huyu kiongozi wa propaganda wa CHADEMA wa sasa atakuwa ana matatizo ya akili si bure.
Basi maadui watatu hatuwawezi kamweMwisho wa siku huyo ndio mbunge wako huna namna bwashee!
Ana boa sana yaani anafanya mambo hadi mtoto mdogo anaweza gundua kama ana fakeHuyo ndiye miss Mbeya
Mkiambiwa ukweli mnajifanya wajuaji.hizi propaganda zenu ni too low hazikisaidii chama hata kidogo.Kwani wewe umeshamaliza matibabu yako hapo mirembe?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee jamaa mungu anakuonaChini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.
Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.
Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Inaonekana una ufahamu mzuri juu ya kupotea kwa Saa nane, inabidi umsaidie mzee wetu siroMkiambiwa ukweli mnajifanya wajuaji.hizi propaganda zenu ni too low hazikisaidii chama hata kidogo.
Toka apotee Ben ndiyo na propaganda mitandaoni za CHADEMA zimekuwa zakubagaza bagaza tu.
Wake up guys CHADEMA ni chama kikubwa sana kufanya propaganda za kitoto namna hii.