Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Akson afanya tena jambo kubwa lililomshinda Sugu kipindi chake chote cha ubunge, apongezwa kila kona

Uchaguzi 2020 Dkt. Tulia Akson afanya tena jambo kubwa lililomshinda Sugu kipindi chake chote cha ubunge, apongezwa kila kona

Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.

Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.

Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Mmoja kati ya watu wakikosa ubunge watachanganyikiwa ni huyu mama,nasikia show ya Rayvanny Mbeya mwishoni mwa 2019 gharama zote kalipia yeye.
 
Akishapata ubunge haya yote hatoyafanya Hawa wanasiasa bhana ama huyu dada anautafuta ubunge kwa nguvu
 
Mwaka huu kama mtu fulani hata "menopause" tutaona. Mbeya wanampigaga mtu 50:100
 
Kalikomalia kweli hilo jimbo wakati kiukweli hakuna anaye mfahamu
Mmoja kati ya watu wakikosa ubunge watachanganyikiwa ni huyu mama,nasikia show ya Rayvanny Mbeya mwishoni mwa 2019 gharama zote kalipia yeye.
 
Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.

Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.

Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
Mlivyo waajabu mnadhani hapa mnamdhalilisha Tulia kumbe ndiyo mnampa coverage ya kufahamika zaidi huku mkiwa mmesahau kumtangaza Sugu.

Huyu kiongozi wa propaganda wa CHADEMA wa sasa atakuwa ana matatizo ya akili si bure.
 
Kwani wewe umeshamaliza matibabu yako hapo mirembe?
Mlivyo waajabu mnadhani hapa mnamdhalilisha Tulia kumbe ndiyo mnampa coverage ya kufahamika zaidi huku mkiwa mmesahau kumtangaza Sugu.

Huyu kiongozi wa propaganda wa CHADEMA wa sasa atakuwa ana matatizo ya akili si bure.
 
Kwani wewe umeshamaliza matibabu yako hapo mirembe?
Mkiambiwa ukweli mnajifanya wajuaji.hizi propaganda zenu ni too low hazikisaidii chama hata kidogo.

Toka apotee Ben ndiyo na propaganda mitandaoni za CHADEMA zimekuwa zakubagaza bagaza tu.

Wake up guys CHADEMA ni chama kikubwa sana kufanya propaganda za kitoto namna hii.
 
Chini ya ufundi makini wa Dkt. Tulia Akson naambiwa kuwa huu mjengo upo katika hatua za mwisho. Fundi mkuu ni Tulia huku akiwa na wasaidizi kadhaa.

Ama kwa hakika zaidi ni kuwa Mbeya mmempata mtu ambaye mara mojamoja atakuwa anatoka bungeni kuja kufyatua mijengo ya wapiga kura wake hapo Mbeya.

Huyu ni fundi ujenzi, mruka joka na zaidi ni mganga mashuhuri anayepiga ramli za uhakika na zinazolenga golini moja kwa moja.
View attachment 1487559
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wee jamaa mungu anakuona
 
Mkiambiwa ukweli mnajifanya wajuaji.hizi propaganda zenu ni too low hazikisaidii chama hata kidogo.

Toka apotee Ben ndiyo na propaganda mitandaoni za CHADEMA zimekuwa zakubagaza bagaza tu.

Wake up guys CHADEMA ni chama kikubwa sana kufanya propaganda za kitoto namna hii.
Inaonekana una ufahamu mzuri juu ya kupotea kwa Saa nane, inabidi umsaidie mzee wetu siro
 
Back
Top Bottom