tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Huyo mwanamke dume ampashe nani,hana hata harufu ya kikeMama Dk Tulia Kachachamaa majukwaani Mbeya Mjini awajibu Lisu na Sugu kuhusu maendeleo ya vitu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mwanamke dume ampashe nani,hana hata harufu ya kikeMama Dk Tulia Kachachamaa majukwaani Mbeya Mjini awajibu Lisu na Sugu kuhusu maendeleo ya vitu
Hahahahahah jamaniii watu wana manenooHuyu mama neno kama you are so sexy limempita tu hivi hivi hadi anazeeka
Shida ya hawa jamaa hawapend kushauriwa na sijui kwann hawaoni nakustuka mambo yanabadilika sana jamaa inabid apambane hata lema arusha mjin anaweza poteza jimbo na asiamini...Sugu apambane, huyu mama inaonesha atazingua.. Niko mbeya naona hilo! Kamanda akaze buti, ukiwa nje ya Mbeya utaona mtelezo kwa Joseph ila hali sio nzuri kwake inaonesha kuna kujisahau kipindi hiki alichomaliza, watu kama wanataka jambo jipya
Hivi Kuna mtu ameoa huu mfupa?aise baya kweliMama Dk Tulia Kachachamaa majukwaani Mbeya Mjini awajibu Lisu na Sugu kuhusu maendeleo ya vitu
Swali la kijinga kutoka kwa mjinga...it is out of context. Na kama Dk. Tulia ameuliza swali hilo ni kwa vile anajua anazungumza na wajinga, hii ni kwa mujibu wa utafiti wa kisomi, uliobaini kuwa CCM kinapendwa na mbumbumbu wengi!Ungejibu hoja. Sugu kajenga hoteli. Hayo ni maendeleo ya watu au vitu?
Sitakujibu.Swali la kijinga kutoka kwa mjinga...it is out of context. Na kama Dk. Tulia ameuliza swali hilo ni kwa vile anajua anazungumza na wajinga, hii ni kwa mujibu wa utafiti wa kisomi, uliobaini kuwa CCM kinapendwa na mbumbumbu wengi!
Mama Dk Tulia kachachamaa majukwaani Mbeya Mjini, awajibu Lissu na Sugu kuhusu maendeleo ya vitu.
Utalipata wapi jibu?Sitakujibu.
Nipo kwa ajili ya kuwapeleka kwenye mwanga wale walio gizani licha ya kuwa ni saa sita mchana!
Ile mithali ya “nyani haoni kundule!” ina maanisha, unaweza kuona wenzako wapo gizani unajaribu kuwapeleka nuruni, kumbe mwenyewe ukawa gizani zaidi!
Kweli kabisa .umewajibu vyema.Kama hawataki ndege wasipande ndege zetu wabande nyongo wanapoenda Kwenye kampeni.na wasitembee na magari kupitia Barabara zetu wapite maporini.
Eeeweeeee mtanzania usidanganyike .Hizo ni mbinu walizokuja nazo baada ya kuishiwa hoja.wanajua mtanzania ni mwepesi wakudanganika maana tunapenda maneno na dezo.zinduka
Huyo mwanamke dume ampashe nani,hana hata harufu ya kike