BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 4,548
- 11,901
Hii inasababishwa na raia kuwa mazezetaHivi huyo Spika anajielewa kweli??
Hoja ya kitaifa hivi Sasa, ni wizi mkubwa uliofanywa na hao makada wa CCM, Sasa asitafute mbinu za kutaka kuwakingia kifua wezi hao, Kwa kupoozesha mjadala huo[emoji41]
Kwishaa hbr, hakuna jipya tena hapo! Ni jamaa wajipange kupoteza documents!!! Lazima tukubali tu hakuna hatua zozote zitachukuliwa dhidi ya wabadhirifu na mafisad. Bali hatua zitachukuliwa kwa wale wa vimilion!! Na hao wa vimilion ni kwamba itafanywa... Toa gambe weka gambe!! Toa huyu hapa peleka kule lete yule hapa!! The life goes on...Spika Tulia amesema Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano wa mwezi November 2023
Huyo ni baada ya Kamati za Bunge kuwa zimeshakamilisha wajibu wake wa kisheria.
==========
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22 itajadiliwa kwenye mkutano ujao wa bunge, Novemba 2023, baada ya kamati za hesabu za Serikali kumaliza kazi zake.
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.
View attachment 2586406
Source: Swahili Times
Nakuanda ushahidi au vielelezo feck!!Wakati huo mafisadi yaliyokubuhu yatakuwa yamepoteza vielelezo na ushahidi!
hili bunge la sasa ni hasara tu kwa Taifa. Hivi Kuna lipi wanawezasema wamelisimamia so far? Hamna namna linaweza kuvunjwa kwanza ? hii hasara CAG hajaiona mpka mimi mwanachi naiona?Spika Tulia amesema Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano wa mwezi November 2023
Huyo ni baada ya Kamati za Bunge kuwa zimeshakamilisha wajibu wake wa kisheria.
==========
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22 itajadiliwa kwenye mkutano ujao wa bunge, Novemba 2023, baada ya kamati za hesabu za Serikali kumaliza kazi zake.
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.
View attachment 2586406
Source: Swahili Times
Serikali, bunge na mahakama vimetekwa na mafisadi. Ukweli ni kubwa kila uchaguzi unapokaribia lazima CCM ipige hela ya kutosha kwa ajili ya chaguzi mbalimbali. Ukifuatilia vizuri utakuta sehemu ya mgao wa ufisadi mkubwa huingia katika mfuko wa CCM, nina uzoefu na hiloSpika Tulia amesema Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano wa mwezi November 2023
Huyo ni baada ya Kamati za Bunge kuwa zimeshakamilisha wajibu wake wa kisheria.
==========
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22 itajadiliwa kwenye mkutano ujao wa bunge, Novemba 2023, baada ya kamati za hesabu za Serikali kumaliza kazi zake.
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.
View attachment 2586406
Source: Swahili Times
Mkuu huu taratibu na kanuni za bunge za kujadili hii report ya CAG ni mfumo unao toa mwanya wa wahusika wa ubadilifu kujipanga kwa kuhalalisha ufisadi uliojitokeza. Nadhani muda umefika wa kuwa na utaratibu ambao utaleta tija na mafisadi kuuogopa.Kanuni zinamruhusu Spika kupangia ratiba taarifa ya CAG baada ya kuwa imeshakabidhiwa Bungeni?
Huu uzwazwa una malengo gani hasa?
HATA MKITAKA KUACHA KUIJADILI HAINA SHIDA PIGENI PESA ZA WANYONGESpika Tulia amesema Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano wa mwezi November 2023
Huyo ni baada ya Kamati za Bunge kuwa zimeshakamilisha wajibu wake wa kisheria.
==========
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22 itajadiliwa kwenye mkutano ujao wa bunge, Novemba 2023, baada ya kamati za hesabu za Serikali kumaliza kazi zake.
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.
View attachment 2586406
Source: Swahili Times
Wamewekana kiukooMmewako ndo murugezi WA EURa ambayo imefisadi billion 400 juzijuzi Tu hapa..subiri report ya CAG mwaka ujao mtaona nachosema