Dkt. Tulia: Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano Novemba, 2023
Hiyo hela imepigwa na CCM kwa ajili ya uchaguzi 2024 serikali za mitaa na 2025 uchaguzi mkuu.

Hakuna kitakachojadiliwa Nov.

Simameni watanzania mkatae wahuni
 
Kukamata mwizi inahitaji sheria gani?
Nani mwizi? Hakuna mahali CAG amemtuhumu mtu kwa wizi! Zile ni kasoro za kiukaguzi, lazima sheria ifuate mkondo kujua kama kulikuwa na ubadhirifu au la, kukurupuka na kuanza kuita watu wezi ni dalili za kutoikewa maana nzima ya ukaguzi.

Kwa mujibu wa sheria, kamati za bunge ndio zinafanya kazi hiyo ua uchunguzi na kuchambua zipi pumba upi mchele. Ripoti za CAG hazishuki toka mbinguni, zimejaa pumba kibao.
 
Nani mwizi? Hakuna mahali CAG amemtuhumu mtu kwa wizi! Zile ni kasoro za kiukaguzi, lazima sheria ifuate mkondo kujua kama kulikuwa na ubadhirifu au la, kukurupuka na kuanza kuita watu wezi ni dalili za kutoikewa maana nzima ya ukaguzi.

Kwa mujibu wa sheria, kamati za bunge ndio zinafanya kazi hiyo ua uchunguzi na kuchambua zipi pumba upi mchele. Ripoti za CAG hazishuki toka mbinguni, zimejaa pumba kibao.
We ni mjinga sn, mi nilijitolea halmashauri na wizani kwa miaka 2, CAG anaanza ukaguzi mwezi wa 7 baada ya financial kuisha, anaomba evidence zote(wakati wa ukaguzi anakuwa anaomba nyaraka husika kama ni log books sijui invoice na takataka zote) na mwisho kuna exit meeting anaiandikia management mapungufu yote na kupewa muda wa miezi 3 hoja zifungwe na hiyo ni October-December baada ya hapo CAG anaondoa hoja ambazo zimejibiwa zote, na kuanzia Jan-Feb anaanda report kwenda kwa Rais, sijui unataka wapewe muda gani wewe kilaza hujui hata nini maana ya ukaguzi mjinga mkubwa wewe.
 
Yuko sahihi kwa 100%. Wabunge wengi hawajielewi. Inashangaza kwenye kikao cha bajeti kuzungumzia yasiyohusiana. Bunge la bajeti lakini kila akisimama mbunge atazungumzia ripoti ya CAG na Ushoga. Tanzania tumepata bahati ya kupata spika kijana na msomi.

Bajeti ipi itatekelezwa kwenye ufisadi huu. Huyo spika kilaza anatumikia mabwana zake waliomuweka hapo.
 
Spika Tulia amesema Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano wa mwezi November 2023

Huyo ni baada ya Kamati za Bunge kuwa zimeshakamilisha wajibu wake wa kisheria.

==========

Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22 itajadiliwa kwenye mkutano ujao wa bunge, Novemba 2023, baada ya kamati za hesabu za Serikali kumaliza kazi zake.

Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.

View attachment 2586406
Source: Swahili Times
Spika kilaza na bunge la vilaza. Mafisadi wananguvu sio ya kitoto.
S
 
Soon tutafika mwisho na kipindi hicho wajinga wakifa na waelevu wakizaliwa kama upo Tanzania na upo hai wew ni mjinga mmoja, tusubir kizazi cha waelevu wakija kubadilisha uwalisia na sio sis. Mpaka November?

Needs katiba mpya
Needs new government
Needs new political party
Needs new face

Kweli mkuu, ni aibu bunge kuogopa kuichukulia hatua serikali.
 
Spika Tulia anapaswa kuadhibiwa kwa kutokuona umuhimu wa kujidali ripoti hii hata kwa dharura.
Naelewa ilipaswa kamati za bunge ziipitie lkn kutoa mwanya huu mafisadi watapoteza ushahidi.

Wana Mbeya watusaidie kumwadhibu 2025

Tatizo watanzania wanawaogopa wanasiasa hata kama ni vilaza.
 
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.

Source:


Spika wa hovyo kuwahi kutokea.
 
We ni mjinga sn, mi nilijitolea halmashauri na wizani kwa miaka 2, CAG anaanza ukaguzi mwezi wa 7 baada ya financial kuisha, anaomba evidence zote(wakati wa ukaguzi anakuwa anaomba nyaraka husika kama ni log books sijui invoice na takataka zote) na mwisho kuna exit meeting anaiandikia management mapungufu yote na kupewa muda wa miezi 3 hoja zifungwe na hiyo ni October-December baada ya hapo CAG anaondoa hoja ambazo zimejibiwa zote, na kuanzia Jan-Feb anaanda report kwenda kwa Rais, sijui unataka wapewe muda gani wewe kilaza hujui hata nini maana ya ukaguzi mjinga mkubwa wewe.
Kwahiyo unadhani kazi ya kamati za bunge ni nini kwa mujibu wa sheria?? Au unadhani spika amejiskia tu kusema ripoti itajadiliwa mwezi November?

CAG anafanya kazi kwa niaba ya bunge, ile ripoti ni kwa ajili ya bunge kufanyia kazi, na bunge linazo kaununi zake za kudumu. Wale wote walijutwa na kasoro wanaitwa pamoja na watu wa CAG, kila mmoja analeta umaelezo yake. Bunge ndio mwamuzi wa mwisho.

CAG anaweza asikubaliane na utetezi anaopewa wakati wa audit akaamua kuandika kwenye ripoti yake kuwa ni kasoro, lakini hua sio uamuzi wa mwisho! Bunge linaweza kupitia upya hoja za pande zote mbili na kuamua kuwa hoja ya CAG ni pumba ikatupiliwa mbali.
 
Back
Top Bottom