Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kukamata mwizi inahitaji sheria gani?Safi, amefuata sheria, watanzania wana mihemko sana, kukurupuka ndio jadi yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukamata mwizi inahitaji sheria gani?Safi, amefuata sheria, watanzania wana mihemko sana, kukurupuka ndio jadi yao.
Moja wapo ni mume wakeWakati huo mafisadi yaliyokubuhu yatakuwa yamepoteza vielelezo na ushahidi!
Nani mwizi? Hakuna mahali CAG amemtuhumu mtu kwa wizi! Zile ni kasoro za kiukaguzi, lazima sheria ifuate mkondo kujua kama kulikuwa na ubadhirifu au la, kukurupuka na kuanza kuita watu wezi ni dalili za kutoikewa maana nzima ya ukaguzi.Kukamata mwizi inahitaji sheria gani?
We ni mjinga sn, mi nilijitolea halmashauri na wizani kwa miaka 2, CAG anaanza ukaguzi mwezi wa 7 baada ya financial kuisha, anaomba evidence zote(wakati wa ukaguzi anakuwa anaomba nyaraka husika kama ni log books sijui invoice na takataka zote) na mwisho kuna exit meeting anaiandikia management mapungufu yote na kupewa muda wa miezi 3 hoja zifungwe na hiyo ni October-December baada ya hapo CAG anaondoa hoja ambazo zimejibiwa zote, na kuanzia Jan-Feb anaanda report kwenda kwa Rais, sijui unataka wapewe muda gani wewe kilaza hujui hata nini maana ya ukaguzi mjinga mkubwa wewe.Nani mwizi? Hakuna mahali CAG amemtuhumu mtu kwa wizi! Zile ni kasoro za kiukaguzi, lazima sheria ifuate mkondo kujua kama kulikuwa na ubadhirifu au la, kukurupuka na kuanza kuita watu wezi ni dalili za kutoikewa maana nzima ya ukaguzi.
Kwa mujibu wa sheria, kamati za bunge ndio zinafanya kazi hiyo ua uchunguzi na kuchambua zipi pumba upi mchele. Ripoti za CAG hazishuki toka mbinguni, zimejaa pumba kibao.
Wanawaandalia tena wezi bajeti ya kuja kuibiwaSpika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.
Source:
Huwezi kutofautisha bunge na serikali!Ndiyo maana ya spika kuilinda serikali
Yuko sahihi kwa 100%. Wabunge wengi hawajielewi. Inashangaza kwenye kikao cha bajeti kuzungumzia yasiyohusiana. Bunge la bajeti lakini kila akisimama mbunge atazungumzia ripoti ya CAG na Ushoga. Tanzania tumepata bahati ya kupata spika kijana na msomi.
Spika kilaza na bunge la vilaza. Mafisadi wananguvu sio ya kitoto.Spika Tulia amesema Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano wa mwezi November 2023
Huyo ni baada ya Kamati za Bunge kuwa zimeshakamilisha wajibu wake wa kisheria.
==========
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22 itajadiliwa kwenye mkutano ujao wa bunge, Novemba 2023, baada ya kamati za hesabu za Serikali kumaliza kazi zake.
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.
View attachment 2586406
Source: Swahili Times
Ndiyo maana ya spika kuilinda serikali
Analinda Katiba ya JMT
Soon tutafika mwisho na kipindi hicho wajinga wakifa na waelevu wakizaliwa kama upo Tanzania na upo hai wew ni mjinga mmoja, tusubir kizazi cha waelevu wakija kubadilisha uwalisia na sio sis. Mpaka November?
Needs katiba mpya
Needs new government
Needs new political party
Needs new face
Kanuni zinamruhusu Spika kupangia ratiba taarifa ya CAG baada ya kuwa imeshakabidhiwa Bungeni?
Huu uzwazwa una malengo gani hasa?
Spika Tulia anapaswa kuadhibiwa kwa kutokuona umuhimu wa kujidali ripoti hii hata kwa dharura.
Naelewa ilipaswa kamati za bunge ziipitie lkn kutoa mwanya huu mafisadi watapoteza ushahidi.
Wana Mbeya watusaidie kumwadhibu 2025
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.
Source:
Huyu yuko compromised sana sema nilauku Watanganyika kwa kuwa Mazezta, inapaswa siku moja hilo Bunge lipigwe kiberiti ndio ufahamu utawalejea
Kwahiyo unadhani kazi ya kamati za bunge ni nini kwa mujibu wa sheria?? Au unadhani spika amejiskia tu kusema ripoti itajadiliwa mwezi November?We ni mjinga sn, mi nilijitolea halmashauri na wizani kwa miaka 2, CAG anaanza ukaguzi mwezi wa 7 baada ya financial kuisha, anaomba evidence zote(wakati wa ukaguzi anakuwa anaomba nyaraka husika kama ni log books sijui invoice na takataka zote) na mwisho kuna exit meeting anaiandikia management mapungufu yote na kupewa muda wa miezi 3 hoja zifungwe na hiyo ni October-December baada ya hapo CAG anaondoa hoja ambazo zimejibiwa zote, na kuanzia Jan-Feb anaanda report kwenda kwa Rais, sijui unataka wapewe muda gani wewe kilaza hujui hata nini maana ya ukaguzi mjinga mkubwa wewe.
Safi dada Tulia
Bunge lisiondoke kwenye lengo la sasa