Dkt. Tulia: Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano Novemba, 2023
Yuko sahihi kwa 100%. Wabunge wengi hawajielewi. Inashangaza kwenye kikao cha bajeti kuzungumzia yasiyohusiana. Bunge la bajeti lakini kila akisimama mbunge atazungumzia ripoti ya CAG na Ushoga. Tanzania tumepata bahati ya kupata spika kijana na msomi.

Hiyo bajeti inatekelezwa na nani kama wizi na ufisadi umetamalaki?. Unajadili bajeti itakayoenda kuliwa na wajanja.
 
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.

Source:

Sasa wanajadili matumizi gani bila reflection ya usafi wa matumizi hayo?

Bunge dhaifu
Serikali dhaifu
Watanzania ndo wanaumia
 
Nani mwizi? Hakuna mahali CAG amemtuhumu mtu kwa wizi! Zile ni kasoro za kiukaguzi, lazima sheria ifuate mkondo kujua kama kulikuwa na ubadhirifu au la, kukurupuka na kuanza kuita watu wezi ni dalili za kutoikewa maana nzima ya ukaguzi.

Kwa mujibu wa sheria, kamati za bunge ndio zinafanya kazi hiyo ua uchunguzi na kuchambua zipi pumba upi mchele. Ripoti za CAG hazishuki toka mbinguni, zimejaa pumba kibao.

Lazima mtetee ufisadi eti kasoro za ukaguzi. Huyo mama yako alikuwa anamwambia nani apishe ? Kama sio wizi?. Acheni utani.
 
Lengo gani ?. La kuwalinda mafisadi?. Huyo anamlinda mme wake, ambaye ana tuhuma za ufisadi.
Kama lengo la kikao bajeti ijadiliwe bajeti, kama ni muda muafaka kufanya mapitio ya report ya sieijii na iwe hivyo
 
Kama lengo la kikao bajeti ijadiliwe bajeti, kama ni muda muafaka kufanya mapitio ya report ya sieijii na iwe hivyo

Yani ufisadi unapewa muda?. Mnajadili bajeti ya watu kwenda kupiga tena pesa?. Tangu Tulia aseme rais halazimishwi kufuata ushauri wa bunge nilimuona kilaza first class. Spika wa hovyo kutokea. Jinga kabisa.
 
Econimist umekuja kuwaje?

Point yangu ni kwamba , unajadilije bajeti wakati robo ya bajeti iliyopita imepigwa?. Unajadili bajeti kwa ajili ya kuliwa au kufanya kazi?. Wangeanza kwa kujadili ripoti hata kwa wiki moja halafu , halafu watoe maazimio kama ya richmond.
 
Point yangu ni kwamba , unajadilije bajeti wakati robo ya bajeti iliyopita imepigwa?. Unajadili bajeti kwa ajili ya kuliwa au kufanya kazi?. Wangeanza kwa kujadili ripoti hata kwa wiki moja halafu , halafu watoe maazimio kama ya richmond.
Uko na very clear point
 
Hata wasipojadili poa tu.maana tunajua bunge linaongozwa na spika kibogoyo ambaye hutetea kuilinda serikali hata kama imefanya upuuzi.
 
Spika Tulia amesema Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano wa mwezi November 2023

Huyo ni baada ya Kamati za Bunge kuwa zimeshakamilisha wajibu wake wa kisheria.

==========

Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22 itajadiliwa kwenye mkutano ujao wa bunge, Novemba 2023, baada ya kamati za hesabu za Serikali kumaliza kazi zake.

Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.

View attachment 2586406
Source: Swahili Times
Kamati ya hesabu za serikali ambayo inapaswa kuongozwa na mbunge wa upinzani ilinajisiwa na Ndugai baada ya kumtoa Zito na kumpa mbunge ex-ccm na sasa ex- Chadema Kaboyoka
Huyu mama yupo yupo tuu hajui lolote kwa term mbili hizi akiongoza kamati hiyo.
 
Yani ufisadi unapewa muda?. Mnajadili bajeti ya watu kwenda kupiga tena pesa?. Tangu Tulia aseme rais halazimishwi kufuata ushauri wa bunge nilimuona kilaza first class. Spika wa hovyo kutokea. Jinga kabisa.

HUWEZI endesha kikao cha bunge bila utaratibu
Muda wa BAJETI wakianza kuchambua ripoti ya CAG hiyo bajeti itajadiliwa lini!?
 
Back
Top Bottom