mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Lengo gani ?. La kuwalinda mafisadi?. Huyo anamlinda mme wake, ambaye ana tuhuma za ufisadi.
Kila jambo na muda wake kwa mpango wake
Kama vile wewe usivyoweza kuvaa suruali mabegani na shirt mapajani umwache Tulia asimamie kikao cha bajeti ikifikia wasaa wa kujadili report itajadiliwa