imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Wa huku mitaani.Wananchi gani hao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wa huku mitaani.Wananchi gani hao?
Ila wananchi wanajua kazuia na hiyo ni kasoro kubwaHajapiga marufuku!
Bungee mnabwabwaja sio la wananchi, ila mkwanja wa ruzuku ya kuendeshea chama chenu hamsusi, mnanya Kwa nguvu kama vile manila anavyonyakua boli. Mnavhekesha kweli.Hilo bunge sio la wananchi, hivyo hawaoni hatari kutokujadili wizi wa fedha zetu. Tusiopoandamana na kuhakikisha hayo majizi ya kura hayaingii humo bungeni, wataendelea kutuona mafala tu.
Parefu sio mchezo,Mpina alisema kuwa ukijumlisha upotevu wote wa fedha za umma ni Trillioni 33.
Rais ilibidi ang'ooke kmmmkNimesikitika sana nilipomuona Mhe. Spika akitoa taarifa kwa Wabunge kuwa taarifa ya CAG isijadiliwe katika kikao kinachoendelea sasa huko Dodoma. Najiuliza wenye hela ni sisi wananchi kwa nini taarifa hii muhimu isiendelee kujadiliwa Bungeni?. Au Serikali inaendelea kuaibika kutokana na taarifa hiyo?. Jana Mhe. Mpina alisema kuwa ukijumlisha upotevu wote wa fedha za umma ni Trillioni 33. Hili ni jambo la kusikitisha sana. Kuanzia taasisi kabisa ya juu mpaka Mtendaji wa kijiji wanatakiwa wajiuzulu mara moja.
Mapenzi yako na wajinga wenzako wa Ufipa hayaondoi ukweli.Hilo bunge sio la wananchi, hivyo hawaoni hatari kutokujadili wizi wa fedha zetu. Tusiopoandamana na kuhakikisha hayo majizi ya kura hayaingii humo bungeni, wataendelea kutuona mafala tu.
Weee na nawewe tuliza kijambio , ruzuku inahusiana nn na kinachoendelea bungeni ??? Mbona unataka tukuone mpumbavu ???Bungee mnabwabwaja sio la wananchi, ila mkwanja wa ruzuku ya kuendeshea chama chenu hamsusi, mnanya Kwa nguvu kama vile manila anavyonyakua boli. Mnavhekesha kweli.
Kwamba CAG ni muongo??Mapenzi yako na wajinga wenzako wa Ufipa hayaondoi ukweli.
Unaelewa mada au unadandia tu? Pumbavu!
Nimesikitika sana nilipomuona Mhe. Spika akitoa taarifa kwa Wabunge kuwa taarifa ya CAG isijadiliwe katika kikao kinachoendelea sasa huko Dodoma. Najiuliza wenye hela ni sisi wananchi kwa nini taarifa hii muhimu isiendelee kujadiliwa Bungeni?. Au Serikali inaendelea kuaibika kutokana na taarifa hiyo?. Jana Mhe. Mpina alisema kuwa ukijumlisha upotevu wote wa fedha za umma ni Trillioni 33. Hili ni jambo la kusikitisha sana. Kuanzia taasisi kabisa ya juu mpaka Mtendaji wa kijiji wanatakiwa wajiuzulu mara moja.
Si mnabwabwaja eti nibunge la hovyo na wakati bungee hilohilo ndio linalopitusha bajeti ya ruzuku ya chama chenu. Ebu wanachadema pongezeni bungee hili ili lipitishe bajeti nzuri na nyie ruzuku iwe nzuriii zaidiiWeee na nawewe tuliza kijambio , ruzuku inahusiana nn na kinachoendelea bungeni ??? Mbona unataka tukuone mpumbavu ???
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Ww ni shoga, ndo maana unaliza upimbi upimbiUnaelewa mada au unadandia tu? Pumbavu!
Ficha ujinga ujinga wako bhana, nenda kasome sheria ya vyama vya siasa ..acha kukurupuka kuelezea usichokijuaKwani fedha za ruzuku ya vyama inapatikanajee? Au sio fedha ya uma? Na Kwa Nini inakaguliwa na si a ji??
Wewe mwelevu dadafua tukusikie. Kufoka fika na matusii ni dalili ya incompetence. Jibu swalii.Ficha ujinga ujinga wako bhana, nenda kasome sheria ya vyama vya siasa ..acha kukurupuka kuelezea usichokijua
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
duuuuh unamatusi makubwa makubwaUkitazama kwa jicho la mwewe utagundua jinsi gani rais samia yuko na maadui lukuki bungeni kuliko hata mitaani. Yani mwigulu anafanya ubadhirifu makusudi kisha anamsakizia Raisi kwamba anajua huo ujinga wake. Leo Rais Samia anawataka wezi washughulikiwe mapema ili isimuondolee sura ya amiri jeshi anatokea mtu amekonda makwapa kama kona za kinanda na mataya kama kufuli za magodown ya dangote anamrudisha nyuma na kumchafua mama kwa wananchi wake alioapa kuwatumikia kwa kuzuia mjadala. Hii sio sawa