Dkt. Tulia: Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano Novemba, 2023
Hilo bunge sio la wananchi, hivyo hawaoni hatari kutokujadili wizi wa fedha zetu. Tusiopoandamana na kuhakikisha hayo majizi ya kura hayaingii humo bungeni, wataendelea kutuona mafala tu.
Bungee mnabwabwaja sio la wananchi, ila mkwanja wa ruzuku ya kuendeshea chama chenu hamsusi, mnanya Kwa nguvu kama vile manila anavyonyakua boli. Mnavhekesha kweli.
 
Nimesikitika sana nilipomuona Mhe. Spika akitoa taarifa kwa Wabunge kuwa taarifa ya CAG isijadiliwe katika kikao kinachoendelea sasa huko Dodoma. Najiuliza wenye hela ni sisi wananchi kwa nini taarifa hii muhimu isiendelee kujadiliwa Bungeni?. Au Serikali inaendelea kuaibika kutokana na taarifa hiyo?. Jana Mhe. Mpina alisema kuwa ukijumlisha upotevu wote wa fedha za umma ni Trillioni 33. Hili ni jambo la kusikitisha sana. Kuanzia taasisi kabisa ya juu mpaka Mtendaji wa kijiji wanatakiwa wajiuzulu mara moja.
Rais ilibidi ang'ooke kmmmk
 
Hilo bunge sio la wananchi, hivyo hawaoni hatari kutokujadili wizi wa fedha zetu. Tusiopoandamana na kuhakikisha hayo majizi ya kura hayaingii humo bungeni, wataendelea kutuona mafala tu.
Mapenzi yako na wajinga wenzako wa Ufipa hayaondoi ukweli.
 
Nimesikitika sana nilipomuona Mhe. Spika akitoa taarifa kwa Wabunge kuwa taarifa ya CAG isijadiliwe katika kikao kinachoendelea sasa huko Dodoma. Najiuliza wenye hela ni sisi wananchi kwa nini taarifa hii muhimu isiendelee kujadiliwa Bungeni?. Au Serikali inaendelea kuaibika kutokana na taarifa hiyo?. Jana Mhe. Mpina alisema kuwa ukijumlisha upotevu wote wa fedha za umma ni Trillioni 33. Hili ni jambo la kusikitisha sana. Kuanzia taasisi kabisa ya juu mpaka Mtendaji wa kijiji wanatakiwa wajiuzulu mara moja.

Kaona uongo mwingi.
 
Weee na nawewe tuliza kijambio , ruzuku inahusiana nn na kinachoendelea bungeni ??? Mbona unataka tukuone mpumbavu ???

Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Si mnabwabwaja eti nibunge la hovyo na wakati bungee hilohilo ndio linalopitusha bajeti ya ruzuku ya chama chenu. Ebu wanachadema pongezeni bungee hili ili lipitishe bajeti nzuri na nyie ruzuku iwe nzuriii zaidii
 
Ukitazama kwa jicho la mwewe utagundua jinsi gani rais samia yuko na maadui lukuki bungeni kuliko hata mitaani. Yani mwigulu anafanya ubadhirifu makusudi kisha anamsakizia Raisi kwamba anajua huo ujinga wake. Leo Rais Samia anawataka wezi washughulikiwe mapema ili isimuondolee sura ya amiri jeshi anatokea mtu amekonda makwapa kama kona za kinanda na mataya kama kufuli za magodown ya dangote anamrudisha nyuma na kumchafua mama kwa wananchi wake alioapa kuwatumikia kwa kuzuia mjadala. Hii sio sawa
duuuuh unamatusi makubwa makubwa
 
Back
Top Bottom