Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bungee mnabwabwaja sio la wananchi, ila mkwanja wa ruzuku ya kuendeshea chama chenu hamsusi, mnanya Kwa nguvu kama vile manila anavyonyakua boli. Mnavhekesha kweli.
Mapenzi yako na wajinga wenzako wa Ufipa hayaondoi ukweli.
UKIONA MBUNGE ANASHADADIA WALIOIBA WATAJWE UJUE ALITOSWA KWENYE MGAO
Undika wewe mjuaji sasaa, mbona unaishia kutoa povu tuuu. Au na wewe huna loloteeSiku nyingine usiandike usichokuwa na uelewa nacho ... Wkt mwingine mnalazimisha mjibiwe kwa kufokewa ndo muelewe...
Sent from my DRA-LX5 using JamiiForums mobile app
Kaona uongo mwingi.
Fedha mnazopokea zinapitishwa na bungee lipiAcha kujitoa kwenye mada. Mambo ya ruzuku hata DP anapokea ni haki yao. Ila suala la bunge kulinda mafisadi halikubaliki.
Si mnabwabwaja eti nibunge la hovyo na wakati bungee hilohilo ndio linalopitusha bajeti ya ruzuku ya chama chenu. Ebu wanachadema pongezeni bungee hili ili lipitishe bajeti nzuri na nyie ruzuku iwe nzuriii zaidii
Fedha mnazopokea zinapitishwa na bungee lipi
tuache uongo hajaoiga marufuku ameelezea utaratibu ulivyo kwa mujibu wa kanuni za bunge
Kwani Kodi ikikusanywa kutoka Kwa hao wananchi inaenda Moja Kwa Moja kwenye chama chenu, au inapitishwa kama bajeti ya makusanyo yote halafu bungee linasomewa na kulidhia na ndioo mgao ule na nyie mnapewaa?? Au nyie mnakusanya na kuwana wenyewee. Haaaaaa haaaaa. Unachekesha kweliii. Tena tuwaombee wabunge wa CCM Mungu awabariki Kwa KAZI nzuriii. Habari ya report ya CAG umeshaambiwa itajadiliwa lini, Sasa shida Iko wapiiiRuzuku inatoka kwenye kodi ya kila mwanachi, hata wa upinzani wanalipa sio bunge. Issue ni kwamba bunge linaweza kupitisha azimio la kumpongeza rais wiki nzima lakini kujadili ripoti hatabkwa siku tatu wanarusha hadi mwisho wa mwaka. Stupid bunge.
Unachekesha sana, bajeti inapitishwa na bunge ila pesa haitolewi na bunge , bali pesa inayoka kwa wananchi wenyewe na wahisani. Ndio maana nikakwambia ruzuku ni haki ya vyama maana pesa inatoka kwa raia sio serikali na ruzuku ni haki kikatiba sio hongo. Kwa hivyo bunge la vilaza wa ccm halitoi hata shilingi kumi lenyewe linapitisha bajeti na sio kutoa pesa.Kwani Kodi ikikusanywa kutoka Kwa hao wananchi inaenda Moja Kwa Moja kwenye chama chenu, au inapitishwa kama bajeti ya makusanyo yote halafu bungee linasomewa na kulidhia na ndioo mgao ule na nyie mnapewaa?? Au nyie mnakusanya na kuwana wenyewee. Haaaaaa haaaaa. Unachekesha kweliii. Tena tuwaombee wabunge wa CCM Mungu awabariki Kwa KAZI nzuriii. Habari ya report ya CAG umeshaambiwa itajadiliwa lini, Sasa shida Iko wapiii
Kwahiyo mnakusanya wenywe na kujigawia wenyewee na hao raia wenuuuUnachekesha sana, bajeti inapitishwa na bunge ila pesa haitolewi na bunge , bali pesa inayoka kwa wananchi wenyewe na wahisani. Ndio maana nikakwambia ruzuku ni haki ya vyama maana pesa inatoka kwa raia sio serikali na ruzuku ni haki kikatiba sio hongo. Kwa hivyo bunge la vilaza wa ccm halitoi hata shilingi kumi lenyewe linapitisha bajeti na sio kutoa pesa.
Unajadili bajeti ambayo robo yake imeibiwa?. Mpaka waziri mkuu amezuia mikopo ya halmashauri isitolewe. Yani baadla mkae mshughulikie wizi kwenye bajeti, mnakimbilia kupitisha bajeti ili wezi waibe vizuri.
Mkuu Economist nchi inaendeshwa kwa mujibu wa sheria kwahiyo ni takwa la kikatiba wao kujadili bajeti kwa sasa. Hapo kwenye kuliwa au kutoliwa taratibu zake zinajulikana. Pia bunge lina nguvu kubwa endapo litatumia nafasi yake vizuri. Kuacha kujadili bajeti na kuziungumzia ushoga ni upuuzi wa hali ya juu na kujishushia heshima kama bunge. Hoja yako yenye mashiko ni hii ishu ya ripoti ya CAG kujadiiwa Novemba. Mimi binafsi naona kama ni kutoa mwanya kwa watuhumiwa kujipanga.Point yangu ni kwamba , unajadilije bajeti wakati robo ya bajeti iliyopita imepigwa?. Unajadili bajeti kwa ajili ya kuliwa au kufanya kazi?. Wangeanza kwa kujadili ripoti hata kwa wiki moja halafu , halafu watoe maazimio kama ya richmond.
Nadhani sheria inaruhusu kutoa siku sio chini ya 60 hivi Ili serikali itoe majibu na PAC kuja na mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa. In fact huko nyuma ripoti ya CAG ilikua inachambuliwa bunge la January yaani miezi zaidi ya 6 tokea iletwe meza ya Spika!!Kanuni zinamruhusu Spika kupangia ratiba taarifa ya CAG baada ya kuwa imeshakabidhiwa Bungeni?
Huu uzwazwa una malengo gani hasa?
DuhBunge la mashoga na spika kilaza
Kwa mtaaamo wangu ni kwambaNadhani sheria inaruhusu kutoa siku sio chini ya 60 hivi Ili serikali itoe majibu na PAC kuja na mapendekezo ya hatua za kuchukuliwa. In fact huko nyuma ripoti ya CAG ilikua inachambuliwa bunge la January yaani miezi zaidi ya 6 tokea iletwe meza ya Spika!!
So pengine kanuni zilikosewa kutungwa ila Kwa hili Spika yupo sawa kisheria maana CCM ndio walizipitisha ili kutow nafasi kwa PAC kuhoji Kila mshtakiwa.
Sawa mkuu nimekuelewa.Mkuu Economist nchi inaendeshwa kwa mujibu wa sheria kwahiyo ni takwa la kikatiba wao kujadili bajeti kwa sasa. Hapo kwenye kuliwa au kutoliwa taratibu zake zinajulikana. Pia bunge lina nguvu kubwa endapo litatumia nafasi yake vizuri. Kuacha kujadili bajeti na kuziungumzia ushoga ni upuuzi wa hali ya juu na kujishushia heshima kama bunge. Hoja yako yenye mashiko ni hii ishu ya ripoti ya CAG kujadiiwa Novemba. Mimi binafsi naona kama ni kutoa mwanya kwa watuhumiwa kujipanga.
Kwahiyo mnakusanya wenywe na kujigawia wenyewee na hao raia wenuuu