Dkt. Tulia: Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano Novemba, 2023
Nimesikitika sana nilipomuona Mhe. Spika akitoa taarifa kwa Wabunge kuwa taarifa ya CAG isijadiliwe katika kikao kinachoendelea sasa huko Dodoma. Najiuliza wenye hela ni sisi wananchi kwa nini taarifa hii muhimu isiendelee kujadiliwa Bungeni?. Au Serikali inaendelea kuaibika kutokana na taarifa hiyo?. Jana Mhe. Mpina alisema kuwa ukijumlisha upotevu wote wa fedha za umma ni Trillioni 33. Hili ni jambo la kusikitisha sana. Kuanzia taasisi kabisa ya juu mpaka Mtendaji wa kijiji wanatakiwa wajiuzulu mara moja.
tuache uongo hajaoiga marufuku ameelezea utaratibu ulivyo kwa mujibu wa kanuni za bunge
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Spika Tulia anapaswa kuadhibiwa kwa kutokuona umuhimu wa kujidali ripoti hii hata kwa dharura.
Naelewa ilipaswa kamati za bunge ziipitie lkn kutoa mwanya huu mafisadi watapoteza ushahidi.

Wana Mbeya watusaidie kumwadhibu 2025
Sugu atapata hoja ya kumtoa huyu mtetea ufisadi
 
HUWEZI endesha kikao cha bunge bila utaratibu
Muda wa BAJETI wakianza kuchambua ripoti ya CAG hiyo bajeti itajadiliwa lini!?

Ndio nikasema hivi, mnajadili bajeti kwenda kuibiwa?. Yani baadala msolve suala la wizi kwenye bajeti, nyie mnahangaika kupitisha bajeti ili ikaibiwe tena. Ni common reasoning tu, tuache mambo ya procedure tuangalie je ni haki kupitisha bajeti bila kushughulikia wizi?. In short bunge lipo kutetea serikali na mafisadi.
 
Kila jambo na muda wake kwa mpango wake
Kama vile wewe usivyoweza kuvaa suruali mabegani na shirt mapajani umwache Tulia asimamie kikao cha bajeti ikifikia wasaa wa kujadili report itajadiliwa

Hiyo ni gia ya kukimbia uajibikaji. Hapo ikifika mwezi wa kumi na moja watadai mambo yote yameshashughulikiwa. Bunge la kijinga likiongozwa na spika kilaza na mjinga. Shenzi kabisa
 
SAWA tunaelewa Kuna mbinu chafu za kuzika hoja za ulaji! Rais aliomba siku 21 makatibu Wakuu watoe majawabu na Kwa ansadi ya Bunge Naibu wako Zungu alikiri Hilo linafanyika ndani ya siku hizo.
Kuna haja gani kuja kujadili uozo ulio wazi kabisa Mwezi November hata walizokula hamtapata hata Senti nyeupee.
Kweli Tanzania nchi ngumu.

Hili bunge halikutakiwa kuwepo. Wamejificha kwenye ushoga ili kutuhadaa. Kumbe bunge lenyewe limejaa mashoga.
 
Mkutano wa 11 (huu unaoendelea sasa) wa bunge ni mkutano wa bajeti.

Kwani pesa iliyoliwa siyo ya bajeti iliyopita?. Kwanini wasijadili pesa zilizopibiwa kwenye bajeti iliyopita mpaka mwezi wa kumi na moja ili wafiche ushahidi. Tanzania bila bunge la mashoga inawezekana.
 
Basi endeleeni kupiga kelele, mnajitekenya wenyewe kwa kukosa maarifa.

Maarifa gani?. Ushoga wameruhusiwa wameujadili ila ripoti ya wizi wa pesa wameutupa mwezi wa kumi na moja, kweli wananchi hatuna bunge, bali rubber stamp ya mafisadi.
 
Hilo bunge sio la wananchi, hivyo hawaoni hatari kutokujadili wizi wa fedha zetu. Tusiopoandamana na kuhakikisha hayo majizi ya kura hayaingii humo bungeni, wataendelea kutuona mafala tu.

Wapinzani watumie hiyo gap kuitisha maandamano bungeni dhidi ya bunge. Hata wakikatazwa ujumbe utafika.
 
Huo ni utaratibu mmbovu mno ambao auna tija na sidhani kama upo kisheria (sheria inasema CAG anafanya kazi kwa niaba ya bunge, lakini bunge ndio linajiamulia muda wa kujadili), na muda wanaojipangia unalea uzembe.

Binafsi kinachonishangaza inakuwaje maamuzi mengine hasa (ya udanganyifu wa makusudi kwa malengo ya ubadhirifu) na yenyewe yasubiri mpaka bunge lihoji, sasa nani mtaalamu CAG au hao wabunge wa kwenye kamati ambao ata ukiwauliza IAS ni kitu gani awawezi kukuelezea.

Na hata baadhi ya sheria au taratibu tulizojiwekea ni kinyume na regulations za IAASB kwa mtantiki za faida ya kazi za auditing kwenye shirika lenyewe ku adapt good practices haraka au wenye mali kufanya maamuzi sahihi yenye tija kuokoa hasara.
 
Kuna yale huwa wanatumia hati ya dharura au ni ya kupongeza ndiyo huwa yanapata nafasi hiyo? Muda mwingine unajikuta tu unaichukia nchi yako
 
Ukitazama kwa jicho la mwewe utagundua jinsi gani rais samia yuko na maadui lukuki bungeni kuliko hata mitaani. Yani mwigulu anafanya ubadhirifu makusudi kisha anamsakizia Raisi kwamba anajua huo ujinga wake. Leo Rais Samia anawataka wezi washughulikiwe mapema ili isimuondolee sura ya amiri jeshi anatokea mtu amekonda makwapa kama kona za kinanda na mataya kama kufuli za magodown ya dangote anamrudisha nyuma na kumchafua mama kwa wananchi wake alioapa kuwatumikia kwa kuzuia mjadala. Hii sio sawa

Huyo spika hafai, issue ipo hot baadala muishughulikie eti tusibirie mwisho wa mwaka. Hicho kimama kinatakiwa kiwashwe makofi ili ukilaza ukitoke.
 
Mimi Nina imani kubwa sana na spika, kama kweli amekataza kuna sababu ya umuhimu
Sababu gani?. Unajadili bajeti lakini pesa zilizoibwa kwenye bajeti iliyopita msubiri mwezi wa kumi na moja. Kwa kifupi bunge linapitisha bajeti bila kuzingatia wizi wa kwenye bajeti hiyo na kuwapitishia bajeti mafisadi wakaipige vizuri.
 
Mkuu koryo1952 , kiukweli uelewa wa baadhi yetu ni mgogoro, Spika hajapiga marufuku taarifa ya CAG kujadiliwa Bungeni bali amesema mjadala rasmi kuijadili ni kikao cha November, ila mbunge yuko huru kutoa maoni yake yoyote kuhusu ripoti ya CAG ila asiiulize serikali kutoa majibu yoyote.

Amesema wameisogeza ili kutoa nafasi kwa wahusika kupewa haki ya kusikikizwa na kamati husika kisha ndipo Bunge litajadili na kutoa Azimio la Bunge kupelekwa serikalini kwa utekelezaji.
P

Endeleeni kutetea status quo kwa ajili ya vyeo. Maana mnapenda vyeo mpaka uongo mnauita ukweli. Mbona ushoga wameujadili mpaka wakatoa na maazimio serikali ilete mabadiliko ya sheria?.

Ila ripoti ndio imesogezwa mwezi wa kumi na moja, wakijua ushahidi utakuwa umefichwa na hata huo mwezi wa kumi na moja hakuna kitakacho jadiliwa.


Spika ni remote controlled hivyo anafuata atakavyoambiwa na mafisadi.
 
Back
Top Bottom