Dkt. Tulia: Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano Novemba, 2023

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Spika Tulia amesema Ripoti ya CAG itajadiliwa kwenye Mkutano wa mwezi November 2023

Huyo ni baada ya Kamati za Bunge kuwa zimeshakamilisha wajibu wake wa kisheria.

==========

Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ya mwaka 2021/22 itajadiliwa kwenye mkutano ujao wa bunge, Novemba 2023, baada ya kamati za hesabu za Serikali kumaliza kazi zake.

Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.


Source: Swahili Times
 
Soon tutafika mwisho na kipindi hicho wajinga wakifa na waelevu wakizaliwa kama upo Tanzania na upo hai wew ni mjinga mmoja, tusubir kizazi cha waelevu wakija kubadilisha uwalisia na sio sis. Mpaka November?

Needs katiba mpya
Needs new government
Needs new political party
Needs new face
 
Spika Tulia anapaswa kuadhibiwa kwa kutokuona umuhimu wa kujidali ripoti hii hata kwa dharura.
Naelewa ilipaswa kamati za bunge ziipitie lkn kutoa mwanya huu mafisadi watapoteza ushahidi.

Wana Mbeya watusaidie kumwadhibu 2025
 
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.

Source:
 
Amehitimisha, wasubiri hadi ufike mjadala wake maalumi katika vikao vya mkutano wa mwezi Novemba.
 
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.

Source:

Hivi huyo Spika anajielewa kweli??

Hoja ya kitaifa hivi Sasa, ni wizi mkubwa uliofanywa na hao makada wa CCM, Sasa asitafute mbinu za kutaka kuwakingia kifua wezi hao, Kwa kupoozesha mjadala huo😎
 
Spika wa Bunge, Dkt. Tulia Ackson amesema Bunge halitachukua hoja zitakazochangiwa na mbunge sasa kuhusu ripoti ya CAG kwa sababu mkutano wa sasa wa bunge ni wa bajeti na si kujadili ripoti hiyo.

Source:
Huyu yuko compromised sana sema nilauku Watanganyika kwa kuwa Mazezta, inapaswa siku moja hilo Bunge lipigwe kiberiti ndio ufahamu utawalejea
 
Back
Top Bottom