Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpumbavu zaidi ni yule anayeshindwa kujibu hoja za wapumbavu. Kama angelikuwa mjinga walau angelijitahidi kujibu swali moja katika hoja nyingi zilizotelewa na wanasheria wenzake.SPIKA wa Bunge, Tulia Akson amewajia juu watanzania waosema bandari imeuzwa na kubainisha kuwa Mtu mpumbavu anazeeka na upumbavu wake..
Hicho kimwanamke ni mifupa tu kama kishetaniShetani ni yule mwenye kutukana maumbile aliyoumba Mwenyezi Mungu....
Upumbavu hakuumba Mwenyezi Mungu....
She deserves!Argumentum ad hominem
Hapo kajisema yeyeNi sawa tu, hata wapumbavu huzeeka na ujuha wao, ajibu Hoja,huo usalama anaousema upo wapi ndani ya mkataba, sio kuleta mbambamba.
Hivyo vipengele vimeshafafanuliwa zaidi ya mara elfu moja, ni watu tu wameamua kupinga jambo fulani.Nadhani kuna shida hakuna mtu.anapinga Dp World. kuwekeza .Kinachopingwa ni vipengele vibovu vilivyoko kwenye mkataba
Watu waache kuongea sababu wazeeeka? Kwani wazee hawana haki ya kuongea kuwa mtu akizeeka afunge mdomo?
Hata yeye anazeeka na sura yake mbayawe sura yake unaona kaezeka yupo kijana
kama ambavyo wako watu wenye hekima wanazeeka na wakiwa na hekima na hata wapumbavu huzeeka na upumbavu wao.
Source: Haroub TV.
Eheee sasa mambo mbona yanataka kuwa hovyo. Hata kiongozi wa mhimili akoa uvumilivu. Sikilizeni hoja kama hazifaai jibuni tu ili tufike salama. Ushauri tu msiniparureSPIKA wa Bunge, Tulia Akson amewajia juu watanzania waosema bandari imeuzwa na kubainisha kuwa Mtu mpumbavu anazeeka na upumbavu wake...
Mkataba mwenyewe kausoma? yeye aliambiwa pitisha basiEheee sasa mambo mbona yanataka kuwa hovyo. Hata kiongozi wa mhimili akoa uvumilivu. Sikilizeni hoja kama hazifaai jibuni tu ili tufike salama. Ushauri tu msiniparure
Tuambie mkataba ni wa miaka mingapi? tenda ilitangazwa lini? tutalipwa kiasi gani kwenye mkabata?Hivyo vipengele vimeshafafanuliwa zaidi ya mara elfu moja, ni watu tu wameamua kupinga jambo fulani.
Hawana sababu ya msingi ya kukataa ni kwamba wameamua kutolikubali, full stop.
Anaongea hapo anajua analindwa na polisi, subiri system imtemeHatujakataaa ila hao wapumbavu ndio wote wanaohitaji ufafanuzi kwenye suala la msingi au kuna werevu?
Hii ngoma ya taifa inahitaji majibu kwa ajili ya taifa nasio mtu binafsi.
Kwani yana muda basi haya mambo patapambazuka tu
Ni spika wa bunge hakuna kinachoingia bila ya yeye kuwa na uelewa nacho.Mkataba mwenyewe kausoma? yeye aliambiwa pitisha basi
Urefu wa mikataba hutegemea sababu mbalimbali zinazoibuka katika utekelezaji wake. Tatizo letu watanzania ni uelewa mdogo wa haya mambo, elimu elimu elimu alisema Mzee Lowassa pale Jangwani.Tuambie mkataba ni wa miaka mingapi? tenda ilitangazwa lini? tutalipwa kiasi gani kwenye mkabata?
Bunge walisema wanapitisha azimio au mkataba? usitufanye wajinga kama wewe, mikataba yote huwa ina muda kamili pamoja na gharama zake lazima ziwe wazi.Urefu wa mikataba hutegemea sababu mbalimbali zinazoibuka katika utekelezaji wake. Tatizo letu watanzania ni uelewa mdogo wa haya mambo, elimu elimu elimu alisema Mzee Lowassa pale Jangwani...
Huyu ajuza anasoma saa ngapi? yeye mwenyewe hajui kapitisha nini mara mkataba mara azimio mara mkataba ulishasainiwa, hakuna Spika hapo ni takataka tupuNi spika wa bunge hakuna kinachoingia bila ya yeye kuwa na uelewa nacho.