Mkosoaji mkubwa.....
Dr.Shule anaweza kujikosoa hata jinsi alivyoumbwa.....
Sijui huyu naye yuko katika ile PAYROLL ya hawa watu ?!!!!View attachment 2210529
Hapa inatakiwa ubishe kwa facts sio kila kinachowekwa Hollywood ni bora kuliko vyote. Dokta anasema ubora wake sio mkubwa kulinganisha na ubora wa filamu zinginde za nyakati hizi. Mfano hata filamu za anold , Rambo na Van damme zilikuwa bora kwa wakati wake na zikaoneshwa Hollywood lakini ukiziangalia leo ni low quality
Toyota inajulikana ulimwenguni kote lakini bado matangazo yake hayakomi.Utalii umekuwa ukijipromote wenyewe watu wanaijua serengeti,ngorongoro na kila kitu msianze kule uongo
Kwhy bilion200 kwny royo tua tu....wewe utakuwa umekulia Ikulu...Acha uongo bilion 9 hazitoshi usemayo hata kidogo,suala unaloongelea lingehitaji bl. 200 na kuendelea!
N.b,bil 2 unajenga jengo la ghorofa 8.
Kakaaaa acheni basi kuwa PRAISE POWER mpaka aibu.... Kuna documentary nyingi tu zipo SAFARI CHANNEL Zina ubora kuliko huo wa RT ..... Na nnamini Zina gharama ndogo kuliko huu upuuziDk. Kazungumza kiujumla sana! Ubora ktk eneo gani? Na akilinganisha na ubora upi uliojuu kwa hizo gharama. Pia, ni muhimu kuchambua aina za filamu.
Kwa mfano, ukiangalia ktk drama zipo za aina nyingi zenye maudhui, muundo, picha, wahusika na aina ya maneno tofauti tofauti, kama MELO- DRAMA ( za mapenzi kama ile ya Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe) huwezi kuilinganisha na HISTORICAL DRAMA (Kama Ya TheTrial of Dedan Kimath). Ukija kwa filamu ya The Royal Tour; location, wahusika,muundo na maudhui ni tofauti kabisa na zile filamu tulizozoea. Sasa mtu akisema ubora uko chini anamaanisha nini? Mchanganyiko wa rangi, maudhui, wahusika, picha au nini? #The Royal Tour itasaidia nchi tuache maneno mengi.🙏🙏🙏
Naona Umeishiwa point..anyway next time usijifanye mjuaji while kichwani ni mweupe.
JF is a home of Greak Thinkers sio watu wa hoja nyepesi nyepesi km zako za nigerian movie haziuzwi amazon.
I bet hujui tofauti ya amazon na movies distribution company or hujui Hollywood ni nn unakurupuka tu.
By theway Director ni John Feist. Ss ka mgoogle uone zaidi ya filamu za dizaini ya Royal tour ni filamu gani zaidi ka direct na ana umaarufu kiasi gani.
Unataka vitu vizuri kwa dola 3.8million, are you serious!?
Ni kupoteza muda kulinganisha hiyo na filam/ documentary zingine zenye gharama kubwa! Tuna uwezo wa kununua magari used, halafu eti ujifananishe na magari mapya ya Ulaya, itawezekana? Huku ni kujitia upofu huku ukweli unafahamika
Hivi bado ni za siri hadi leo? Mbona zinajulikana tu?Hapo hata kushika kamera hajui,anadhani kutengeneza filamu ni Kama kunyoa sehemu za siri
ELEWENI VICHWA KAMASI;-Kakaaaa acheni basi kuwa PRAISE POWER mpaka aibu.... Kuna documentary nyingi tu zipo SAFARI CHANNEL Zina ubora kuliko huo wa RT ..... Na nnamini Zina gharama ndogo kuliko huu upuuzi
Ubora unatosha, hatuhitaji ishinde oscarsKwa hiyo unasema Rais alikwenda kutafuta connection na unakubaliana na Dr kuwa filamu hii haina ubora wa hela tuliyo ambiwa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaangalia wapi hiyo Royal tour?Sijui hayo yote uliyosema ila najua ila najua kizuri na kibaya. Na Royal Tour quality ni mbaya
Ameshafanya documentary gani yeye I'll tulinganishe?Kwanza naunga mkono hoja ya Dr Vicensia Shule who has a B.A in fine and Performing Arts and Masters of Arts in Performing arts and also a lecturer who teaches theatre,film,media criticism and communication development.
Kwa wasifu huo ni mbobezi wa mambo ya filamu japokuwa ni social activists haswa kwa maoni yake dhidi ya utawala wa ccm kule twitter mpaka kupewa jina la Shangazi akijumuishwa na Maria, Fatuma na Aikande.
Ile filamu Nadhani ni proposal ya watu fulani wa ndani wakimjumuisha na Peter hivyo haikuwezekana pesa watoe watu fulani halafu filamu itengenezwe na wazawa wenye kiwango cha juu.
Kuna kinywaji,maarufu duniani kama Coke lakini kila kukicha wanajitangaza utafikiri ndio kwanza wameingia sokoni.Apromote nini wakati Kilimanjaro na Serengeti zinajulikana duniani kote hata bila RT.
Halafu siku za hivi karibuni uandishi wa namna hiyo umeshamiri sana. Najiuliza maswali wanaoandika hivyo wametoa wapi hiyo lugha? Shule zipi zinafundisha hivyo? Utakuta mtu anaandika:Hapo mlimani pana shida Nyingi basi....
Ikiwemo hii
Hawasaidie [emoji777]
Awasaidie[emoji736]
Napendekeza tutatue hili kwanza, Hoja inapungua makali kama itaandikwa vibaya.
Sawa nimekusikia, swali kwako, huyo mlengwa unamfahamu ni nani? Na fani yake ni nini?Hapo hata kushika kamera hajui,anadhani kutengeneza filamu ni Kama kunyoa sehemu za siri