Dkt. Vicencia Shule: Ubora wa filamu ya Royal tour ni wa kiwango cha chini. Hata vijana wa bongo movie wangeweza kuitengeneza


Kwa gharama gani? Kagoogle hiyo filam/ movie iligharim bei gani?
 
Utalii umekuwa ukijipromote wenyewe watu wanaijua serengeti,ngorongoro na kila kitu msianze kule uongo
Toyota inajulikana ulimwenguni kote lakini bado matangazo yake hayakomi.
•Kuna baadhi ya watu wanakamasi vichwani. Absolutely!
 
Acha uongo bilion 9 hazitoshi usemayo hata kidogo,suala unaloongelea lingehitaji bl. 200 na kuendelea!
N.b,bil 2 unajenga jengo la ghorofa 8.
Kwhy bilion200 kwny royo tua tu....wewe utakuwa umekulia Ikulu...
 
Kakaaaa acheni basi kuwa PRAISE POWER mpaka aibu.... Kuna documentary nyingi tu zipo SAFARI CHANNEL Zina ubora kuliko huo wa RT ..... Na nnamini Zina gharama ndogo kuliko huu upuuzi
 
Kimsingi trela huwa vinachaguliwa vipande Bora na venye mvuto Sasa kwa zile trela nitaongea TU hata kama sauti haitasikika hapa Dr yuko sahihi na kama hela haijalipwa yote basi pafanyike mabadiliko kiwango ni Cha kawaida mno
 

Unataka vitu vizuri kwa dola 3.8million, are serious!?
Ni kupoteza muda kulinganisha hiyo na filam/ documentary zingine zenye gharama kubwa! Tuna uwezo wa kununua magari used, halafu eti ujifananishe na magari mapya ya Ulaya, itawezekana? Huku ni kujitia upofu huku ukweli unafahamika
 
 
ni apo utakaposikia alijiteka na akawa anajitekenya mwenyewe
 
Wanaharakati, chadema ni watu wa hovyo, wao kila kitu wanarukia tu
 
Kakaaaa acheni basi kuwa PRAISE POWER mpaka aibu.... Kuna documentary nyingi tu zipo SAFARI CHANNEL Zina ubora kuliko huo wa RT ..... Na nnamini Zina gharama ndogo kuliko huu upuuzi
ELEWENI VICHWA KAMASI;-
•Gharama ya 7bil,inajumuisha kila kitu fedha ambazo sio za serekali,ni wadau wa sekta wamechangia Mimi nikiwemo,gharama hizi zimebeba,utengenezaji filamu,kuitangaza,kutangaza utalii,kutangaza uwekezaji,kuvutia wawekezaji,Ku launch filamu,kukodi kumbi,na mengi kweli.
FAIDA;-
•Tayari makampuni ya uwekezaji yanakuja nabuwekezaji wa 11Trilion,Ambayo yataajiri vijana 300,000.
::THAT WAS 2 IN 1 TOUR,NI ZIARA NA LAUNCH ILIYOKUWA NA MAMBO MENGI NDANI YAKE.
 
Ameshafanya documentary gani yeye I'll tulinganishe?
 
Hapo mlimani pana shida Nyingi basi....
Ikiwemo hii
Hawasaidie [emoji777]
Awasaidie[emoji736]
Napendekeza tutatue hili kwanza, Hoja inapungua makali kama itaandikwa vibaya.
Halafu siku za hivi karibuni uandishi wa namna hiyo umeshamiri sana. Najiuliza maswali wanaoandika hivyo wametoa wapi hiyo lugha? Shule zipi zinafundisha hivyo? Utakuta mtu anaandika:

awana badala ya hawana
Hawakubalie badala ya awakubalie
Hawaone badala ya awaone
awaongei badala ya hawaongei

Yaani panapostahili 'H' haiwekwi badala yake wanakuja kuiweka isipostahili na bahati mbaya hata ukimuelekeza sio rahisi kukuelewa
 
Hapo hata kushika kamera hajui,anadhani kutengeneza filamu ni Kama kunyoa sehemu za siri
Sawa nimekusikia, swali kwako, huyo mlengwa unamfahamu ni nani? Na fani yake ni nini?
Watanzania huwa hatuna utamaduni wa kuijadili filamu ili kuona ubora wake, na hilo ndilo linaloitesa Bongo muvi. Kwenye fani ya filamu picha ikitengenezwa lazima ijadiliwe ili kuona kama imetimiza ubora unaotakiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…