Dk. Kazungumza kiujumla sana! Ubora ktk eneo gani? Na akilinganisha na ubora upi uliojuu kwa hizo gharama. Pia, ni muhimu kuchambua aina za filamu.
Kwa mfano, ukiangalia ktk drama zipo za aina nyingi zenye maudhui, muundo, picha, wahusika na aina ya maneno tofauti tofauti, kama MELO- DRAMA ( za mapenzi kama ile ya Ngoswe Penzi Kitovu cha Uzembe) huwezi kuilinganisha na HISTORICAL DRAMA (Kama Ya TheTrial of Dedan Kimath). Ukija kwa filamu ya The Royal Tour; location, wahusika,muundo na maudhui ni tofauti kabisa na zile filamu tulizozoea. Sasa mtu akisema ubora uko chini anamaanisha nini? Mchanganyiko wa rangi, maudhui, wahusika, picha au nini? #The Royal Tour itasaidia nchi tuache maneno mengi.🙏🙏🙏