inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,344
- 21,967
Adam juma na picha zake za red watu wanakua na tangu ya udongo!!Naungana na dkt nisher au adam juma wangefanya vizuri tuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adam juma na picha zake za red watu wanakua na tangu ya udongo!!Naungana na dkt nisher au adam juma wangefanya vizuri tuu
Nani kaleta uislam?Maana yake ni Uislam tu.
Blaza naomba namba za uyo dem ulomweka apoAdam juma na picha zake za red watu wanakua na tangu ya udongo!!
Rihanna huyoBlaza naomba namba za uyo dem ulomweka apo
... huyu Dr. Shule ana kauli tata sana. Chupuchupu aingie kwenye 18 za Jiwe enzi zile.
Duhh kila kitu mtzd i anajifanya mjuaaji na upigaji tuNchi ya WAJUVI HII
Unaangalia wapi hiyo Royal tour?
Kwamba uangalie hiyo cracked film halafu ufanye conclusion ya ubora?The Royal Tour (Tanzania) - itazame hapa bure
Kama hujapata bahati ya kuiona filamu ya Tz Royal Tour ni hii hapa. Enjoy. Utajifunza mengiwww.jamiiforums.com
Alfu kumbe amesomea utopolo mtupu eti fine art mm nikajuwa labda dad etu Ni mwalimu wa engineering au bcom au hat land valuation
Umeungalia mkanda wenyewe?Nakubaliana naye
Katumia vigezo gani kuchambua huo mkanda?Alfu kumbe amesomea utopolo mtupu eti fine art mm nikajuwa labda dad etu Ni mwalimu wa engineering au bcom au hat land valuation
Kwani ubora wa content unaonekana vipi??Kwamba uangalie hiyo cracked film halafu ufanye conclusion ya ubora?
Hicho ndicho chanzo halisi kutoka PBS?
Ninacho kijua mimi ni kwamba lengo la mama samia wala halikuwa ubora bali ilikuwa ni kutafuta connections na watalii, kama ingekuwa ni ubora hata nisher angetoa tu kitu quality sana ila sasa kinaenda vip kwa walengwa ndio swala lingine.Hapa inatakiwa ubishe kwa facts sio kila kinachowekwa Hollywood ni bora kuliko vyote. Dokta anasema ubora wake sio mkubwa kulinganisha na ubora wa filamu zinginde za nyakati hizi. Mfano hata filamu za anold , Rambo na Van damme zilikuwa bora kwa wakati wake na zikaoneshwa Hollywood lakini ukiziangalia leo ni low quality
jumlisha na chakula walichokula,mafuta ya kuweka kwenye magari yao diesel/petrol...kwa gharama iyo ni sawa kabisaBilioni 9 zimelala pale.
Wakaishia kutuonesha Mlima Kilimanjaro ambao hauna barafu.
Wewe.Nani kaleta uislam?