Dkt. Yahaya Nawanda apandishwa Kizimbani kwa Tuhuma za Ulawiti, aachiwa kwa dhamana


Nilisikia kuwa kesi kama hii haina dhamana .... au kwa vile alikuwa na Cheo....!!? Dalili za mvua ....!!
 
hizo pesa ni ushahidi collaborated evidence. km alimpa cash,kumrushia au akaunti ya mlalamikaji itaonyesha.kazi ipo
 
Samia anateua viongozi wenye kudhalilishwa Serikali yake,

1. Naibu waziri, alisababisha mwanachuo kufariki, Hadi Leo hakuna kesi.

2. Na Wana anatuhumiwa kulawiti.

Sasa tatizo Hasa ni nini🤔
Gukul
 
Hapo kwenye ku prove kama kweli alilawitiwa ndipo penye mtihani. Swali ni Je, baada ya kulawitiwa alikwenda hospital na kupimwa?

Je, kuna ushahidi wa manii za mtuhumiwa kwenye tigo ya binti?

Maswali ni mengi sana.
 
Nani kakuambia atazikubali? Atazikana tu.

Kukubali kuwa alitoa hela kuziba mdomo, ni kuthibitisha kuwa alifanya kosa

Binti alishapata coaching ya kisheria. Hizo pesa ni zake na wanasheria wanaomsimamia..

Pesa zinazoweza kutumika kama ushahidi ni zile walizompa mama yake. Na walizilipia benki..

Hizo zikijengewa hoja za kisheria vizuri na huyo mama akajitokeza kutoa ushahidi zaweza kumtia hatiani Nawanda kirahisi sana!!
 
Hawa mabinti ni wa kuwa nao makini sana, hivi karibuni nipo na demu mmoja ananiambia nimtie kidole cha mkundun ete anasikia raha, nikaona yale yale ya Nawanda.. nikamuambia siwezi mie hiyo kazi
Kwani na wewe ni mkuu wa mkoa au una ka cheo cheo? Maana hizi ishu watu wanazifanya sana ila kwa wenye vyeo ndo wakae nayo mbali maana ni mtego, kama huna kitulize tu hamna mwenye muda na wewe
 
Hicho ni kizibiti cha Rushwa.
 

Hivi hiyo PhD alenda kusomea ujinga ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…