DNA yaonesha watoto 3 wa Mchezaji wa Super Eagles, Michael Kayode siyo watoto wake kibaiolojia

Hivi KATAA NDOA mbona sijawaona wakija mbio kukomba pinti 3 za bure hapa?
 
Sema mwanamke ni kama amefanya makusudi. Imagine watoto 3 [emoji16] Hyo ni kama miaka 15 hivi mda wote mchungaji anakula manzi yako.

Huenda walikua wanataka kuongeza wa nne
 
😅😅mkeo kashakitombeshq mpk kakuletea watoto wasio wako kwani? Jiue tu huna faida
Unastahili gunia 3 za mkaa. Nakufunga mikono, miguu na kuziba mdomo.
Nakuchoma huku unashuhudia mpk una danja.
Watoto 3, hilo ni kosa ambalo halisameheki.
 
Wee ndio maana nakwambia wanawake ni mashetani....yaani ata shetani mwenyewe hapo anakula somo 🤣🤣🤣🤣
Huyo kafanya makusudi, haiwezekani watoto wote 3, km kucheat ilikuwa ni mmoja tu wengine wote wangekuwa wa jamaa.
Huyo mwanamke gunia 3 za mkaa zinamhusu
 
Jamaa analipigania Taifa lake huku mkewe analiwa ovyo.DNA imeonyesha watoto wote siyo wa jamaa isipokuwa mwanamke kazaa na mchepuko ambaye ni baba mchungaji.

Tatizo mnaoa malaya kwa tamaa, umaarufu, bila kuzingatia huyo unayemuoa kakupendea nini! Sample kama hizi ni chache kulinganisha na wanawake waaminifu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…