Uingereza marais wakisafirishwa kwa bus la pamoja!Wabunge wanasafirije kwenye gari moja kama kumbikumbi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uingereza marais wakisafirishwa kwa bus la pamoja!Wabunge wanasafirije kwenye gari moja kama kumbikumbi?
Ubaya Ubwela tu😂Nimetoka kusoma comments kwa millard Ayo ngoja nisome na hapa😅😅😅😅.
Poleni sana wawakilishi wetu, Mungu awape sia njema kwa wale mliopata mushikeli..!
Lakini utashangaa kwenye uchaguzi watashinda kwa kishindo. Nani huwa anawachagua?Ubaya Ubwela tu😂
Itakuwa Majini waoLakini utashangaa kwenye uchaguzi watashinda kwa kishindo. Nani huwa anawachagua?
Wanashinda kwa kuharibu uchaguzi na kuiba kura 🤣.Lakini utashangaa kwenye uchaguzi watashinda kwa kishindo. Nani huwa anawachagua?
Ajali wanauwezo wa kupangua eee?🤣🤣Wakitoka wapi kwenda wapi?
Hao kitakachowaua ni bp siyo ajali
Natumai wote ni ccm wawepo wanapostahiliMh! pole kwa wabunge hao
walikuwa wanakwenda umisetaWabunge wanasafirije kwenye gari moja kama kumbikumbi?
iliwarudi wakiwa kwenye buti cyoWakatibiwe India
na yule mama wa duniaAngekuwepo ata mwigulu
Apotelee ukouko
kifo ni kifo tu hata huko duniani mambo kama hayo yanatokeaNAPENDA KUMSHUKURU MAMA KWAKULETA HII AJALI AMBAYO HAIJATUUA SISI WABUNGE, MITANO TENA! alskika yule alotoroka kuangalia movie tu kule gorofani
inanenepesha mifupa auHizi ndio taarifa Sasa.