Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Dodoma: Basi lililobeba Wabunge wa Tanzania lagonga Lori na kuwajeruhi Wabunge 23

Wangekufa wote tu, mashenzi haya kazi kupitisha kila hoja hata kandamizi kwa raia wa kawaida, hata isiyo na maslahi kwa taifa,
Hao wabunge hawakupiga tozo za Mwingulu, Dp World hawakusimama na raia,
Lini wamepiga kelele kuhusu raia kutekwa, kuteswa na kuuawa?
Hao hao walipitisha sheria za TISS hivi karibuni.
Bunge hili badala ya kuisimamia serikali wamegeuka kuwa chawa,
Ningekuwa malaika wa kukusanya roho za wanadamu ningewatoa wote roho zao na kuzipeleka zinakostahili.
 
Hawa jamaa hawastahili kuishi. Mungu ani samehe lakini wange left inge kuwa bkra zaidi. Ccm ime tufanya sisi ni wajinga na wao ndio wanao stahili kutawala na kufaidi hii nchi. Acha chuki iwe ya dhahiri
Dah, kwa mwendo huu ikitokea adui akatoka nje akaingia nchini kupambana na watawala, adui atashangaa anapewa sapoti kubwa mno na wananchi. Watawala dhalimu wameua uzalendo mioyoni mwa majority ya umma
 
Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.

Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.

========

Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.
Wana siasa hawaaminiki usikute wanaigiza.
 
Moja ya basi lililokuwa limewabeba Waheshimiwa Wabunge wanaoelekea kwenye Mashindano ya Michezo ya Mabunge ya Jumuiya ya Afrika Mashariki limepata ajali ya kugongana na lori la mizigo maeneo ya Mbande Kongwa asubuhi hii.

Majeruhi wa ajali hiyo wamekimbizwa Hospitali ya Uhuru na Hospitali ya Benjamini Mkapa za Mkoani Dodoma.

========

Baadhi ya wabunge waliokuwa wanasafiri kuelekea Mombasa Kenya kushiriki mashindano ya 14 ya Mabunge ya Afrika Mashariki, wamepata ajali katika eneo la Mbande mkoani Dodoma baada ya Basi waliokuwa wakisafiria kugongana na Lori.
Hao hata wangekufa wote sawa tu maana hawana faida yoyote kazi yao kukenua na kupiga sarakasi tu juu ya meza.
 
Back
Top Bottom