Corticopontine
JF-Expert Member
- Sep 20, 2019
- 666
- 1,277
mwenyewe mwarabu kauzia nchi kw waarabu yaaniMkataba una tatizo lipi?
Usitulishe matango pori.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mwenyewe mwarabu kauzia nchi kw waarabu yaaniMkataba una tatizo lipi?
Usitulishe matango pori.
Ni sahihi bro, mambo yanakuzwa na kupotoshwa kwa makusudi. Nimejifunza na kulielewa leoJimmy ! Haya mambo ya mtandaoni ni udhalimu haswa
Hakuna kitu kama hicho hata mbarawa kasema wazi kuwa kama watakuwa makini kulingana na ibara ya 23 wanaweza pata mwanya huo lakini ukienda kusoma hiyo ibara unagundua mkataba hauvunjwiKumbe mkataba unaweza kuvunjwa kama hakutakua na maelewano ya kiutekelezaji
Manufaa
Kupunguza muda wa Meli kukaa Nangani kutoka Siku 5 hadi Siku 1
Muda wa kushusha Makasha utakuwa siku 2
Gharama za kusafirisha kupungua
Gharama za usafirishaji utatoka dollar 12,000 hadi 6000
Kuongezeka kwa Tani za mizigo
Kuongezeka kwa mapato kutoka Tril 7 hadi 29
Hayo ni mambo ya kufikirika tu hakuna hata uwekezaji mmoja uliowahi kuwa na tija.Ngoja MOU itoke bungeni ndio tukae tuone Serikali itapata fedha kiasi gani na Bandari itaboreshwa na kuendelezwa kwa kwa kiwango gani na muda wa mkataba utakuwa ni miaka mingapi
Mimi ni mdau wa sekta ya usafirishaji mizigo itakuwa ni mingi na ajira zitaingia sokoni.
Nchi ngapi wamewekeza na mikataba ni mingapi?Na ina zaidi ya kesi 20 kwenye nchi walizowekeza
Mswahili unategemea aweze kuchangia vitu vigumu
Unauhakika wewe unacheza ngoma unayoijua? Hao DP World huko walikowekeza umefatilia ukaona mambo ni all rose! Huko Ulaya unakosema unataarifa zao sahihi?DP world ndio kampuni pekee yenye uzoefu katika uwekezaji wa Bandari, imewekeza katika nchi 6 ktk bara la Afrika na pia katika Bara la ulaya.
hii ni vita kati ya Makampuni mengine yaliyo kosa nfasi ya kuwekeza katik bandari yetu dhidi ya DP World.
tuwe makini tusicheze ngoma tusio ijua.
DP world ndio kampuni sahihi katika uwekezaji wa Bandari yetu.
Umestuka, au uchaguzi ujao kofia na khanga tu zitakufanya uwakatie viuno?Kifupii tuu kazi tunayoo...na haya Ni madhara ya chama kimojaa
Tena wamesema mpaka serikali ikiwa makini makini ndio inaweza pata huo upenyoHao jamaa ni washenzi sana, yani wanasema wazi kama serikali ikipata upenyo wa kuvunja mkataba, maana yake wanakiri wameshajifunga!.
Alianza Nyerere huo utamaduni.Mbowe ana hoja....kumteua mzanzibari kwenye wizara zisizo za muungano kunazua hoja......
Mbona Azam ndie mlipakodi mkubwa, au ulitaka fedha uletewe wewe uzitie mfukoni?hakuna hata uwekezaji mmoja uliowahi kuwa na tija.