Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Mbowe alikosea sana na hili litaondoa ule ukaribu wake na Samia, hivyo asitegemee tena kupata chochote cha maana.
Alikosea
Alikosea
Mbowe ameamsha Hali ya kuidai Tanganyika

Ipo siku Mbowe ataungwa mkono na CCM wenyewe , kiufupi hatupendi kuongozwa na Wazanzibar huo ndio ukweli

Sent from my CPH2217 using JamiiForums mobile app
 
Mbowe kweli kateleza, ila kuteleza kwake ni yy binafsi kwanza wadiscuss mkataba huu,hii mipasho haliisaidii taifa.

Nilitegemea hapa kungekuwa mwendo wa kurefer sheria mbalimbali za mikataba huku wakihusianisha na huu mkataba,yaani kungekuwa mwendo wa reference.
Kabisaa yaaan...
 
Sasa shida nini mkuu? Nisaidie kuniambia nini changamoto au unafuata mkumbo tu?
Pitia post zangu tangu kipindi cha mwendazake ndo utatambua 47 mbatizaji ni nani katika ulimwengu wa Kiroho siwezi fuata mkumbo na haitatokea ,tatizo mnaangalia aya mambo kwa jicho moja wajomba, kama yule Mbunge msukuma anaekuja na viclip vya kuonesha apartment ,ndo nyie

Mfano uyo msukuma aliemwambia mtu akiwa na pesa haongeki nani?

Linapo kuja swala gum kama hili hapaitaji mzaa
 
Hakuna lolote lile uongo mtupu, Wapi tumesema mnagawiwa bahasha? Unajikuna nakujiwasha mwenyewe kutafuta uaminifu Kwa nguvu kumbe matapeli wahuni watupu, huyu spika hazimo kichwani
 
Mbowe kweli kateleza, ila kuteleza kwake ni yy binafsi kwanza wadiscuss mkataba huu,hii mipasho haliisaidii taifa.

Nilitegemea hapa kungekuwa mwendo wa kurefer sheria mbalimbali za mikataba huku wakihusianisha na huu mkataba,yaani kungekuwa mwendo wa reference.
Kabisaa yaaan
 
Back
Top Bottom