Proved
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 32,639
- 42,908
Mliyoyafanya na kuyashangilia mwaka 2020 mnayavuna, mkome.Huu ni msiba mkubwa sana kuwa na wabunge maslahi kuliko ku focus na mstakabari wa nchi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mliyoyafanya na kuyashangilia mwaka 2020 mnayavuna, mkome.Huu ni msiba mkubwa sana kuwa na wabunge maslahi kuliko ku focus na mstakabari wa nchi
Matatizo ya akili hayo mzee.Mifumo yote ya Tehama itakayosimikwa itasomana na mifumo tote ya serikali....
Hapo tutakuwa uchi kama Taifa kwani wadukuaji hawatotuacha salama
Mama kasaini mkataba wa ushirikiano na maendeleo kwa ajili ya Tanzania nzima, mwisho wa siku kila mamlaka ina uhuru wa utekelezaji.Kwa nini bandari za bara tu?
Mbowe ameamsha Hali ya kuidai TanganyikaMbowe alikosea sana na hili litaondoa ule ukaribu wake na Samia, hivyo asitegemee tena kupata chochote cha maana.
Alikosea
Alikosea
Yaani hilo nililitarajia, huko ndani itakuwa ni mipasho ya hatari kuhusu alichosema Mbowe. Hilo bunge ndio lilipitisha mkataba wa kuuzwa kwa gas yetu. Sioni hofu ya kuuza bandari itatoka wapi.Badala ya kutumia muda kujenga hoja wanahangaika na kauli za kina Mbowe
Naona umeumia, ulitegemea watauponda mkata wa maendeleo?
Au ulijazwa ujinga, sasa ukweli unadhihiri unakuwa mchungu kwako?
Usihangaike mkuu msukuma kashapokea bahashaNasubiri nondo za PhD Msukuma akidadavua HGA na IGA🔕
Kabisaa yaaan...Mbowe kweli kateleza, ila kuteleza kwake ni yy binafsi kwanza wadiscuss mkataba huu,hii mipasho haliisaidii taifa.
Nilitegemea hapa kungekuwa mwendo wa kurefer sheria mbalimbali za mikataba huku wakihusianisha na huu mkataba,yaani kungekuwa mwendo wa reference.
Asante kwa ung'amuzi,tuna vichaa humu jf, ni kwasababu tu hatuonani kwa macho.Matatizo ya akili hayo mzee.
Pitia post zangu tangu kipindi cha mwendazake ndo utatambua 47 mbatizaji ni nani katika ulimwengu wa Kiroho siwezi fuata mkumbo na haitatokea ,tatizo mnaangalia aya mambo kwa jicho moja wajomba, kama yule Mbunge msukuma anaekuja na viclip vya kuonesha apartment ,ndo nyieSasa shida nini mkuu? Nisaidie kuniambia nini changamoto au unafuata mkumbo tu?
Wanahamisha goli..Hoja inahamia kwa Mbowe. He!
Mkuu ulitarajia kitu tofauti na unachokiona na kukisikia hapo? Toka jana nilisema, kujitosa kusikiliza hilo bunge kibogoyo la majizi ya kura ni kujitakia fedheha bure. Yaani huwa wanaongea kama watoto wadogo kabisa.Mbona wachangiaji niweupe kichwani [emoji28][emoji28][emoji28]
Mkisusa ACT anachukua sehemu yake.Sisi Chadema tunasema bila Katiba mpya hakuna Uchafuzi.
Asaini za kwenuMama kasaini mkataba wa ushirikiano na maendeleo kwa ajili ya Tanzania nzima, mwisho wa siku kila mamlaka ina uhuru wa utekelezaji.
Kabisaa yaaanMbowe kweli kateleza, ila kuteleza kwake ni yy binafsi kwanza wadiscuss mkataba huu,hii mipasho haliisaidii taifa.
Nilitegemea hapa kungekuwa mwendo wa kurefer sheria mbalimbali za mikataba huku wakihusianisha na huu mkataba,yaani kungekuwa mwendo wa reference.