cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anapovukwaa tyuuhHuyu Nape anamaanisha nini kua auwe watu au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] anapovukwaa tyuuhHuyu Nape anamaanisha nini kua auwe watu au?
Uongo huo.HIvi hawa wabunge wamewahi kukaa Zanzibar au Pemba na waka-experience ubaguzi uliopo huko.? Au wanaongea kwa mihemko tu.? Niliwahi kutamkiwa na Mpemba nikiwa chakechake kuwa hawanitambui sababu mimi si Mpemba. Ubaguzi upo Zanzibar na Pemba
Mbona wewe unajiita Mtu wa Pwani? Hii ndio Ukanda wenyewechadema, mnatakiwa muachane na siasa za kikanda kama mnataka kuenda mbele.
Vipi yule Mtaalamu wa mahesabu Professa Assad aliyefukuzwa na Magufuli baada ya kusema fedha zimeporwa?
Si ya kupitisha hilo azimio lao?? Au nini hatima ya wao kushinda hapo Dodoma??Matokeo ya nini kwani kuna mechi ya mpira pale?
Kosa lake ni nini, mbona hakuna chochote kilichojibiwa juu ya hoja zake?Narudia tena, Mbowe hakustahili haya yanayotokea Bungeni, angeshauri kisha awe kimya, kuliko alivyoongea.
Labda akawaombe msamaha, watamkasirikia sana na kitatumika hicho 2025
Kuna mda hii nchi unatamani hata kuihama [emoji848][emoji848][emoji848]
Dunia ya Leo ni ya Taarifa sasa bavicha wanategemea ndumba za Mshana jr😂😂😂Inabidi Mbowe ampe Kitengo ndugu johnthebaptist pale Ufipani,maana siyo Kwa hii coverage anayowapa CHADEMA na viongozi wake
AahhaaaaDunia ya Leo ni ya Taarifa sasa bavicha wanategemea ndumba za Mshana jr😂😂😂
Lazima wasaidiwe Siasa Siyo uadui!
Serikali inajichanganya sana katika hili.Tungeambiwa kwanza kama ile IGA inayozunguka mitandaoni ni ya ukweli au uongo? Hilo la TPA kuachiwa gati chache kuziendesha hata Mbowe alilizungumzia.
Amandla...
Ni mipango mkakati yaani Nani aanze kuchangia na Nani amalizie na atamaliziaje.Ivi huyu spika mbona amwambi Nape ajikite ktk kuchangia azimio na aio vinginevyo
Uzanzibar na ZanzibarKosa lake ni nini, mbona hakuna chochote kilichojibiwa juu ya hoja zake?
Hoja ya Mbowe ni kwanini bandari za Zanzibar hazijaguswa katika huo uwekezaji mnaouita mzuri?
Kikao cha leo kilikuwa cha kuishauri serikali iende vipi itapoingia mikataba ya kiutendaji kutokana na makubaliano ya ushirikiano na maendeleo tuliokubaliana na Dubai.Si ya kupitisha hilo azimio lao?? Au nini hatima ya wao kushinda hapo Dodoma??
Sawa lakini ana miaka 67 hapo alipo, bado anaita