Dodoma: Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango ashiriki ibada Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska

Mkuu karejea nchini leo na moja kwa moja akaenda kanisani pale pale airport ya Dodoma. Unajua kwanini katua Dodoma moja kwa moja? Pia ni kweli kuwa alikuwa nje ya nchi ila ni kwa matibabu. Mimi ninachojiuliza kwani kuugua ni dhambi mpaka wafiche?
 

Ahaaa!amesema alikuwa wapi?
 
Baba ....So happy to see him!Mungu akutunze,akulinde na akuepushe na kila baya.Uishi sana Dr.Mpango.
 
Tuthibitishie kama ni ya leo....Mungu ni mwema
 
Katika siku za hivi karibuni kumetokea habari nyingi saaana mtandaoni baada ya kutokuoneka kwa Makamu wa Raisi Dk. Philip Mpango.
Kwa upande wangu kuna wajibu wa kufanya ,kwa serikali, na kwa wananchi
Kwa serikali inapaswa kutoa taarifa kwa wananchi wake juu ya viongozi wake ,hasa yuko wapi, anafanya nini kwani wananchi wana haki ya kufaham alike kiongozi wao
Kwa wananchi nako kuna shida, tumekuaje yaani mtu asipooneka kwa muda ni tayari amefariki, hizi roho tumezotoa wapi ? Kwani tunafikiria juu kifo tu?? Ni kweli kifo kipo lakini ndiyo tuwawazie watu?
Nasawasilisha
 

Attachments

  • Screenshot_20231210-104505_Instagram.jpg
    151.2 KB · Views: 2
Mzee alikuwa nje kutekeleza majukumu yake ya kazi, mbona karudi kimya kimya hata jana hakuonekana Dodoma kwenye tukio muhimu?
Ama tuseme karudi usiku akadamkia Kanisani?

Mnatupanga kama kwa Jiwe ila tumeshajua ninyi ni washenzi
 
Ujue itakuwa La Mitume vs Luther King 😂😂

Bakuata wanazoom tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…