Zainab j
JF-Expert Member
- Sep 24, 2018
- 1,817
- 2,362
Kampe ucccc*hiTunakupenda Baba mpango angalau kupitia sura yako tunafarijika japo nchi imetekwa na nafisadi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kampe ucccc*hiTunakupenda Baba mpango angalau kupitia sura yako tunafarijika japo nchi imetekwa na nafisadi
Mkuu karejea nchini leo na moja kwa moja akaenda kanisani pale pale airport ya Dodoma. Unajua kwanini katua Dodoma moja kwa moja? Pia ni kweli kuwa alikuwa nje ya nchi ila ni kwa matibabu. Mimi ninachojiuliza kwani kuugua ni dhambi mpaka wafiche?Asante Mungu!, maana!. Kwa vile tulielezwa kuwa yupo nje ya nchi kikazi, na VP akiwa popote kufanya lolote ni kumwakilisha rais, hivyo tulitegemea siku akirudi, apokelewe, aonekane akitoa mrejesho wa safari kwa aliyemtuma!, kama jana alikuwa Dodoma, alitarajiwa kuonekana pale uwanjani kwenye maadhimisho ya uhuru!.
Hata hivyo asante kwa hii picha roho zetu zimetulia, ngoja nipitie meta data za hii picha kuithibisha ni ya leo!.
Asante tena.
P
Mlokua mnamzushia kifo mna hali gani?Mlokua mnatangaza na kujiapiza kwamba akionekana mtafuta page zenu mshafuta?Mlokua mnapiga ngoma ya nchimbi na kuanza kumpost mpo wapi?Huwezi kushindana na Mungu hata kidogo!! Kwa mara nyingine wahuni na genge lenu mmefail again!!
Kama mnadhani mtafanikiwa kama mlivyofanikiwa kipindi kile basi safari hii mmechemka Mungu wetu hawezi kuruhusu hilo liwe labda atake yeye
Hii tabia ya kuzushia watu vifo siyo nzuri hata kidogo!! Na ingekua ni busara hawa wahuni washughulikiwe humo humo ndani ya chama na mtandao wao!!Lakini inakua ni vigumu maana wana mizizi kila mahali.
=======
Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na Mapadre mara baada ya kushiriki Ibada ya Jumapili ktk Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege Dodoma leo tarehe 10 Desemba 2023.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango ameungana na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege mkoani Dodoma katika Ibada ya Jumapili leo Desemba 10, 2023. Ibada hiyo imeongozwa na Padre Dionis Paskal Safari.
Akizungumza mara baada ya kumalizika kwa ibada hiyo, Dk Mpango amewaasa Watanzania kutumia vema mitandao ya kijamii.
Amesema matumizi yasiofaa ya mitandao ya kijamii yamekuwa yakiumiza watu wengi hivyo yampasa kila mmoja kutumia vema pamoja na kuwa na hofu ya Mwenyezi Mungu.
Makamu wa Rais amewashukuru waumini hao kwa kuendelea kumuombea ili aweze kutekeleza vema majukumu yake.
View attachment 2838329
Tuthibitishie kama ni ya leo....Mungu ni mwemaAsante Mungu!, maana!. Kwa vile tulielezwa kuwa yupo nje ya nchi kikazi, na VP akiwa popote kufanya lolote ni kumwakilisha rais, hivyo tulitegemea siku akirudi, apokelewe, aonekane akitoa mrejesho wa safari kwa aliyemtuma!, kama jana alikuwa Dodoma, alitarajiwa kuonekana pale uwanjani kwenye maadhimisho ya uhuru!.
Hata hivyo asante kwa hii picha roho zetu zimetulia, ngoja nipitie meta data za hii picha kuithibisha ni ya leo!.
Asante tena.
P
Hata kutazama na ongea yake tu jamaa ni mgonjwa anajikaza tuSafi
Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😀
Halijawahi Kushindwa popote duniani!
Viongozi wetu hawana tofauti na Juma Lokole, haikuwa na haja ya kujibu mapigo.Bwana mkubwa huyu analaumu mitandao lakini aliyataka yeye kwanini asubiri mpaka asemewe na mtu mwingine?
Awa Ndo Akina Kigogo limewashuka shwaaaaMuongooooooo
Ujue itakuwa La Mitume vs Luther King 😂😂Asante Mungu!, maana!. Kwa vile tulielezwa kuwa yupo nje ya nchi kikazi, na VP akiwa popote kufanya lolote ni kumwakilisha rais, hivyo tulitegemea siku akirudi, apokelewe, aonekane akitoa mrejesho wa safari kwa aliyemtuma!, kama jana alikuwa Dodoma, alitarajiwa kuonekana pale uwanjani kwenye maadhimisho ya uhuru!.
Hata hivyo asante kwa hii picha roho zetu zimetulia, ngoja nipitie meta data za hii picha kuithibisha ni ya leo!.
Asante tena.
P