The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Bora niwe mshamba naishi decent life na naishi sehemu nzuri,siwezi ishi kwa mafirauni kunakonuka mimi..Na ushamba wako utaiwezea wap dar ..ndo maana unaogopa [emoji12][emoji28][emoji28]
Mwanza kuna apartments zipi? Vile vipicha ulivyo post kule nikakuuliza ndio apartments au? ππ.We jamaa unaisemea mwanza ya Malawi nni
Hope unaipenda sana mwanza .. siwezi post pictures humu nitaharibu Uzi wa watuMwanza kuna apartments zipi? Vile vipicha ulivyo post kule nikakuuliza ndio apartments au? [emoji38][emoji38].
Au Mwanza kuna barabara zipi za maana?
Unajua hata maana ya apartment au unaongea tuMwanza kuna apartments zipi? Vile vipicha ulivyo post kule nikakuuliza ndio apartments au? [emoji38][emoji38].
Au Mwanza kuna barabara zipi za maana?
Ni hizi hapa za Dar ππ.Unajua hata maana ya apartment au unaongea tu
We hujielewi na usije maana utakuja kugongwa na magari.Ni hizi hapa za Dar ππ.
Harafu jitu linakaa humu linakuja kupondea mkoani heee π€£π€£π€£π€£
Nimesoma chuo Dar miaka 3,nimefanya Kazi miaka 2 na kila mwezi wa 7 nakuja Kwa event ya wiki zima ,naanzaje kugongwa na gari huko kwenu Kwa kina midebwedo?We hujielewi na usije maana utakuja kugongwa na magari.
Ungekuja kugongwa huna jinsi utafanyaje? Huna business umeajiriwa halmashauri hamna nafasi dar baki porini.Nimesoma chuo Dar miaka 3,nimefanya Kazi miaka 2 na kila mwezi wa 7 nakuja Kwa event ya wiki zima ,naanzaje kugongwa na gari huko kwenu Kwa kina midebwedo?
Siwezi ishi Jiji la hovyo hilo,linanuka kuanzia hapo bandari I hadi kawe beach..
Inyeshe mvua tabu,liwe jua tabu ..Horrible life hiyo huwezi ikuta mikoani na in fact haipo Mbeya Wala Njombe.
Mwanza nyumba zimejengwa kati kati ya mawe.π€£Mwanza kuna apartments zipi? Vile vipicha ulivyo post kule nikakuuliza ndio apartments au? ππ.
Au Mwanza kuna barabara zipi za maana?
Hii sentensi imenisikitisha sana...sio mpangilio wa nyumba wala usafi wa mazingira
Imekusikitisha kwa sababu gani?Hii sentensi imenisikitisha sana...
Ni laana kuzaliwa Afrika
Acha uongo, MJ alifika mpaka magogoni akaonana na mzee mwinyi [emoji24][emoji24]Siku narudi bongo ndio nilijua why M Jackson miguu yote hakukanyaga chini bongo mmoja ulikatalia kwa ndege akarudi USA akaakataa huku sio kabisa
Halafu dar pachafu kweliKuna mkoa niliendaga mkuu nilikua natamani siku zikimbie tu ziishe haraka haraka nirudi zangu Dar
Nakubali sana manKila nchi hua na vigezi vya sehemu kua na hadhi fulani, ndio maana manispaa iliyoko Malawi kwa Tz ni halmashauri ya mji pia umetumia kigezo cha makazi holela kuondoa uhalali wa majiji tajwa hapo juu labda nikuulize hivi ukiondoa Mbeya ni mji gani wenye makazi holela kuizidi Dar ? 70% ya makazi yapo kiholela, pia Dar ilipopewa hadhi ya jiji ulikua ni mji duni sasa kuliko miji uliyotaja inavyoonekana leo je wahusika walikosea kuipa hadhi ya jiji ?,kwa vigezo unavyovitaka tuviongeze hata Dar itakosa hadhi ya jiji
Tena miaka ya 90 ndio walikiwa wanaongozaNiambie ukitoa dar mji gani ulijenga maukumbi na mahotel kwa kutarget watanzania kama sio watalii?
Una uhakika hizo ulizoandika ni sentensi mbili kweli?π€£
Kuna mswahili alienda USA halafu alivyorudi Dar. Akasema anasikia kama Dar ina harufu fulani mbaya anaisikia kila anakopita π€£π€£π€£
Yani masukuma na mashamba mengine yakizidiwa kitu hoja ni ubaguzi, fear of the unknown wabaguzi ni nyie na Mungu kawaumbua na mungu mtu wenu. Yani mkiulizwa mmebaguliwa wapi majibu hakuna, mmebebwa mpaka aibu na sasa mta tia adabu.Unaambiwa ukweli unaleta mbwembwe huo ndo ukweli kijana usiwe mbishi nyie mnajifanya mko juu kutokana na ubaguzi ila hamna kitu cha kuringia zaidi ya vile ni biashara za watu kwa ajili ya wazungu sio nyie wavaa mashati makubwa ...Kuna mzungu anakunywa maji meno yameoza zipo mashine za kuondoa fluoride sasa nyie mbona wengi meno Yana kutu pesa hamna ? Ya kununua mashine mbaki mbwembwe..
Unachokosea unapenda kuattack bila ya kigezo mfano Arusha kw mpangilio wa nyumba inaweza kuizidi Tanga au musoma lete drone footage hapa sibishani ni nyie kwa vile akili hamna mmejaa ubaguzi wengi ni vibaka
Nenda kasome uncivilized kabishane na wajinga wenzio mi sio msukuma πππUba
Yani masukuma na mashamba mengine yakizidiwa kitu hoja ni ubaguzi, fear of the unknown wabaguzi ni nyie na Mungu kawaumbua na mungu mtu wenu. Yani mkiulizwa mmebaguliwa wapi majibu hakuna, mmebebwa mpaka aibu na sasa mta tia adabu.
Sawa mkuu, inategemea Dar unaishi wapi
Basi ni zuzu kama waoNenda kasome uncivilized kabishane na wajinga wenzio mi sio msukuma πππ