Dodoma, Mbeya, Mwanza na Tanga sio majiji; zirudishwe kuwa halmashauri au manispaa

Dodoma, Mbeya, Mwanza na Tanga sio majiji; zirudishwe kuwa halmashauri au manispaa

Hakuna mtu nje ya Tanzania anaijua mwanza au anawaza akaitwmbelee takataka hiyo. Likijiji.
Nilijua huu Uzi lengo ni kuattack mwanza. Na hyo ishashindikana sasa ..Kwa sababu lies never win over the facts ..
Dawa ya disinformation ni hii[emoji116]
20220909_185517.jpg
 
Wewe nae unatafutiza tu, sasa ukitoka Isanga vijiji vya milimani huko kuelekea chunya unavihesabia? Mbeya ni pazuri sana, mzunguko wa hela upo, system ya usafiri wa uma ni nzuri,

population kubwa kuna toto kali za kinyakusya black beauty halafu zina mizigo, mazao bei chee mahindi mengi na mchele wenye ubora na viazi vya kutosha, ndizi na maparachichi ni kama ya bure tu, hali ya hewa nzuri ya baridi safi kabisa.

Ukitaka kufaidi maisha kaishi Mbeya, huku Dsm mnateseka tu!

Au nasema uwongo Beesmom ?
Mbeya kuna totoz kali ?,hivi kwanini mbeya kwanini watu wengi wako rafu rafu halafu kwanini wanawake wengi wa mbeya wana ndevu
 
Jamaa yangu alikaa Bangkok miaka mitatu. Aliporudi bongo ndani ya dk 20 za kwanza akasema, "Kaka, mimi hapa ni nyumbani ila Michael Jackson hakukosea, tulimuona ana nyodo na mbwembwe ila kiuhalisia home pana harufu flani hivi, hewa flani nzito sana."

Mtoa mada ameshindwa kutofautisha vitu flani vichache. Kwa mawazo aliyonayo, akiishi mahali kama Tokyo, Paris and the alikes, hakuna nchi Afrika ataona ina hadhi ya kua na jiji hata moja.
Majiji ya south yana hadhi bwana au port louis mauritius
 
Hawaangalii vigezo Bali ni utashi wa wanasiasa,kwani hukumbuki Dodoma
ni mtu mmoja aliamka kutoka usingizini akatamka,kuanzia leo Dodoma utakuwa jiji na watu wakapiga makofi.Hata kahama ilipandishwakuwa Manispaa kwa matamko.
Mkuu kama lindi nayo ni manispaa kwanini isiwe kahama nayo ni manispaa
 
Pamoja na maisha yenu ya huko Dar kamwe siwezi ishi sehemu kama hiyo maana robo tatu ya watu wanaishi kwenye slums,Mji unanuka,watu ni wengi hatari na ufirauni wa kuzidi..

Mikoani hayo mambo ya hovyo hayapo.
Ukija Dar jitahidi ufikie Masaki, Osterbay, Mbezi Beach , Mbweni, Upanga, mikocheni.

Acha kufikia Tandale, Mburahati, keko, Buguruni,

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom