Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Toka tafuta mjinga mwenzioBasi ni zuzu kama wao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toka tafuta mjinga mwenzioBasi ni zuzu kama wao
Hakuna mtu nje ya Tanzania anaijua mwanza au anawaza akaitwmbelee takataka hiyo. Likijiji.Toka tafuta mjinga mwenzio
Wewe huijui MwanzaHakuna mtu nje ya Tanzania anaijua mwanza au anawaza akaitwmbelee takataka hiyo. Likijiji.
Chuki binafsi😂😂😂kojoa ukalaleHakuna mtu nje ya Tanzania anaijua mwanza au anawaza akaitwmbelee takataka hiyo. Likijiji.
Jamaa anachuki kweli na Mwanza na sio huyo tu wapo wengi sana humuChuki binafsi[emoji23][emoji23][emoji23]kojoa ukalale
Nilijua huu Uzi lengo ni kuattack mwanza. Na hyo ishashindikana sasa ..Kwa sababu lies never win over the facts ..Hakuna mtu nje ya Tanzania anaijua mwanza au anawaza akaitwmbelee takataka hiyo. Likijiji.
Kiufupi itafanya safari katika nchi zote za ziwa Victoria..Nilijua huu Uzi lengo ni kuattack mwanza. Na hyo ishashindikana sasa ..Kwa sababu lies never win over the facts ..
Dawa ya disinformation ni hii[emoji116]View attachment 2351732
Jamaa Yuko sahihi. Kama umefika Tanga utaunga mkono hoja.Yaan wewe umeangalia hali ya maisha tu na majengo tu baaasi
Tukupime Medura na Celebral Hemisphere sio bure hivi hivi utakua na walakini mkuu
Naijua sana na nina ndugu manguli sana hapo capripoint, wao wenyewe wanaelewa na hawapo hapo mashenzini.Wewe huijui Mwanza
Tanga ni gari chakavu lililo juu ya mawe.. halafu eti linaitwa jiji.🤣Ni matumizi mabaya sana ya neno jiji kuita Tanga ni jiji.
Umesàhau iwambiPale mbeya block t, forest mpya na uzunguni ndio kuzuri.. uyole pa kishamba sana..
Sawa lakini usa hakuna makazi holelaHata marekani kuna maeneo ya walalahoi kwahiyo huwezi kusema marekani ni kubaya. Hiyo mikoa almost kila sehemu ni pa hovyo.
Mbeya kuna totoz kali ?,hivi kwanini mbeya kwanini watu wengi wako rafu rafu halafu kwanini wanawake wengi wa mbeya wana ndevuWewe nae unatafutiza tu, sasa ukitoka Isanga vijiji vya milimani huko kuelekea chunya unavihesabia? Mbeya ni pazuri sana, mzunguko wa hela upo, system ya usafiri wa uma ni nzuri,
population kubwa kuna toto kali za kinyakusya black beauty halafu zina mizigo, mazao bei chee mahindi mengi na mchele wenye ubora na viazi vya kutosha, ndizi na maparachichi ni kama ya bure tu, hali ya hewa nzuri ya baridi safi kabisa.
Ukitaka kufaidi maisha kaishi Mbeya, huku Dsm mnateseka tu!
Au nasema uwongo Beesmom ?
Majiji ya south yana hadhi bwana au port louis mauritiusJamaa yangu alikaa Bangkok miaka mitatu. Aliporudi bongo ndani ya dk 20 za kwanza akasema, "Kaka, mimi hapa ni nyumbani ila Michael Jackson hakukosea, tulimuona ana nyodo na mbwembwe ila kiuhalisia home pana harufu flani hivi, hewa flani nzito sana."
Mtoa mada ameshindwa kutofautisha vitu flani vichache. Kwa mawazo aliyonayo, akiishi mahali kama Tokyo, Paris and the alikes, hakuna nchi Afrika ataona ina hadhi ya kua na jiji hata moja.
Mkuu kama lindi nayo ni manispaa kwanini isiwe kahama nayo ni manispaaHawaangalii vigezo Bali ni utashi wa wanasiasa,kwani hukumbuki Dodoma
ni mtu mmoja aliamka kutoka usingizini akatamka,kuanzia leo Dodoma utakuwa jiji na watu wakapiga makofi.Hata kahama ilipandishwakuwa Manispaa kwa matamko.
Marekani hakuna makazi holelaMaeneo mabaya machache hata marekani yapo na hii haimaanishi kwamba marekani ni kubaya.
Dar ina changamoto zake lakini bado ni bora kuliko sehemu zote kwa tanzania.
Tanga ina hivyo vyote vigezo ?Iwe na watu laki 5
Iwe na uwezo wa kujitegemea kimapato asilimia 95
iwe na makao makuu ya mkoa
Iwe na miundombinu ya kutosha
Na wakazi wake wasiwe wanaotegemea kilimo kama shughuli ya kiuchumi
Ukija Dar jitahidi ufikie Masaki, Osterbay, Mbezi Beach , Mbweni, Upanga, mikocheni.Pamoja na maisha yenu ya huko Dar kamwe siwezi ishi sehemu kama hiyo maana robo tatu ya watu wanaishi kwenye slums,Mji unanuka,watu ni wengi hatari na ufirauni wa kuzidi..
Mikoani hayo mambo ya hovyo hayapo.