Dodoma, Mbeya, Mwanza na Tanga sio majiji; zirudishwe kuwa halmashauri au manispaa

Majiji yote ni hovyo tu kwanza machafu mno
 
Nimegundua watu hawajui Halmashauri ni nini , Mji, Jiji, Manispaa n.k
 
Vatican city kuna watu hawazidi elfu kumi,kwa nini isiitwe vatican village
Unapozungumzia Vatican city unazungumzia kitu chenye utata, "Ambiquious phenomenon".
Jina "Vatican city" lisikuchanganye, hiyo ni nchi kama zilivyo nchi nyingine, kama vile USA, Urusi, Canada nk, ndio maana Tanzania kuna ubalozi wa Vatican.
Kama hauangalii hali ya maisha, mpangilio na mazingira basi hakuna vigezo hapo.
Mpangilio na mazingira? I see. Yaani kukiwa na mazingira mazuri na mpangilio hata kama ni kaeneo kadogo ka watu ishirini kaitwe jiji? Ulishawahi kufika Moshi? Mpangilio ni mzuri sana na mazingira ni masafi sana, mbona haipewi hadhi ya jiji?

Unaposema kuangalia hali ya maisha ndio kufanya nini? Kwamba kama maisha ni marahisi ndio iitwe jiji au kama ni magumu? Hoja zako zimenisikitisha sana!
 
Kwa Mwanza umechemka, wewe ni wale mnaokwenda mahala unalala hotel kunakucha baada ya siku tatu mnaondoka kijijini kwenu
 
Mbeya sio jiji aiseeh

Siku nafika nilishangaa Sana Sana inakuaje sehemu ya Hovyo namna Ile inakuwa ya jiji.

Na Tanga eti nalo ni jiji hehehe
 
Mmh usafi wa mazingira ni kigezo pia Mkuu.
Ok, ngoja tuvumiliane tujaribu kuelekezana taratibu.

Wewe unakaa mkoa gani?

Mimi nakaa Dsm lakini nimekaa mikoa mingi sana, namaanisha kukaa, sio kupita.
Usafi wa mazingira ingekuwa ni kigezo, Dsm isingekuwa jiji.
Dar es salaam ndio mkoa mchafu wa mazingira almost kuliko mikoa yote Tanzania.
 
Mbaya zaidi unalikuta kwao ni huko Uyole ndani ndani ila lilikimbilia Dar... Yanasemaga eti watu wa mkoani, majinga kama nini
Ulishawahi kufika Uyole? Unapoitaja Uyole itaje kwa heshima. Ni mojawapo ya maeneo mazuri sana katika jiji la Mbeya.
 
Hahaaa hivi kuna jiji ambalo halina halmashauri
 
Mbeya sio jiji aiseeh

Siku nafika nilishangaa Sana Sana inakuaje sehemu ya Hovyo namna Ile inakuwa ya jiji.

Na Tanga eti nalo ni jiji hehehe
Kama unatafuta maghorofa marefu Mbeya hutayapata, ila Mbeya ni mojawapo ya miji mizuri sana, unless useme uhovyo wake ni nini..
 
Wakati inapandishwa hadhi haikuwa hivyo Mkuu ndio maana unaona nguvu kubwa sana inaelekezwa kwenye Hilo eneo
 
Ulishawahi kufika Uyole? Unapoitaja Uyole itaje kwa heshima. Ni mojawapo ya maeneo mazuri sana katika jiji la Mbeya.
Unadhani ukisema Dar es Salaam mahala pote ni pazuri? Mbona mko majinga majinga sana nyie waTanzania
 
Hahaaa sio jiji ni halmashauri hivi kuna jiji lisilo na halmashauri unaonekana hujui maana ya halmashauri,
 
Tanga, Dom na Mbeya big no.
Siyo small No?

Ninachokwazika kwenye huu uzi, watu mnaochangia hamuelewi hata vigezo vinavyotakiwa mnapuyanga hovyo tu, kama hujui kitu ni bora kuuliza, siyo kuandika vingereza vya kinanilii eti big no!
 
Safari inakuwa ndefu zaidi pale ambapo maeneo ambayo yako kwenye hatua za ujima yanapoitwa majiji.

Dar kuna maeneo hovyo lakini angalau kuna maeneo ukipita unasema hili linaweza kuwa jiji.
Kwani mkuu dar ilipokua jiji ilikua na muonekano gani ?,vigezo vilivyotumika ndio vilivyotumika kuipa tanga jiji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…