Majiji yote ni hovyo tu kwanza machafu mnoNimesafiri kwenye maeneo tajwa hapo juu katika siku za hivi karibuni na ninathibitisha kwamba hayo sio majiji.
Hizo ni halmashauri tu na labda juu sana ni manispaa lakini sio zaidi ya hapo. Vigezo viboreshwe ili nchi itoe hadhi ya mahali kulingana na uhalisia.
Nyumba zimesambaa kama takataka na miundombinu ni hatarishi katika maeneo haya. Hali ya maisha sio nzuri.
Basi hiyo ni miji midogo midogo isiyokuwa na mpangilio wowote.Nimegundua watu hawajui Halmashauri ni nini , Mji, Jiji, Manispaa n.k
Mmh usafi wa mazingira ni kigezo pia Mkuu.Nyie ndio huwa mnahesabu idadi ya maghorofa kwenye miji.
Vigezo vya mji kuwa jiji ni idadi ya watu pamoja na mapato yanayopatikana, sio mpangilio wa nyumba wala usafi wa mazingira.
Unapozungumzia Vatican city unazungumzia kitu chenye utata, "Ambiquious phenomenon".Vatican city kuna watu hawazidi elfu kumi,kwa nini isiitwe vatican village
Mpangilio na mazingira? I see. Yaani kukiwa na mazingira mazuri na mpangilio hata kama ni kaeneo kadogo ka watu ishirini kaitwe jiji? Ulishawahi kufika Moshi? Mpangilio ni mzuri sana na mazingira ni masafi sana, mbona haipewi hadhi ya jiji?Kama hauangalii hali ya maisha, mpangilio na mazingira basi hakuna vigezo hapo.
Kwa Mwanza umechemka, wewe ni wale mnaokwenda mahala unalala hotel kunakucha baada ya siku tatu mnaondoka kijijini kwenuNimesafiri kwenye maeneo tajwa hapo juu katika siku za hivi karibuni na ninathibitisha kwamba hayo sio majiji.
Hizo ni halmashauri tu na labda juu sana ni manispaa lakini sio zaidi ya hapo. Vigezo viboreshwe ili nchi itoe hadhi ya mahali kulingana na uhalisia.
Nyumba zimesambaa kama takataka na miundombinu ni hatarishi katika maeneo haya. Hali ya maisha sio nzuri.
Mbaya zaidi unalikuta kwao ni huko Uyole ndani ndani ila lilikimbilia Dar... Yanasemaga eti watu wa mkoani, majinga kama niniWatu mnaokaa dar huko mikoani sijui mnapaonaje majigambo kibao.
Ok, ngoja tuvumiliane tujaribu kuelekezana taratibu.Mmh usafi wa mazingira ni kigezo pia Mkuu.
Ulishawahi kufika Uyole? Unapoitaja Uyole itaje kwa heshima. Ni mojawapo ya maeneo mazuri sana katika jiji la Mbeya.Mbaya zaidi unalikuta kwao ni huko Uyole ndani ndani ila lilikimbilia Dar... Yanasemaga eti watu wa mkoani, majinga kama nini
Hahaaa hivi kuna jiji ambalo halina halmashauriUpandishaji wa majiji uliwekewa vigezo, ila vigezo vya kisiasa pia vilikuwepo ila havikuwekwa wazi ulikuwa under the capet. Usishangae unachokiona kwenye majiji hayo uliyoyataja kwani hii ni TZ. Makazi ya watu zamezidi uwezo wa serikali kupanga and kuwaletea wananchi huduma stahiki kwa wakazi wa majiji hayo. Mikoa ilipigania miji yao kuwa majiji kwani mgao wa keki ya Tiafa ni kubwa kuliko kwa halmashauri na manispaa. But, kiini cha yote haya ni Serikali kuu kukumbatia kila kitu na kutokuwapa nguvu mikoa/miji kujiendeleza bila kuingiliwa na serikali kuu. Serikali kuu imeingilia mapato yote ya miji yote na kuyakusanyia mfuko mmoja ambao kwa sasa huitwa mfuko wa Rais alie madarakani, kuanza kugawa kwa hisani na sio kufuata budget ilivyopangwa na basically on political grounds/personal.
Kama unatafuta maghorofa marefu Mbeya hutayapata, ila Mbeya ni mojawapo ya miji mizuri sana, unless useme uhovyo wake ni nini..Mbeya sio jiji aiseeh
Siku nafika nilishangaa Sana Sana inakuaje sehemu ya Hovyo namna Ile inakuwa ya jiji.
Na Tanga eti nalo ni jiji hehehe
Wakati inapandishwa hadhi haikuwa hivyo Mkuu ndio maana unaona nguvu kubwa sana inaelekezwa kwenye Hilo eneoOk, ngoja tuvumiliane tujaribu kuelekezana taratibu.
Wewe unakaa mkoa gani?
Mimi nakaa Dsm lakini nimekaa mikoa mingi sana, namaanisha kukaa, sio kupita.
Usafi wa mazingira ingekuwa ni kigezo, Dsm isingekuwa jiji.
Dar es salaam ndio mkoa mchafu wa mazingira almost kuliko mikoa yote Tanzania.
Unadhani ukisema Dar es Salaam mahala pote ni pazuri? Mbona mko majinga majinga sana nyie waTanzaniaUlishawahi kufika Uyole? Unapoitaja Uyole itaje kwa heshima. Ni mojawapo ya maeneo mazuri sana katika jiji la Mbeya.
Hahaaa sio jiji ni halmashauri hivi kuna jiji lisilo na halmashauri unaonekana hujui maana ya halmashauri,Ni kweli kabisa vigezo vilivyotumika ni vya kisiasa zaidi. Mahali panaitwa jiji lakini ardhi katikati ya hilo jiji haijapimwa na makazi ni holela.
Miundombinu ya barabara, maji safi na taka na usafi wa mazingira ni hatarishi kabisa. Yaani hizi ni halmashauri tupu, hakuna jiji hapa.
Dar hakuna mandhari mazuri kuna magorofa mazuri, arusha kuna mandhari nzuri kuliko miji yote nchiniArusha nilikaa 2011 na huwa napita mara kadhaa na ninakubaliana na wewe kwamba mandhari ya arusha inazidiwa na dar peke yake katika nchi hii.
Hahaaa hivi unajua dar wakati inapewa hadhi ya jiji ilikua na hali gani ?,vigezo vilivyoipa dar kua jiji wakati huo bila miundombinu mizuri ndio vimetumika kuipa Tanga kua jijiMwanza ni jiji ila mbeya na tanga hapana
Siyo small No?Tanga, Dom na Mbeya big no.
Kwani mkuu dar ilipokua jiji ilikua na muonekano gani ?,vigezo vilivyotumika ndio vilivyotumika kuipa tanga jijiSafari inakuwa ndefu zaidi pale ambapo maeneo ambayo yako kwenye hatua za ujima yanapoitwa majiji.
Dar kuna maeneo hovyo lakini angalau kuna maeneo ukipita unasema hili linaweza kuwa jiji.
Dar maeneo mengi hayako kwenye mipango mijiItakuwa ulifikia uswahilini ulipoenda dar.