Unayajua madhila anayokutana nayo mwanamke mwenzio ..mmeo ni public figure unamuanzishia aibu ili asubuhi iweje? Au ndio ndoa imefika ukomo.?
Dear married women/men mambo yenu muyamalizie home usipende kumjazia mtu nziiii, ukiona imeshindikana omba talaka.
We jamaa yaani mamlaka ya Insurance, nayo iwe inatoa bima, kuwa serious basi
Aisee wewe Ni Mimi,awe na heshima na upendo Ila awe na sauti na awe ana uwezo wa kukabili matatizo...Yaani mwanamme unakimbie eti,jamani tuombee sana Hawa waume zetuNdio haohao wamefikia level ya kukataa kuoa sasa....maana kukimbia hawawezi
Haki mimi napenda mwanaume mwenye upendo ila mkali mkali, mwanaume ambaye akiongea kila kiumbe kinatulia kumsikiliza, mwanaume mwenye akili nyingi, mwanaume imara sio mwanaume poyoyo wa kukimbia majanga na majukumu au wa kulialia vitu vidogo
Na mwanaume wa hivi lazima awe mtafutaji, asiyeshindwa kumanage mambo ya nyumba yake
Kufumaniwa kubaya inabaki umeishiwa nguvu kabisa ni aibunakwambia hivyo maana nilisha ponea kwenye tundu la sindano,ni kama nilipigwa ganzi mwili mzima yani nilikumbuka vikao vya familia, watoto, marafiki na jamii kwa ujumla nafikiri tubaki njia kuu tuh
Uzinzi ni tabia chafu ila Wanawake mnashangaza sana. TOO SELFISH.. Mbona hujamjudge mwanamke mwezio kutaka kuharibu reputation ya baba watoto wake kwa kuandaa fumanizi?
Wewe unajua mumeo ni naibu waziri, unakuja kumfumania hadharani ukitegemea akae hapo ili umfumanie apoteze kazi yake, aaibike mbele ya watoto wake na akitoroka sio mwanaume.
Huyo kajitakia mwenyewe waziri nasumbiliajwe na mke. Wapo wanawake wengi ambao would jump at the oportunity ya kuwa mke na kuniruhusu kuwa na mchepsKula tu mbususu ila uwe makini sana [emoji28][emoji28] siunaona huyo waziri ka trend Kwa mambo machafu ya zinaa badala ya ku trend Kwa kufanya kazi
We nae malaya nini!?Waziri Mungu akikuponya achana na huyo mkeo hafai.
Apo nimekupata vyema,itakua ulikua classmate wangu ,kwenye insurance and risk management ,pale postaNdiyo..
Kwenye kutumia gari la serikali amekosea sana.Boss, Huyo waziri tumpige mawe kwa matumizi mabaya ya kodi zetu maana hilo gari linatumia rasilimali za serikali.
Hayo mengine ni rahisi sana kusema ninge, ninge, ninge ila utakalofanya utalifanya na huenda siyo hilo unalosema sasa kuwa ungelifanya.
Mwanamke akisikia mumewe ana mchepuko somewhere, hata Kama ana PhD, kwa muda huo anakua Hana chembe ya busara.Uzinzi ni tabia chafu ila Wanawake mnashangaza sana. TOO SELFISH.. Mbona hujamjudge mwanamke mwezio kutaka kuharibu reputation ya baba watoto wake kwa kuandaa fumanizi?
Wewe unajua mumeo ni naibu waziri, unakuja kumfumania hadharani ukitegemea akae hapo ili umfumanie apoteze kazi yake, aaibike mbele ya watoto wake.
ubaya ndo huo uliowakutaSasa kuna ubaya gani kidume kuwa na mcheps
Mkewe kafanya sahihi kumfumania maana cheo na hela zimemzuzua akakosa maadili Wacha avune aibu Sasa,Uzinzi ni tabia chafu ila Wanawake mnashangaza sana. TOO SELFISH.. Mbona hujamjudge mwanamke mwezio kutaka kuharibu reputation ya baba watoto wake kwa kuandaa fumanizi?
Wewe unajua mumeo ni naibu waziri, unakuja kumfumania hadharani ukitegemea akae hapo ili umfumanie apoteze kazi yake, aaibike mbele ya watoto wake.
very personal? waziri? Hauko serious kabizaHiyo ni very personal lakini..
Ila dah
RIP mchepuko.
huyo mtoto hana adabu. Tax ni mama kwa yule DugangeUnamhusishaje Tax waziri wa Mambo ya nje kwenye hili. Tax Ni MTU muadilifu.
na pete ya ndoa sivui ,mbaya kabisa kucheza na hisia za mwenzako🤣🤣🤣🤣🤣 sasa umetulia kichwa cha chini hakikuendeshi?
Nime bold. Final.Ukiona mwanamke anaamka ndani kwenda kumfumania mume wake wa ndoa yaani baba wa watoto wake kwa style ya kumuaibisha ni wazi kabisa huyo mume alishafeli kwenye nafasi yake kama mume
Kweli tunakwama sio uwongo.Aaaaah aaah sijasema mkeo anatakiwa kujua,mkeo hatakiwi kujua,Ila ikitokea anajifanya FBI na katokea kwenye eneo la tukio yaani inatakiwa kukaza kiume,unaweza hata kumwambia kwa Nini anakuafuata kwenye vikao vya kibiashar😂😂😂mnakwama sana wanaume wa sasa
Umenifundisha kitu kunywa [emoji481] mbili hapo Kwa MangiSipendi wanaume dhaifu hivyo,alitakiwa asimame na ampige biti mke wake kumfutilia na aampe oda dakika tano nikukute nyumbani tutaongelea hili![emoji41][emoji41][emoji41]
Wanaume siku yeyote ukibambwa mbele ya umma unatakiwa kuwa jasiri msamaha utaombea chumbani,ukijifanya lelemama mbele ya umma lazima uaibike yaani,lazima
Sasa eti unakimbia Hadi unaangusha gari unaua mtu,na wewe mwenyewe uko taabani,mwanaume gani Sasa huyu?
Ila Mungu kamuumbua itakuwa umalaya mkewe ulishamchosha Sasa atajiuguza na kuwa mpole nyumbani [emoji28][emoji28]Huyo kajitakia mwenyewe waziri nasumbiliajwe na mke. Wapo wanawake wengi ambao would jump at the oportunity ya kuwa mke na kuniruhusu kuwa na mcheps
Hamna ubaya hapo ni mwendo wa kusambaza upendo tuu. Sasa wee kweli de libolo au mbususu ni kitu cha kutaka kula peke yako kweli🤣🤣🤣🤣ubaya ndo huo uliowakuta