Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa kuna ubaya gani kidume kuwa na mchepsMwisho wa ubaya ni aibu. Pole yao
Ningekuwa mkewe nammumalizia kabisa heri angepata ajali akitafta hela kuliko kwenye uzinziKama ni kweli
Mungu ampe mkewe moyo wa ujasiri amuuguze kwanza huko hospital mana hii ishu inaumiza mno!
Mimi siongelei gari,Kufa au ajali ni matokeo. Hakuwa anakimbia ili afe au apate ajali.
Ujinga ninaoona kaufanya ni kutumia kodi zetu kubeba michepuko. Ila hilo la kustarehesha mwili wake ni suala lake na Mungu wake maana hatujui anayopitia kwenye ndoa yake au huenda ni malaya tu, ni suala binafsi. Kuhusu kukimbia huenda ni reaction iliyotokea labda mke alikuja na waandishi.
Duh! Sii mchezo.....kweli wanawake mnaroho mbaya sana. Sasa kidume kula mbususu nyingine ni kitu ya kukuumiza kichwa kweli? Muwache hizi fairytales bwanaNingekuwa mkewe nammumalizia kabisa heri angepata ajali akitafta hela kuliko kwenye uzinzi
Sipendi wanaume dhaifu hivyo,alitakiwa asimame na ampige biti mke wake kumfutilia na aampe oda dakika tano nikukute nyumbani tutaongelea hili!😎😎😎
Wanaume siku yeyote ukibambwa mbele ya umma unatakiwa kuwa jasiri msamaha utaombea chumbani,ukijifanya lelemama mbele ya umma lazima uaibike yaani,lazima
Sasa eti unakimbia Hadi unaangusha gari unaua mtu,na wewe mwenyewe uko taabani,mwanaume gani Sasa huyu?
Laana kubwa Sana! Chama cha mambuzi!... eti huyu naye alikuwa kiongozi tena waziri! Nchi itapate maendeleo kwa aina hii ya viongozi? Serious? CCM mna laana!
Adam kigoma malima RC MwanzaTena aliibiwa pesa za kigeni zaidi ya $1,000 na milioni kadhaa za madafu, na bunduki ikaibiwa.
Nakumbuka hiyo habari ilizimwa kimtindo na leo hii jamaa ni RC
We jamaa yaani mamlaka ya Insurance, nayo iwe inatoa bima, kuwa serious basiNinavyojua mahari yote ya serikali Yana bima kutoka TIRA
Yule ni waziri ana cheo ilibidi ajisimamie amwambie nina kikao kuna watu nawasubiri kukutana hapa hotelini.acha utani wewe fumanizi lisikie kwa jirani
[emoji28][emoji28][emoji28]Kuna kitu sijaelewa !! alikuwa anafukuzwa na mkewe ?
Huyo mke wa waziri apewe tuzo ya heshima kwa kufanya street racing na hatimaye ku mu outsmart dereva wa v8,
Sijui mama alikuwa anatumia Subaru Tribeca???
Wanaume wengi viatu haviwatoshi
Mwanaume lazima awe imara katika hali zote
Sasa mwanaume anafanya majanga halafu anakimbia si aibu hiyo
Nipo jamani ubusy tu wa hapa na pale but I'm backUlikuwa unalea? Ulipotea sana.
Ni kweli, wakome umalaya, sema mtu ukiwa na pesa, stress ndogo huna, hakika kuchapa nje hakukwepeki.
Aibu yake!!
Hii line tungeipumzisha kwanza.. hatuna uhakika kama ndicho kilichopoSasa waziri mzima anamkimbia Mkewe?Kwa sasa wa zama zile,Mke kumfumania MUME ni kosa la MKE