Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Vere pesono ahahaha

Wana kichaa wasemao hivyo.

  • Gari aliyotumia ni ya kwake au serikali?
  • Ukomo wa serikali kumuhudia naibu waziri ni saa ngapi?
  • Nyumba anayoishi naibu waziri, ni yake binafsi au ya serikali?
n.k

U-pesono unatokea wapi kwenye VIEITEEE yetu?
Kingereza kimekushinda
 
Huenda alikuwa hamkimbii mke ila alikimbia aibu mke aliyokuwa anadhamiria kumletea ukizingatia nafasi yake katika jamii.

Kitendo cha tetesi kuwa ajali imetokana na mbio ili asifumaniwe inaonyesha fumanizi liliandaliwa liwe viral. Otherwise tetesi ingeishia kuwa ajali imehusisha waziri na mwanamke ambaye hajatambulika.

Kukimbia ni reaction ambayo huenda ilitokana na mazingira ya hilo fumanizi mke alilomwandalia. Tetesi haijasema mkewe alikuwa anakuja kumfumania kwa mtindo upi, na kina nani, waandishi wa habari walikuwepo? Haijulikani.
Sasa huoni Kama kazidisha level ya aibu?ilikuwa ya kimkoa Sasa umekuwa ya kimataifa?
Sio mwanaume shupavu nakwambia.
 
Kwangu mimi nailaumu imani yake, ndiyo inayomfunga na Imani yake,Waisilamu wameruhusiwa kuowa zaidi ya mke mmoja, lakini wakristo wamekatazwa na wazungu, ila wanamichepuko
Mkimuyangu
FB_IMG_1681905475896.jpg
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwambie Kuna wakati mwanaume lazima awe baba!Sasa baba gani Kama huyo waziri analeta aibu kwenye familia na Taifa kwa ujumla,wakati angesimama piga biti moja Kali sana wife angetangulia nyumbani unadhani nyumbani asingemuelewa?lazima mwanaume uwe na medani bwana sio unakuwa bwegebwege tu
Umenikumbusha nilivyo pangua kesi ngumu sana hapa ndani miaka ileeee....🤣, haya chagua wapi ujengewe medani ya heshima...😊
 
Huyo Dugange ni mbunge wa jimbo gani?

Najua kutakuwa na uchaguzi mdogo katika hilo jimbo ili kucover nafasi iliyo wazi baada ya mh kurudishwa mavumbini.
 
Sasa huoni Kama kazidisha level ya aibu?ilikuwa ya kimkoa Sasa umekuwa ya kimataifa?
Sio mwanaume shupavu nakwambia.
Kufa au ajali ni matokeo. Hakuwa anakimbia ili afe au apate ajali.
Ujinga ninaoona kaufanya ni kutumia kodi zetu kubeba michepuko. Ila hilo la kustarehesha mwili wake ni suala lake na Mungu wake maana hatujui anayopitia kwenye ndoa yake au huenda ni malaya tu, ni suala binafsi. Kuhusu kukimbia huenda ni reaction iliyotokea labda mke alikuja na waandishi na ndo hawa wanaosema alikuwa anakimbia fumanizi.
 
Back
Top Bottom