Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Inawezekana yote hayo alikuwa anaweza kuyafanya..
Ila nadhani unajuaga Mapenzi yakiamua kukupeleka speed namna inavyokuwa..

Unaweza kufanya vitu hata haviko Duniani...Baadaye unaanza kujishangaa
Mapens mabaya aisee. Mi ndio maana sipendagi kuwekeza kwa mtu tupendane hivyo hivyo bila kutiana shoti. Unampa mtu mavitu ya gharama ili atulie asihangaike mwisho anakusaliti na kiburi juu. Naweza kuishia jela kwa hizi hasira za Kishana
 
Mapens mabaya aisee. Mi ndio maana sipendagi kuwekeza kwa demu. Unampa mavitu ya gharama mwisho anakusaliti na kiburi juu. Naweza kuishia jela.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unawekeza tu Extro...
Tunaishi mara moja...

Ukipigwa tukio Unajikusanya, Unajikunguta,unasonga mbele....Ukapatane na Mali safi ingine tena.
 
Huyo mwanamke hana adabu kabisa. Mumeo akiwa na hela au cheo usimfuatilie maana posibility ya kuwa una wenzio ni 100% sasa ukimfatilia maanake utayajua yasiokupendeza. As long as anarudi kila jioni we tulia kama maji mtungini. Umalaya ni tabia ya mtu binafsi.
Ubaya gani sasa,mwanamke anamfatilia Mwanaume kila sehemu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unawekeza tu Extro...
Tunaishi mara moja...

Ukipigwa tukio Unajikusanya, Unajikunguta,unasonga mbele....Ukapatane na Mali safi ingine tena.
Hapana siwezi aisee. We kama tunapendana tukapeane utamu kiroho safi. Misosi na usafiri ntagharamia ila usitegemee iphone, kodi au gharama yeyote ambayo haihusiani na mchakato wa kupelekeana moto.

Huo ujinga wa kujikung'uta na kusonga mbele watafanya washamba wa K.
 
Eeehh, aiseee..!! Naibu Waziri kama yuko hivi, tutafika kweli kwenye Tanzania mpya, Mh. Rais, huyu Naibu akipona, mtoe kabisa katika Baraza la Mawaziri.
 
Hapana siwezi aisee. We kama tunapendana tukapeane utamu kiroho safi. Misosi na usafiri ntagharamia ila usitegemee iphone, kodi au gharama yeyote ambayo haihusiani na mchakato wa kupelekeana moto.
Kwani unadhani kuna mtu kwenye Mahusiano huwa anapanga yatakaaje basi..

Ni Unazama tu.. ukija kushtuka umesha'Invest vingi...

Tena Wahuni kama wewe ndiyo huwa Mnatoaga hata msivyovitarajia[emoji2]
 
... mbona juzi tu hapa walikuwa kwenye semina ya muda mrefu tu Arusha wakifundwa ... Ha ha ha! Hii nchi hii; as long as CCM is in power tusitegemee lolote kwa aina hizi za viongozi.
Teh 😂😂 hii nchi ina vituko kweli kweli...
 
Back
Top Bottom