johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Bado nafuatilia huyu ni Kijana wetu pale Makambako!Hatimae chawa wa chama johnthebaptist umeamka.
Huu ujinga wa huyu waziri mzinzi unauteteaje wewe Kama msemaji wa chama hapa JF?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado nafuatilia huyu ni Kijana wetu pale Makambako!Hatimae chawa wa chama johnthebaptist umeamka.
Huu ujinga wa huyu waziri mzinzi unauteteaje wewe Kama msemaji wa chama hapa JF?
Hapana sikubaliani na wewe mkuu, kosa lake ni kutumia gari la serikali kwenye uzinzi. Yani katumia gari kwenye mambo amabyo sio ya kiserikali. Akipona watamshataki kwa uhujumu uchumi.Utaratibu wa gari lake ni nini?uzinzi sio kitu Cha serikali kosa ni kutumia gari maana hata angenyimwa gari angetaka kuzini angezini tu.Kwa hiyo ondoa uzinzi.
Kwa hiyo waziri Hana kosa.Hii ni privilege ya waziri kupewa gari alitumie.waziri akitaka kwenda kula mbususu achukue bolt?Kwani gari si lake akimaliza anaondoka nalo kwa kulipa au utaratibu ukoje
Ndio mawaziri Samia aliowachagua Akiwaona wanamfaa!!! Kumbe mafuska tupuUkiandika tetesi itakuwa vyema kabisa.
Huyo huyo.Malima Jr.
Sasa unafikiri bila kuingia mtaani hata hii katiba ya sasa itabadilishwa? Watu hatutaki kulipa gharama za mapinduzi mapya. CCM ni lazma waonyeshwe wazi wazi kuwa wamechokwa na style yao ya uendeshaji nchi. Kama hakuna mbadala nchi ikabidhiwe kwa jeshi la wananchi tu.Kuingia mraani kwa katiba ya sasa ni kujitakia majanga tu.
Katiba ikiwa na haki zetu inakuwa rahisi kutinba mtaani na kionzozi anang,'oka kweli!!!¡
Asante kwa taarifa mkuu. Nakuamini.Bado nafuatilia huyu ni Kijana wetu pale Makambako!
Sikubaliani na wewe,angekuwa anaenda kumchukua mkewe saloon usingelalamikaHapana sikubaliani na wewe mkuu, kosa lake ni kutumia gari la serikali kwenye uzinzi. Yani katumia gari kwenye mambo amabyo sio ya kiserikali. Akipona watamshataki kwa uhujumu uchumi.
Ubaya gani sasa,mwanamke anamfatilia Mwanaume kila sehemuMwisho wa ubaya ni aibu. Pole yao
Kwa mwaka 2012 wakati anaibiwa dola 1000 ilikuwa nyingi Sana.Sasa Dola $1000 ni hela nyingi?
Asante kwa taarifaAwamu ya nne, msoga regime.
Kwasababu anatakiwa avune alicho kipanda.Kwanini hakufa?
Mama alisema anataka kufanya kazi na vijana ,acheni unoko wa kuingilia maisha ya watu!
haaaaa haaaaAkishakula samaki, anang'ata tu sharubu kwenye jiji la majabali ya mawe....😜😜😜