Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kutumia gari la serikali kwenye uzinzi.Kosa la waziri ni ajali,gari,kukimbia fumanizi,muda,kuua mchepuko,uzinzi au mchepuko tuanzie hapo
Labda hawakufundishwa namna ya kuhandle tamaa za mwili zikiwaka 🤪... mbona juzi tu hapa walikuwa kwenye semina ya muda mrefu tu Arusha wakifundwa ... Ha ha ha! Hii nchi hii; as long as CCM is in power tusitegemee lolote kwa aina hizi za viongozi.
Kuna mahali nimesema hajaeleweka?Wengi tume uelewa uzi wake.
Wanakuwa na tatizo maana Tumeruhusiwa zaid ya mke mmoja mtu anakuwa na mke mmoja na michepuko mi4.Kwenye michepuko mbona hata waislamu wanayo.
Awamu ya 4Hii ilitokea awamu ya ngapi mkuu
Mkuu umeamua kupasua jibu. Jamaa kalishwa dawa na kahaba akafloat. Anaaamka kakuta kila kitu kimeibiwa, ili kuzima issue ikabidi Waite ITV na kutangaza kuwa Naibu Waziri kavamiwa na majambazi hotelini.Huyo Adam malima pale Morogoro dini ndio ilimzuia
USSR
Ukichelewa kufa tutaona mengi ndugu.Dunia ina vioja vingi... hii ndio wana sema bora kufa...
Hao wanakuwa na tamaa ya uzinzi. Kidogo wakristo watajitetea dini inawabana.Wanakuwa na tatizo maana Tumeruhusiwa zaid ya mke mmoja mtu anakuwa na mke mmoja na michepuko mi4.
Utaratibu wa gari lake ni nini?uzinzi sio kitu Cha serikali kosa ni kutumia gari maana hata angenyimwa gari angetaka kuzini angezini tu.Kwa hiyo ondoa uzinzi.Kutumia gari la serikali kwenye uzinzi.
Siyo wote wanatumia Uhuru wa Dini yao, bado wengine wametawaliwa na tamaa au wanawaogopa wake zao, hivi nina wake wanne, naenda kuchepuka ili iweje?Kwenye michepuko mbona hata waislamu wanayo.
Na ndio itakavyokua na usikute tayari wamseshaoda v8 nyingine,ni huzuni kwa kweliMtu kama huyu utashangaa anaenda kutibiwa nje ya nchi kwa gharama za serikali
Hili ndilo tatizo la kufikiria kwa kutumia utumbo mpana.Kwangu mimi nailaumu imani yake, ndiyo inayomfunga na Imani yake,Waisilamu wameruhusiwa kuowa zaidi ya mke mmoja, lakini wakristo wamekatazwa na wazungu, ila wanamichepuko
Bando lipo sana mkuu.Chadema hamna Bando 😀😀😀
Hapana kila Dini Ina utaratibu wake usipoufuata ukazini we ni mzinzi tu.Hao wanakuwa na tamaa ya uzinzi. Kidogo wakristo watajitetea dini inawabana.
Adam Kighoma Ali MalimaMbona Kuna naibu waziri aliwahi kuibiwa mamilioni na changudoa hotelini akadai majambazi walimvamia.