Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Hii ingekuwa kwa Mataifa wanao jitambua ni bonge la kizaazaa yaani raia wanaweza timba mtaami, Bongo hapa tuendelee kulalamika
Kuingia mtaani kwa katiba ya sasa ni kujitakia majanga tu.
Katiba ikiwa na haki zetu inakuwa rahisi kutinba mtaani na kionzozi anang,'oka kweli!!!¡
 
Back
Top Bottom