Mkimuyangu
JF-Expert Member
- Oct 5, 2022
- 1,054
- 1,947
Hatujui kama Adamu ana wake wangapi? Lakini kama angeitendea haki Dini yake yasingemkutaHuyo Adam malima pale Morogoro dini ndio ilimzuia
USSR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatujui kama Adamu ana wake wangapi? Lakini kama angeitendea haki Dini yake yasingemkutaHuyo Adam malima pale Morogoro dini ndio ilimzuia
USSR
Ant majnunKwangu mimi nailaumu imani yake, ndiyo inayomfunga na Imani yake,Waisilamu wameruhusiwa kuowa zaidi ya mke mmoja, lakini wakristo wamekatazwa na wazungu, ila wanamichepuko
Hatimae chawa wa chama johnthebaptist umeamka.Yote
Sasa Dola $1000 ni hela nyingi?Tena aliibiwa pesa za kigeni zaidi ya $1,000 na milioni kadhaa za madafu, na bunduki ikaibiwa.
Nakumbuka hiyo habari ilizimwa kimtindo na leo hii jamaa ni RC
Kweli kabisa huko lake zone. Aisee jamaa akandanganya aliibiwa SMG ili kuua so. Kumbe hata hakubeba gobore.Sasa ni RC
Kweli kabisa, wangeandamana aenguliwe kwa kukosa maadili.Hii ingekuwa kwa Mataifa wanao jitambua ni bonge la kizaazaa yaani raia wanaweza timba mtaami, Bongo hapa tuendelee kulalamika
Wapi nimeandika $1,000 ni hela nyingi..🤔Sasa Dola $1000 ni hela nyingi?
Kwani gari si lake akimaliza anaondoka nalo kwa kulipa au utaratibu ukojeUtaratibu wa gari lake ni nini?uzinzi sio kitu Cha serikali kosa ni kutumia gari maana hata angenyimwa gari angetaka kuzini angezini tu.Kwa hiyo ondoa uzinzi.
Ilibidi waizime maana ilikuwa ni aibu. Maana angeweza kutoa Siri za serikali kwa huyo kahaba.Tena aliibiwa pesa za kigeni zaidi ya $1,000 na milioni kadhaa za madafu, na bunduki ikaibiwa.
Nakumbuka hiyo habari ilizimwa kimtindo na leo hii jamaa ni RC
Akishakula samaki, anang'ata tu sharubu kwenye jiji la majabali ya mawe....😜😜😜Kweli kabisa huko lake zone. Aisee jamaa akandanganya aliibiwa SMG ili kuua so. Kumbe hata hakubeba gobore.
Bora kufa 🤣🤣Dunia ina vioja vingi... hii ndio wana sema bora kufa...
Bwana niniliooo Rc sasaMbona Kuna naibu waziri aliwahi kuibiwa mamilioni na changudoa hotelini akadai majambazi walimvamia.