Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Utaratibu wa gari lake ni nini?uzinzi sio kitu Cha serikali kosa ni kutumia gari maana hata angenyimwa gari angetaka kuzini angezini tu.Kwa hiyo ondoa uzinzi.
Kwani gari si lake akimaliza anaondoka nalo kwa kulipa au utaratibu ukoje
 
Yeye aendelee kuugulia maumivu sisi tunachukua mkewe.
Jino kwa jino na akipona utenguzi unamhusu anaharibu mali ya umma kindezi sana inatakiwa alipe gari ya wanzania aliyoharibu.
 
Back
Top Bottom