Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Sa
Sasa unafikiri bila kuingia mtaani hata hii katiba ya sasa itabadilishwa? Watu hatutaki kulipa gharama za mapinduzi mapya. CCM ni lazma waonyeshwe wazi wazi kuwa wamechokwa na style yao ya uendeshaji nchi. Kama hakuna mbadala nchi ikabidhiwe kwa jeshi la wananchi tu.

There is one and only way nayo ni kuingia front na bonge la strike. Hawawezi pambana na raia wote wakawaua. Ratio ya 50M residents against 250K police force. Hapo ndipo maridhiano yatapatikana na suluhu ni katiba ambayo inawapa nguvu raia dhidi ya watawala.

Ila kwa style hii ya kutegemea katiba kama hisani tutasaga sana rumba.
Unataka nchi wakabiziwe Wana jeshi ili yatukute ya Sudan [emoji848]

Hapana tunataka utawala wa kiraia wanajeshi wabaki kambini
 
Sa
Sasa unafikiri bila kuingia mtaani hata hii katiba ya sasa itabadilishwa? Watu hatutaki kulipa gharama za mapinduzi mapya. CCM ni lazma waonyeshwe wazi wazi kuwa wamechokwa na style yao ya uendeshaji nchi. Kama hakuna mbadala nchi ikabidhiwe kwa jeshi la wananchi tu.

There is one and only way nayo ni kuingia front na bonge la strike. Hawawezi pambana na raia wote wakawaua. Ratio ya 50M residents against 250K police force. Hapo ndipo maridhiano yatapatikana na suluhu ni katiba ambayo inawapa nguvu raia dhidi ya watawala.

Ila kwa style hii ya kutegemea katiba kama hisani tutasaga sana rumba.

Kweli kabisa mkuu.
 
Yani mie sielewi hivi inakuwaje Mwanaume mzima unashindwa kum comtrol Mwanamke hadi akufuate fuate.
Kama kashindwa kumcontrol ndani unadhani atamuweza nje. 😀
Mungu amsaidie apone
Kwanini anamuogopa mkewe ivo?
Mke akiwa mtata lazma uingie ubaridi maana wengine hawana aibu anaweza kukujazia nzi. 🤣
 
"Mwamba alikosea timing",hayo ni maneno ya kujifariji ya watu wenye tabia yake,tunasahau kuwa za mwizi ni 40...
 
Uislam mwema sana, angekuwa Muislam angekuwa na mke zaidi ya mmoja kihalali kabisa.

Hakika, kila msiba ni mawaidha kwa tulio hai.

Hahahahah!!sawa mama lakini Mbona wapo Waislam tena ukute anamke zaidi ya mmoja na bado anapiga show za nje?Umetolewa Mfano mmoja wa Yule Mbunge(Naibu Waziri) Mwaka 2012 aliye Ibiwa Hotelini.
 
Back
Top Bottom