Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Sipendi wanaume dhaifu hivyo,alitakiwa asimame na ampige biti mke wake kumfutilia na aampe oda dakika tano nikukute nyumbani tutaongelea hili!😎😎😎

Wanaume siku yeyote ukibambwa mbele ya umma unatakiwa kuwa jasiri msamaha utaombea chumbani,ukijifanya lelemama mbele ya umma lazima uaibike yaani,lazima

Sasa eti unakimbia Hadi unaangusha gari unaua mtu,na wewe mwenyewe uko taabani,mwanaume gani Sasa huyu?
 
Unamkimbia mke mpka unapata ajali?
Bado ni tetesi ila kama ni kweli basi Huenda alikuwa anakimbia aibu. Pamoja na tabia mbaya ya uzinzi, kwa nafasi yake na mke kuwa na nia ya kumfumania uwezekano ni mke kudhamiria kumtengenezea scandle.
 
Sipendi wanaume dhaifu hivyo,alitakiwa asimame na ampige biti mke wake kumfutilia na aampe oda dakika tano nikukute nyumbani tutaongelea hili!😎😎😎

Wanaume siku yeyote ukibambwa mbele ya umma unatakiwa kuwa jasiri msamaha utaombea chumbani,ukijifanya lelemama mbele ya umma lazima uaibike yaani,lazima

Sasa eti unakimbia Hadi unaangusha gari unaua mtu,na wewe mwenyewe uko taabani,mwanaume gani Sasa huyu?
Nimemuonyesha waifu hii comment yako eti amenuna kaamba unanifundisha ujinga....😜
 
Hii ndio maana halisi ya neno "AIBU"
Hata akipona Kuna credibility anakuwa amepoteza
 
Inawezekana yote hayo alikuwa anaweza kuyafanya..
Ila nadhani unajuaga Mapenzi yakiamua kukupeleka speed namna inavyokuwa..

Unaweza kufanya vitu hata haviko Duniani...Baadaye unaanza kukujishangaa
Ni kweli usemacho Mkuu, kuna watu wakiwa wamezama kwenye huba hujikuta wakihaidi Kumfanyia mpenzi wake mambo makubwa ambayo wakati mwingine humgharimu hata Image yake kwa Jamii.

Huwa naomba Mungu aendelee kunitunzia mambo yangu ya Sirini kutojulikana kwa Jamii hata kwa bahati mbaya, ndiyo maana nazingatia zaidi Usiri🙈
 
Sipendi wanaume dhaifu hivyo,alitakiwa asimame na ampige biti mke wake kumfutilia na aampe oda dakika tano nikukute nyumbani tutaongelea hili!😎😎😎

Wanaume siku yeyote ukibambwa mbele ya umma unatakiwa kuwa jasiri msamaha utaombea chumbani,ukijifanya lelemama mbele ya umma lazima uaibike yaani,lazima

Sasa eti unakimbia Hadi unaangusha gari unaua mtu,na wewe mwenyewe uko taabani,mwanaume gani Sasa huyu?
Huenda alikuwa hamkimbii mke ila alikimbia aibu mke aliyokuwa anadhamiria kumletea ukizingatia nafasi yake katika jamii.

Kitendo cha tetesi kuwa ajali imetokana na mbio ili asifumaniwe inaonyesha fumanizi liliandaliwa liwe viral. Otherwise tetesi ingeishia kuwa ajali imehusisha waziri na mwanamke ambaye hajatambulika.

Kukimbia ni reaction ambayo huenda ilitokana na mazingira ya hilo fumanizi mke alilomwandalia. Tetesi haijasema mkewe alikuwa anakuja kumfumania kwa mtindo upi, na kina nani, waandishi wa habari walikuwepo? Haijulikani.
 
Pole sana kwa Festo. Kuna wakati tunafanya makosa mengi, ila Mungu tu anatuokoa. Kuna wakati maamuzi yetu madogo sana yanatugharimu. Ndio ubinadamu tu.
 
Nimemuonyesha waifu hii comment yako eti amenuna kaamba unanifundisha ujinga....😜
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwambie Kuna wakati mwanaume lazima awe baba!Sasa baba gani Kama huyo waziri analeta aibu kwenye familia na Taifa kwa ujumla,wakati angesimama piga biti moja Kali sana wife angetangulia nyumbani unadhani nyumbani asingemuelewa?lazima mwanaume uwe na medani bwana sio unakuwa bwegebwege tu
 
Back
Top Bottom