Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 40,828
- 99,523
Naunga mkono hoja....😂ajali kazini
ukiwa mchepukaji hupaswi kuwa muoga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja....😂ajali kazini
ukiwa mchepukaji hupaswi kuwa muoga.
Bado ni tetesi ila kama ni kweli basi Huenda alikuwa anakimbia aibu. Pamoja na tabia mbaya ya uzinzi, kwa nafasi yake na mke kuwa na nia ya kumfumania uwezekano ni mke kudhamiria kumtengenezea scandle.Unamkimbia mke mpka unapata ajali?
Mwanamme namna hiyo anakuwa ni shetani.Bibi Fei, tafadhali! Usitusemee wanaume. Maana tunajifahamu udhaifu wetu.
Kwa ufupi tu, Mwanaume hata awe na wanawake wanne, bado anaweza kuchepuka.
Nimemuonyesha waifu hii comment yako eti amenuna kaamba unanifundisha ujinga....😜Sipendi wanaume dhaifu hivyo,alitakiwa asimame na ampige biti mke wake kumfutilia na aampe oda dakika tano nikukute nyumbani tutaongelea hili!😎😎😎
Wanaume siku yeyote ukibambwa mbele ya umma unatakiwa kuwa jasiri msamaha utaombea chumbani,ukijifanya lelemama mbele ya umma lazima uaibike yaani,lazima
Sasa eti unakimbia Hadi unaangusha gari unaua mtu,na wewe mwenyewe uko taabani,mwanaume gani Sasa huyu?
Naibu Alikua learner Sana kwny hizi michakatoajali kazini
ukiwa mchepukaji hupaswi kuwa muoga.
Kukimbia ni kosa?uzinzi ni kosa?stop this crap.Yote uliyotaja
Itakua ndo kajifunza kuchepuka uyoUnamkimbia mke mpka unapata ajali?
Hahahahaaa Mpwa na mvua hii hujatoka home? Una hatari saanaaNimemuonyesha waifu hii comment yako eti amenuna kaamba unanifundisha ujinga....😜
[emoji3][emoji3]Itakua ndo kajifunza kuchepuka uyo
Ni kweli usemacho Mkuu, kuna watu wakiwa wamezama kwenye huba hujikuta wakihaidi Kumfanyia mpenzi wake mambo makubwa ambayo wakati mwingine humgharimu hata Image yake kwa Jamii.Inawezekana yote hayo alikuwa anaweza kuyafanya..
Ila nadhani unajuaga Mapenzi yakiamua kukupeleka speed namna inavyokuwa..
Unaweza kufanya vitu hata haviko Duniani...Baadaye unaanza kukujishangaa
Correction - angeenda na taxiAngeenda na Tax
Huenda alikuwa hamkimbii mke ila alikimbia aibu mke aliyokuwa anadhamiria kumletea ukizingatia nafasi yake katika jamii.Sipendi wanaume dhaifu hivyo,alitakiwa asimame na ampige biti mke wake kumfutilia na aampe oda dakika tano nikukute nyumbani tutaongelea hili!😎😎😎
Wanaume siku yeyote ukibambwa mbele ya umma unatakiwa kuwa jasiri msamaha utaombea chumbani,ukijifanya lelemama mbele ya umma lazima uaibike yaani,lazima
Sasa eti unakimbia Hadi unaangusha gari unaua mtu,na wewe mwenyewe uko taabani,mwanaume gani Sasa huyu?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwambie Kuna wakati mwanaume lazima awe baba!Sasa baba gani Kama huyo waziri analeta aibu kwenye familia na Taifa kwa ujumla,wakati angesimama piga biti moja Kali sana wife angetangulia nyumbani unadhani nyumbani asingemuelewa?lazima mwanaume uwe na medani bwana sio unakuwa bwegebwege tuNimemuonyesha waifu hii comment yako eti amenuna kaamba unanifundisha ujinga....😜