Too sad. Mke nae alipaswa kufikiria wanae kama wapo kabla ya kuandaa fumanizi. Pamoja na Uzinzi ila ndio Baba. Wakati mwingine sio lazima uvunje ndoa kwa namna ya kuwafanya wanao waishi na aibu ya udhaifu wa baba yao.
Hivi unajisikia unachoongea kweli?Acha kumtetea mbwiga huyo mwanammeUzinzi ni tabia chafu ila Wanawake mnashangaza sana. TOO SELFISH.. Mbona hujamjudge mwanamke mwezio kutaka kuharibu reputation ya baba watoto wake kwa kuandaa fumanizi?
Wewe unajua mumeo ni naibu waziri, unakuja kumfumania hadharani ukitegemea akae hapo ili umfumanie apoteze kazi yake, aaibike mbele ya watoto wake.
Uzinzi ni tabia chafu sio kwa mwanaume wala kwa mwanamke na tabia chafu hufanywa na watu wachafu. Hili sipingi.MWANAUME ukiwa MUME kweli ndani ya ndoa yako mambo kama haya huwezi yafanya kama boya,
Na mkeo hawezi ruhusu hata jirani ajue udhaifu uliotokea. Ila atashughulika kwa hekima.
Asipokuombea kwa Mungu akunusuruπ na kutafuta ushauri kwa wazazi waliokuzaa na wazazi wa kiroho kuzuia na kupunguza chances za wewe kufanya yanayotokea atakulogaπ
UmenenaHuko vijijini wagojwa wanafia kwenye matela kwa kukosa ambulance huku Waziri anachezea gari kukimbizana na mchepuko wake.
Kumbe kidume chako kinakunyorosha vizuri eeeh. Safi sana.π€£π€£π€£π€£Binafsi Napenda mwanaume jasiri yaani anakuweka kwenye mstari,sio eti mwanaume analialia ooooohoooooo...nitakudharau tu
Yaani kifupi huyo mwanamme ni mbwiga!angekuwa Mume kweli Kama ulivyosema haya yasingetokea,huyo mwanamme hajiheshimu yeye,Wala mkewe Wala familia yake na hajui kupambana na changamoto ndio maana mkewe nawe kashindwa kumheshimu..Mume anaejiheshimu hata mkewe akigundua tatizo hawezi muandalia fumanizi wataongea kwenye ngazi ya familia na viongozi wa dini.MWANAUME ukiwa MUME kweli ndani ya ndoa yako mambo kama haya huwezi yafanya kama boya,
Na mkeo hawezi ruhusu hata jirani ajue udhaifu uliotokea. Ila atashughulika kwa hekima.
Asipokuombea kwa Mungu akunusuruπ na kutafuta ushauri kwa wazazi waliokuzaa na wazazi wa kiroho kuzuia na kupunguza chances za wewe kufanya yanayotokea atakulogaπ
Solution ninkuomba talaka kila mtu aishi maisha yake.Unayajua madhila anayokutana nayo mwanamke mwenzio ..
Kuna moment zikifika huwa ni final.no return..
Stop judging..hayajakukuta.
CCM Hoyeee....Dunia ina vioja vingi... hii ndio wana sema bora kufa...
Yaani Napenda sana mwanaume awe na sauti sio Mimi ndio natoa oda.ππππndio maana sipendi limbwataKumbe kidume chako kinakunyorosha vizuri eeeh. Safi sana.
Think tank wanawaza Malaya huyu akipewa mpalange anatoa Siri za serikali huyuHawa ndio think tanks wa hii nchi eti.
Huyo mwanamke hana adabu kabisa. Mumeo akiwa na hela au cheo usimfuatilie maana posibility ya kuwa una wenzio ni 100% sasa ukimfatilia maanake utayajua yasiokupendeza. As long as anarudi kila jioni we tulia kama maji mtungini. Umalaya ni tabia ya mtu binafsi.
Haijakutokea au?Sipendi wanaume dhaifu hivyo,alitakiwa asimame na ampige biti mke wake kumfutilia na aampe oda dakika tano nikukute nyumbani tutaongelea hili!πππ
Wanaume siku yeyote ukibambwa mbele ya umma unatakiwa kuwa jasiri msamaha utaombea chumbani,ukijifanya lelemama mbele ya umma lazima uaibike yaani,lazima
Sasa eti unakimbia Hadi unaangusha gari unaua mtu,na wewe mwenyewe uko taabani,mwanaume gani Sasa huyu?
All the best βΊοΈUtakua umeshajua tunacho kifanya hadi mvua ikatike.....ππ
Najua ninachoongea na sitetei uzinzi wake nachosema ni kuwa tujikite kwenye kumuhukumu kwa matumizi mabaya ya mali ya uma, hayo mengine ni binafsi sana ili kuyajudge ni lazima uyajue katika uhalisia wake. Hilo la matumizi mabaya ya mali ya uma lipo wazi.Hivi unajisikia unachoongea kweli?Acha kumtetea mbwiga huyo mwanamme
Wanawake Huwa tunahisi jambo mapema tu kabla na hata ukibadilika Huwa tuna notice tunapiga kimya. Yani tuna machale ka majasusi wabobevu ni vile tu mengine Huwa tunawaza. [emoji28][emoji28] Hafu ukifumaniwa hata dudu ka lilikuwa limesimama linanyewa [emoji28][emoji28][emoji28]usicheze na fumanizina sijui kwa nini wanawake wana machale sana yani unabaki unajiuliza huyu mtu kajua vipi leo niko hapa kumuliza huwezi mana hapo ndio unatengeneza taharuki
Hata kama ila kamkomesha vizuri huyo mumewe Wacha ajiuguze mda mrefu ndio lengo la mkeHuyo mkewe ukute uchi haoshi,vuzi hanyoi,Hana njonjo anatenga tu uchi Kama sufuria la kande,wanaume tunahitaji mengi kwenye kugonga jamani uume kusimamisha imara siyo Jambo dogo
Walimwibia na pistol, bunduki na mazagazaga kibao.Kwa mwaka 2012 wakati anaibiwa dola 1000 ilikuwa nyingi Sana.