Mkewe anajielewa lazima amfatilie mumewe mubinafsi anayejali Malaya kuliko familia pia ni fisadi kutumia rasilimali zilizolipwa na wananchi, Tena mkewe awaambie ukweli wanawe kuhusu umalaya wa baba Yao jinsi umemletea madhara makubwa na wao wasije muigaMkewe ni selfish. Kama mwanaume ni malaya vunja ndoa watoto wako watakuheshimu. Sasa mambo ya kuja kuwaeleza watoto baba yenu kafa nilikuwa naenda kumfumania akakimbia ni aibu tu unawabebesha.
Hao walikuwa wanawake WA zamani za kale, wanawake wa siku hizi wanavuta bangi, umfumanie halafu umpige biti?🤣🤣🤣🤣 Labda Kama humtaki tena🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwambie Kuna wakati mwanaume lazima awe baba!Sasa baba gani Kama huyo waziri analeta aibu kwenye familia na Taifa kwa ujumla,wakati angesimama piga biti moja Kali sana wife angetangulia nyumbani unadhani nyumbani asingemuelewa?lazima mwanaume uwe na medani bwana sio unakuwa bwegebwege tu
Waislam wanakuwa na wake wanne still na michepuko juu.Uislam mwema sana, angekuwa Muislam angekuwa na mke zaidi ya mmoja kihalali kabisa.
Hakika, kila msiba ni mawaidha kwa tulio hai.
Inaelekea ata kwa bed wee unapenda kuburuzwa ile rough rough au sio mrembo🤣🤣🤣🤣Yaani Napenda sana mwanaume awe na sauti sio Mimi ndio natoa oda.😂😂😂😂ndio maana sipendi limbwata
Hapo ndo wanawake mnapokosea. Aibu ya baba mtoto huibeba mpaka kaburini. Akifa huyo waziri hao watoto hata katika nafasi zao inabaki alama kuwa huyu baba yake ndo yule aliekufa akikimbizwa na mkewe akitoka kufanya umalaya regadless tabia ya mtoto.Mkewe anajielewa lazima amfatilie mumewe mubinafsi anayejali Malaya kuliko familia pia ni fisadi kutumia rasilimali zilizolipwa na wananchi, Tena mkewe awaambie ukweli wanawe kuhusu umalaya wa baba Yao jinsi umemletea madhara makubwa na wao wasije muiga
Acha kumtetea,hiyo hajakimbia waandishi Kama ulivyokazania Umeona hapo kwenye taarifa kwamba mkewe aliongozana na waandishi?kwa mapaparazi gani kwanza wa Tanzania?Nafasi yake ni kusubiri hapo waandishi wamkute habari iende viral atumbuliwe na kushtakiwa kwa matumizi mabaya ya mali ya serikali? Tuache unafiki, mtu yoyote aliyefanya hilo kosa akipata nafasi ya kukwepa hiyo aibu angeitumia. Binadamu sisi ni wanafiki sana.
Ah na kidume unapaswa kuishi na mke huku ukijia anytime huyu naweza mtema tuu nikaleta chombo nyingine.Hao walikuwa wanawake WA zamani za kale, wanawake wa siku hizi wanavuta bangi, umfumanie halafu umpige biti?🤣🤣🤣🤣 Labda Kama humtaki tena
Slow,slower, slowest with tendernessInaelekea ata kwa bed wee unapenda kuburuzwa ile rough rough au sio mrembo🤣🤣🤣🤣
Mweee....mie nikajua utakuwa unapenda ile kuwa ordered around, mara pah, kofi la tako 🤣🤣🤣🤣Slow,slower, slowest with tenderness
Hamna kumuchekea mpenda zinaa Yani kwetu haipo hyo Yani wewe Malaya Mimi mwanamke nikufichie uchafu never on earth wallah. Tena heri afe tu kabisa watoto watakuwa tu maana uwaziri na ubunge sio wa wakati wote na haswa ka alikubuhu Kwa umalaya kwanini umusitiriHapo ndo wanawake mnapokosea. Aibu ya baba mtoto huibeba mpaka kaburini. Akifa huyo waziri hao watoto hata katika nafasi zao inabaki alama kuwa huyu baba yake ndo yule aliekufa akikimbizwa na mkewe akitoka kufanya umalaya regadless tabia ya mtoto.
🤣🤣🤣Hiyo Sio ndoa Sasa ni living hell,,,,,na ndio maana wanawindana kufumanianaKuna watu wanaishi kwenye ndoa kama mavampire hakuna cha hugs wala kisses wala kushikana mkono wala salamu hakuna,ni kuwindana tu
Usikute mh.ndoa yake iko hivi ndo mana akaona amkimbie wife mana alijua kitachomkuta🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣Acheni kuiga u porn nyie mtakuwa hamkojozi wanawake,wanabaki wanakuectia tu ooooh yeeeaah🙄🙄🙄Mweee....mie nikajua utakuwa unapenda ile kuwa ordered around, mara pah, kofi la tako 🤣🤣🤣🤣
Wewe ulifanya kosa kuolewa na malaya. Malaya ni malaya huwezi mkomoa kwa kuwakomoa wanao. Ukiolewa na malaya na ukazaa watoto smart move ni kuvunja hiyo ndoa.Hamna kumuchekea mpenda zinaa Yani kwetu haipo hyo Yani wewe Malaya Mimi mwanamke nikufichie uchafu never on earth wallah. Tena heri afe tu kabisa watoto watakuwa tu maana uwaziri na ubunge sio wa wakati wote na haswa ka alikubuhu Kwa umalaya kwanini umusitiri
Sasa kwani mie nipo pale kwa mwanamke nimkojoze au nikojoe mie😲😲😲🤣🤣🤣🤣Acheni kuiga u porn nyie mtakuwa hamkojozi wanawake,wanabaki wanakuectia tu ooooh yeeeaah🙄🙄🙄
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Basi we endelea kupiga kota tu Kama upo Kwa ajili yako mwenyewe ukimaliza kata kibundaSasa kwani mie nipo pale kwa mwanamke nimkojoze au nikojoe mie😲😲😲
Kwani kuchapa tako ni porno? Mbona nyie mnakuwa na mawazo hasi hasi tuu🤣🤣🤣🤣
Ndo habari ilivyosema? Kama ndivyo upo sahihi.Wafanyakazi wa hotelini
Wewe mama D😂Ndio haohao wamefikia level ya kukataa kuoa sasa....maana kukimbia hawawezi
Haki mimi napenda mwanaume mwenye upendo ila mkali mkali, mwanaume ambaye akiongea kila kiumbe kinatulia kumsikiliza, mwanaume mwenye akili nyingi, mwanaume imara sio mwanaume poyoyo wa kukimbia majanga na majukumu au wa kulialia vitu vidogo
Na mwanaume wa hivi lazima awe mtafutaji, asiyeshindwa kumanage mambo ya nyumba yake