Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Mkewe ni selfish. Kama mwanaume ni malaya vunja ndoa watoto wako watakuheshimu. Sasa mambo ya kuja kuwaeleza watoto baba yenu kafa nilikuwa naenda kumfumania akakimbia ni aibu tu unawabebesha.
Mkewe anajielewa lazima amfatilie mumewe mubinafsi anayejali Malaya kuliko familia pia ni fisadi kutumia rasilimali zilizolipwa na wananchi, Tena mkewe awaambie ukweli wanawe kuhusu umalaya wa baba Yao jinsi umemletea madhara makubwa na wao wasije muiga
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Mwambie Kuna wakati mwanaume lazima awe baba!Sasa baba gani Kama huyo waziri analeta aibu kwenye familia na Taifa kwa ujumla,wakati angesimama piga biti moja Kali sana wife angetangulia nyumbani unadhani nyumbani asingemuelewa?lazima mwanaume uwe na medani bwana sio unakuwa bwegebwege tu
Hao walikuwa wanawake WA zamani za kale, wanawake wa siku hizi wanavuta bangi, umfumanie halafu umpige biti?🤣🤣🤣🤣 Labda Kama humtaki tena
 
Mkewe anajielewa lazima amfatilie mumewe mubinafsi anayejali Malaya kuliko familia pia ni fisadi kutumia rasilimali zilizolipwa na wananchi, Tena mkewe awaambie ukweli wanawe kuhusu umalaya wa baba Yao jinsi umemletea madhara makubwa na wao wasije muiga
Hapo ndo wanawake mnapokosea. Aibu ya baba mtoto huibeba mpaka kaburini. Akifa huyo waziri hao watoto hata katika nafasi zao inabaki alama kuwa huyu baba yake ndo yule aliekufa akikimbizwa na mkewe akitoka kufanya umalaya regadless tabia ya mtoto.
 
Nafasi yake ni kusubiri hapo waandishi wamkute habari iende viral atumbuliwe na kushtakiwa kwa matumizi mabaya ya mali ya serikali? Tuache unafiki, mtu yoyote aliyefanya hilo kosa akipata nafasi ya kukwepa hiyo aibu angeitumia. Binadamu sisi ni wanafiki sana.
Acha kumtetea,hiyo hajakimbia waandishi Kama ulivyokazania Umeona hapo kwenye taarifa kwamba mkewe aliongozana na waandishi?kwa mapaparazi gani kwanza wa Tanzania?
Halafu unasema eti anaogopa atashtakiwa na atumbuliwe kwa matumizi mabaya ya Mali za serikali,kwa nchi gani ya kumshtaki waziri kwenda kula bata na V8,?Tanzania hii hii au unaongelea USA?
Hiyo haogopi Cha waandishi Wala kutumbuliwa hiyo bwana anamuogopa mkewe kiasi Cha kushindwa kumkabili kusolve tatizo.....Naibu waziri ni sawa na yule mtu anaejifanya mentali huku anaogopa askari
 
Hao walikuwa wanawake WA zamani za kale, wanawake wa siku hizi wanavuta bangi, umfumanie halafu umpige biti?🤣🤣🤣🤣 Labda Kama humtaki tena
Ah na kidume unapaswa kuishi na mke huku ukijia anytime huyu naweza mtema tuu nikaleta chombo nyingine.
As a man never have ur wife as the only option. Utakuja kulia kwa choo
 
Hapo ndo wanawake mnapokosea. Aibu ya baba mtoto huibeba mpaka kaburini. Akifa huyo waziri hao watoto hata katika nafasi zao inabaki alama kuwa huyu baba yake ndo yule aliekufa akikimbizwa na mkewe akitoka kufanya umalaya regadless tabia ya mtoto.
Hamna kumuchekea mpenda zinaa Yani kwetu haipo hyo Yani wewe Malaya Mimi mwanamke nikufichie uchafu never on earth wallah. Tena heri afe tu kabisa watoto watakuwa tu maana uwaziri na ubunge sio wa wakati wote na haswa ka alikubuhu Kwa umalaya kwanini umusitiri
 
Kuna watu wanaishi kwenye ndoa kama mavampire hakuna cha hugs wala kisses wala kushikana mkono wala salamu hakuna,ni kuwindana tu
Usikute mh.ndoa yake iko hivi ndo mana akaona amkimbie wife mana alijua kitachomkuta🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Hiyo Sio ndoa Sasa ni living hell,,,,,na ndio maana wanawindana kufumaniana
 
Hamna kumuchekea mpenda zinaa Yani kwetu haipo hyo Yani wewe Malaya Mimi mwanamke nikufichie uchafu never on earth wallah. Tena heri afe tu kabisa watoto watakuwa tu maana uwaziri na ubunge sio wa wakati wote na haswa ka alikubuhu Kwa umalaya kwanini umusitiri
Wewe ulifanya kosa kuolewa na malaya. Malaya ni malaya huwezi mkomoa kwa kuwakomoa wanao. Ukiolewa na malaya na ukazaa watoto smart move ni kuvunja hiyo ndoa.
 
🤣🤣🤣🤣Acheni kuiga u porn nyie mtakuwa hamkojozi wanawake,wanabaki wanakuectia tu ooooh yeeeaah🙄🙄🙄
Sasa kwani mie nipo pale kwa mwanamke nimkojoze au nikojoe mie😲😲😲
Kwani kuchapa tako ni porno? Mbona nyie mnakuwa na mawazo hasi hasi tuu🤣🤣🤣🤣
 
Sasa kwani mie nipo pale kwa mwanamke nimkojoze au nikojoe mie😲😲😲
Kwani kuchapa tako ni porno? Mbona nyie mnakuwa na mawazo hasi hasi tuu🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Basi we endelea kupiga kota tu Kama upo Kwa ajili yako mwenyewe ukimaliza kata kibunda
 
Ndio haohao wamefikia level ya kukataa kuoa sasa....maana kukimbia hawawezi
Haki mimi napenda mwanaume mwenye upendo ila mkali mkali, mwanaume ambaye akiongea kila kiumbe kinatulia kumsikiliza, mwanaume mwenye akili nyingi, mwanaume imara sio mwanaume poyoyo wa kukimbia majanga na majukumu au wa kulialia vitu vidogo
Na mwanaume wa hivi lazima awe mtafutaji, asiyeshindwa kumanage mambo ya nyumba yake
Wewe mama D😂
 
Back
Top Bottom