Dodoma: Naibu Waziri wa TAMISEMI Festo Dugange apata ajali akiendesha gari
Mi habari za michepuko naona ushamba tu kuna vitu unaweza kuvunga tu ili uwe na maendeleo makubwa kujipa heshima katika jamii.

Mfano; Wewe ni mkuu katika Taasisi au kiongozi katika nyanja yeyote ila then wale walioko chini yako unawatongoza wakati unajua kabisa umeshaoa ...Hii haileta picha duniani kuna vingi tunatamani hata maendeleo ila tupo limited hata ukiwa na wanawake wote na pesa kama Musk bado utafuta tena hii ni asili ya binadamu.

Binadamu aliyecontrol tamaa zake na kuridhika ni mbora zaidi ,Greedy ni kawaid ila unaweza kulind heshima.


Baadhi ya viongi wanaiba mabillion ila wakija kustaafu au kufa unasikia familia zao zinapata tabu mara mikopo bank
.Kumbe zile pesa ni kubudumia mahawara na kuwapa jeuri na life style ya hanasa ..


Imagine dunia ya sasa ukiwa na watoto wako na ndoa basi ushamaliza kweny ishu to ya mapenzi then angalau maendeleo ya wanao sijui mambo madogo kama hayo unakuja kuvunja ndoa then watoto wanateseka kwa ujinga ambao unaweza kuepuka.
Mwanaume atabaki kuwa mwanaumeee tu.. Kama mpaka Rais anakuwa na kimadaaa ndo mawazirii acheni kumhukumu jamaaa Ajali imetokea bahati mbaya tuu.
 
Kumbe hukunielewa ,
Swala la kuoa au kukaa na mwanamke bandit has a lot to do with men weakness, ukiwa smart mwanamke mbabe anajulikana kwenye hatua za mwanzo kabisa ,
Huyu wa kukaa miaka yote hiyo alipitia vetting kadhaa na nikajiridhisha kuwa nipo safe kwenye hiyo angle ya kunipanda kichwani
Ahaa hapo sawa nimekuelewa sasa mkuu
 
Tukidai katiba mpya huwa tunaonekana mazuzu, , haya sasa ni matkeo ya katiba mbovu. Huyo kapata ajali ndio tumejua wangapi wanafanya haya?

Tungekuwa na katiba mpya tungeweza kuwa na sauti ya kusema, walau viongozi wasipewe tena magari ya serikali maana mengi yanashinda gesti. Dude la thamani ya zahanati hata nne ,limeangushwa kizembe namna hiyo halafu kama hakuna kilichotokea!! na wananchi tunaishia kulalamika tu hatuna cha kufanya.
Hapa Katiba Mpya inahusikaje? Mh.alikiwa Ziara ya kikazi 🤣🤣
 
Hili halishangazi maana serikali inaongozwa na kundi la watu wasio na maadili kuanzia wizi wa kura, ufisadi na ufuska
Mwigulu aliongea hata juzi Kanisani kwamba ni kosa kudhani viongozi Wana maadili akisema Viongozi wengi ni watovu wa maadili.
 
Kumbe ndio huyu niliskia madaktari wenzake wakiongea yeye kugombea sikujua kuwa ni Dr by profession, Ina onyesha mshamba kavamia fani ya uchepukaji kichwa kichwa awaachie wazoefu
Ni Dr kabisa by professional na Mbunge wa Wanging'ombe.

Huyu na yule Dr.Mollel Naibu wa Afya wote ni classmate na age mate Bado wako kwenye early 40s.
 
Back
Top Bottom