Mwanaume atabaki kuwa mwanaumeee tu.. Kama mpaka Rais anakuwa na kimadaaa ndo mawazirii acheni kumhukumu jamaaa Ajali imetokea bahati mbaya tuu.
 
Ahaa hapo sawa nimekuelewa sasa mkuu
 
Hapa Katiba Mpya inahusikaje? Mh.alikiwa Ziara ya kikazi 🀣🀣
 
Hili halishangazi maana serikali inaongozwa na kundi la watu wasio na maadili kuanzia wizi wa kura, ufisadi na ufuska
Mwigulu aliongea hata juzi Kanisani kwamba ni kosa kudhani viongozi Wana maadili akisema Viongozi wengi ni watovu wa maadili.
 
Kumbe ndio huyu niliskia madaktari wenzake wakiongea yeye kugombea sikujua kuwa ni Dr by profession, Ina onyesha mshamba kavamia fani ya uchepukaji kichwa kichwa awaachie wazoefu
Ni Dr kabisa by professional na Mbunge wa Wanging'ombe.

Huyu na yule Dr.Mollel Naibu wa Afya wote ni classmate na age mate Bado wako kwenye early 40s.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…